Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

deneme bonusu

betpuan

cashwin

mercurecasino

tambet

casinowon

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

lordcasino

marsbahis

luxbet

gobahis

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

vipslot

millibahis

realbahis

marsbahis

marsbahis

marsbahis giriş

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

marsbahis güncel giriş

meritking giriş

realbahis

vipslot giriş

norabahis

luxbet

betnis

betnis

parmabet

cratosroyalbet

Hacklink panel

pokerklas

jojobet

Google

holiganbet

jojobet

rekorbet giriş

mislibet giriş

kareasbet giriş

vipslot

netbahis

meybet giriş

netbahis

betra

primebahis

tümbet

tümbet giriş

betzula

betzula giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betzula

betzula giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet giriş

timebet

betpark

casibom giriş

meritbet

meritbet giriş

uyuşturucu satın al

xxxx

runtobet

runtobet giriş

1xbet

marsbahis, marsbahis giriş

gameofbet

jojobet

netbahis giriş

prensbet

lordcasino giriş

ganobet

gobahis giriş

orisbet giriş

kareasbet

orisbet

millibahis

betnis giriş

orisbet giriş

parmabet giriş

kareasbet

maritbet

kareasbet giriş

gobahis giriş

prensbet giriş

aresbet giriş

vaycasino

prensbet

orisbet

luxbet giriş

meybet

meybet

millibahis giriş

marsbahis giriş

norabahis giriş

ganobet

perabet giriş

mislibet giriş

vipslot giriş

meybet giriş

rekorbet

jojobet

jojobet güncel giriş

perabet, perabet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

grandpashabet

starzbet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

ikimisli

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

pusulabet

pusulabet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

marsbahis

jojobet

deneme bonusu

holiganbet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

bets10 sorunsuz giriş

jojobet

betbey

casibom

mavibet

mavibet giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

ibizabet

jojobet giriş

jojobet giriş

meritking

meritking giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

mislibet giriş

betnis

norabahis

elitbahis

mavibet

mavibet giriş

mavibet

aresbet giriş

kavbet

kavbet giriş

ikimisli giriş

ikimisli

ikimisli giriş

ultrabet

ultrabet giriş

mavibet

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler

romabet

meritking

deneme bonusu veren siteler

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet

jojobet

casibom güncel giriş

jojobet

meritking

jojobet

monobahis

deneme bonusu

deneme bonusu

tipobet

bets10

sekabet güncel giriş

casibom

grandpashabet

casibom

jojobet

grandpashabet

jojobet

jojobet

nerobet

goldenbahis

jojobet

Hacklink panel

tümbet

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

taksimbet

Uncategorized

WAFANYABIASHARA WATAKIWA KUSHIRIKI ZABUNI KUPITIA NeST

Written by mzalendo

Kamishna wa Idara ya Uchambuzi wa Sera, Wizara ya Fedha, Bw. William Mhoja, akieleza kuhusu umuhimu wa maoni ya wadau katika uboreshaji wa Sera za Kodi wakati wa Kongamano la kukusanya maoni ya Kodi Kikanda lililofanyika mkoani Mtwara, ikiwa ni mwendelezo wa makongamano hayo ya uboreshaji wa Kodi.

Meneja Huduma wa Taasisi ya Usuluhishi wa Malalamiko na Taarifa za Kodi (TOST), Bw. Godwin Barongo, akieleza lengo la kuanzishwa kwa Taasisi hiyo ikiwa ni pamoja na kutatua malalamiko ya Kodi, wakati wa Kongamano la kukusanya maoni ya Kodi Kikanda lililofanyika mkoani Mtwara.

Mkurugenzi wa Bambo General Store Ltd, Bw. Cosmas Bambo, akitoa maoni kuhusu maboresho ya Kodi kwa mwaka 2024/25, wakati wa Kongamano la kukusanya maoni ya Kodi Kikanda lililofanyika mkoani Mtwara.

Afisa Biashara Mkoa wa Mtwara, Bi. Osmunda Kapinga (kushoto) na Katibu wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Mkoa wa Mtwara, wakisikiliza maoni ya wananchi wa mkoa huo wakati wa Kongamano la kukusanya maoni ya Kodi Kikanda, lililofanyika mkoani Mtwara.

Mjumbe wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Mkoa wa Mtwara, Bw. Seleman Kadeghe, akitoa maoni kuhusu maboresho ya kodi kwa Mwaka wa Fedha 2024/25, wakati wa Kongamano la kukusanya maoni ya Kodi Kikanda lililofanyika mkoani Mtwara.

Baadhi ya Wafanyabiashara wakiwa katika Kongamano la kukusanya maoni ya Kodi Kikanda lililofanyika mkoani Mtwara linalohusu ukusanyaji wa maoni ya maboresho ya kodi kwa mwaka 2024/25.

   

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Mtwara)

Na. Peter Haule, WF, Mtwara

Serikali imewataka wafanyabiashara wazawa kujiunga na Mfumo Mpya wa Kielektroniki wa Ununuzi ya Umma (NeST) ili kupata Zabuni zinazotolewa na Serikali na kunufaika kwa kukuza pato la mtu mmoja na Taifa kwa ujumla.

Hayo yameelezwa na Kamishna wa Idara ya Uchambuzi wa Sera, Wizara ya Fedha, Bw. William Mhoja, wakati wa Kongamano la ukusanyaji maoni ya Kodi Kikanda Mkoani Mtwara, ikiwa ni muendelezo wa makongamano kama hayo yanayofanyika Kanda mbalimbali nchini kwa lengo la kuboresha Sera ya Kodi kwa mwaka 2024/25.

“Mfumo wa NeST ni rafiki na shirikishi katika matumizi yake hivyo nawaomba wafanyabiashara kushiriki katika zabuni mbalimbali za Serikali ikiwa ni mwelekeo wa Serikali wa kuwapa kipaumbele wazawa ili fedha za walipa kodi zibaki ndani ya nchi kuweza kuchochea maendeleo ikilinganishwa na awali ambapo fedha nyingi zilikuwa zinawanufaisha wageni kwa kiwango kikubwa’’, alieleza Bw. Mhoja.

Aidha, alieleza kuwa kuna changamoto ambazo nchi imekutana nazo ikiwa ni pamoja na Uviko 19 lakini pia Vita ya Ukraine na Urusi ambazo zimesababisha baadhi ya bidhaa upatikanaji wake uwe changamoto lakini wafanyabiashara wanaweza kuitumia hali hiyo kama fursa ya kuongeza uzalishaji na kumiliki soko la bidhaa.

Bw. Mhoja alisema kuwa ni vema wananchi wakaongeza uzalishaji wa ndani ili kupunguza utegemezi wa bidhaa ambazo zinaweza kuzalishwa nchini ambazo kwa sasa zina soko.

Pia alisema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hssan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inatambua mchango wa Sekta Binafsi katika uwekezaji hivyo imeendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji na biashara ili iweze kukuza uchumi wa nchi.

Bw. Mhoja alisema kuwa Serikali inaendelea kuimarisha miundombinu wezeshi ya usafirishaji na Nishati, kuhakikisha uhimilivu wa viashiria vya uchumi jumla na kuwa na sera za kodi zinazotabirika na kuwianisha tozo na ada mbalimbali zinazotozwa na Wizara na Mamlaka za Udhibiti.

Kwa upande wake Meneja Huduma wa Taasisi ya Usuluhishi wa Malalamiko na Taarifa za Kodi (TOST), Bw. Godwin Barongo, alisema kuwa, Taasisi hiyo imeanzishwa ili kutafuta suluhisho ya malalamiko ambayo hayajapatiwa ufumbuzi na Mamlaka ya Mapato.

Alisema kuwa kama kuna mlipakodi ana malalamiko anayo nafasi ya kwenda kwenye Ofisi za Taasisi hiyo ambazo zipo Dodoma au kuwasiliana kwa njia ya simu ili kutatua changamoto ya mteja kwa muda mfupi na kusaidia kodi ya Serikali kulipwa bila malalamiko.

Naye Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo (TCCIA), mkoa wa Mtwara, Bw. Kizito Galinoma, alisema hatua ya Serikali kuwafikia katika Kanda zao inadhihirisha dhamira njema ya kutatua changamoto za kikodi kwa wafanyabiashara, wenye viwanda, wakulima na wavuvi, hivyo Chama hicho kitaendelea kutoa ushirikiano ili kutatua kero mbalimbali.

Timu ya Wataalam wa Uchambuzi wa Sera za Kodi kutoka Wizara ya Fedha ianendelea na ukusanyaji wa maoni kwa wananchi Kikanda ambapo hadi sasa Kanda tano zimefikiwa kupitia zoezi hilo lililofanyika mkoa wa Arusha, Mwanza, Kigoma, Mbeya na Mtwara.

About the author

mzalendo