marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

betbey

imajbet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

padişahbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

romabet

marsbahis

royalbet

artemisbet

kavbet

parmabet

mislibet

imajbet giriş

artemisbet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

markajbet güncel giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

holiganbet

kingroyal giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

casinomilyon

taksimbet

jojobet güncel giriş

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

meritking

vdcasino

Kitaifa

WAZIRI MKUU AZURU VIJIJI VINNE VYA JIMBO LAKE

Written by mzalendo


WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Ruangwa leo (Alhamisi, Desemba 21, 2023) amefanya ziara kwenye vijiji vinne vya kata ya Mbekenyera, wilayani Ruangwa, mkoani Lindi.
 
Vijiji alivyovitembelea na kuzungumza na wakazi wake ni Chingumbwa, Mkutingome, Naunambe na Mbekenyera.
 
Akizungumza na wakazi wa kijiji cha Chingumbwa katika kata ya Mbekenyera, Mheshimiwa Majaliwa amesema katika kipindi cha miaka miwili, kata hiyo imepatiwa sh. bilioni 2.5 za utekelezaji wa miradi ya maendeleo ikiwemo ya sekta za afya na elimu.

Pia amewataka wakazi hao waendelee kuwa na imani na Serikali ya awamu ya sita kwani imedhamiria kutatua kero zao. “Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ana dhamira ya dhati ya kushirikiana na wana-Ruangwa na Watanzania wote katika kutatua changamoto zilizopo hivyo endeleeni kuwa na imani naye, na muwe na imani na Serikali yenu ya awamu ya sita,” amesema.
 
Amesema kuwa Serikali itaendelea kusimamia kikamilifu ujenzi na ubora kwenye sekta ya elimu kuanzia shule ya msingi ili watoto wasitembee umbali mrefu kufuata shule.
 
Akiwa kwenye kijiji cha Mkutingome, Waziri Mkuu ameagiza RUWASA wilaya ya Ruangwa ikamilishe kwa wakati mradi wa maji utakaohusisha vijiji vya Chingumbwa na Mkutingome ili wananchi hao waanze kupata huduma ya maji safi na salama.

Ili kuharakisha kukalimika kwa mradi huo, Waziri Mkuu amesema: “Natambua kuwa ujenzi huo utahusisha uwekaji wa vilula, kazi hii msiitoe kwa mkandarasi mmoja, gaweni kazi, mmoja apewe chanzo tu, mwingine njia za maji na mwingine ajenge vilula,” amesema.
 
Akitoa maelezo kuhusu mradi huo, Kaimu Meneja wa RUWASA, wilaya ya Ruangwa, Mhandisi Rashid Shabani amesema kuwa wanaendelea na taratibu za ujenzi wa mradi huo ambao unategemea kuzalisha zaidi ya lita 5,000 kwa saa.
 
“Mpaka sasa tumeshafanya tafiti na kuchimba kisima na tunaendelea na kuangalia ubora wa maji, yote haya tutayafanya katika mwaka huu wa fedha,” amesema.
 
Akiwa kijiji cha Naunambe, Waziri Mkuu alikagua ujenzi wa shule mpya ya sekondari ya Nambawala na kusema ameridhishwa na ubora wa viwango vya ujenzi wa shule hiyo. Amemtaka Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa, Hassan Ngoma aendelee kuwatumia wakandarasi hao.

Katibu wa mradi huo, Hussein Juma Omari alisema Juni 30, mwaka huu, Kata ya Mbekenyera, ilipokea sh. milioni 560.5 kutoka Serikali kuu kwa ajili ya ujenzi wa shule mpya chini ya Programu ya Uboreshaji wa Elimu ya Sekondari (SEQUIP) ambapo hadi sasa zimetumika sh. milioni 510. Ujenzi huo unatarajiwa kukamilika Desemba 30, 2023.
 
Akiwa kijiji cha Mbekenyera, Waziri Mkuu alitembelea kituo cha afya na kukagua utoaji wa huduma kwenye kituo hicho. Alimwagiza Kaimu Mganga Mkuu wa Wilaya hiyo, Dkt. Boniface Nonga afuatilie matengenezo ya gari la wagonjwa ili liweze kuwahudumia wananchi wa vitongoji vya jirani.
 
Akizungumza na wakazi wa kijiji hicho, aliwasisitiza vijana wa kata hiyo watumie fursa ya uwepo wa madini ili kukuza uchumi wao na waende Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) ili wapate ujuzi na kuboresha stadi kwenye uchimbaji wa madini.
 
“Vijana, akinamama, na wazee wenzangu, tuna fursa ya madini ya graphite (bunyu), tujipange kuanza kunufaika na fursa hii, vijana nendeni mkaongeze ujuzi VETA, fungueni maduka, jengeni nyumba za wageni, kwani madini ni uchumi.”

About the author

mzalendo