Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

deneme bonusu

casinomaxi

casinomaxi giriş

betturkey giriş

betturkey

1xbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

hackhaber

grandpashabet

film izle

casibom

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

pokerklas, pokerklas giriş

korsan taksi istanbul, istanbul korsan taksi

bets10

tipobet

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

superbetin

jojobet

betgar giriş

bets10 güncel giriş adresi

betsat

betebet

jojobet giriş

ilbet

hilbet

jojobet giriş

casibom güncel giriş

Ankara escort

kingroyal

güvenilir bahis siteleri

film izle

vdcasino giriş

betasus

marsbahis, marsbahis giriş

Google

bahiscasino

ultrabet

marsbahis giriş

casibom

Greece Fentanyl Buy

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

jojobet

jojobet

casibom giriş

jojobet giriş

sweet bonanza giriş

sweet bonanza

deneme bonusu

radissonbet

betbey

jojobet

cashwin

gameofbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

marsbahis

jojobet

jojobet

pusulabet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giris

jojobet

jojobet

mavibet giriş

marsbahis

marsbahis giriş

meritking

meritking

meritking

marsbahis güncel giriş

meritking

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet

marsbahis

marsbahis

marsbahis

grandpashabet

Hacklink panel

betpas

holiganbet

Google

jojobet

holiganbet

jojobet telegram

jojobet giris

ikimisli

ikimisli giriş

marsbahis giriş

jojobet güncel giriş

marsbahis giriş

marsbahis

primebahis

tümbet

tümbet giriş

casinomaxi

casinomaxi giriş

sahabet

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

casinomaxi

casinomaxi giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

mavibet giriş

pokerklas

pokerklas

tipobet

holiganbet

porno izle

bets10

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

pokerklas, pokerklas giriş

betsmove

holiganbet

ikimisli

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

betkolik

ikimisli giriş

marsbahis giriş

marsbahis giriş

ikimisli giriş

ikimisli

betkolik

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betkolik giriş

ikimisli giriş

ikimisli

ikimisli

ikimisli giriş

marsbahis

betkolik

betkolik giriş

betkolik giriş

jojobet giriş

betkolik

ikimisli

marsbahis giriş

jojobet giriş

betkolik

marsbahis giriş

betkolik giriş

jojobet mobil

ikimisli giriş

betkolik giriş

nerobet

nerobet

aresbet, aresbet giriş

matbet, matbet giriş

deneme bonusu

jojobet giriş

Deneme Bonusu

queenbet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

lunabet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

jojobet

jojobet

betbox

casibom

meritking giriş

meritking

dedektör

vdcasino

marsbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

bets10 sorunsuz

betsat

extrabet giriş

gameofbet

turkey dental implants

mavibet

artemisbet

setrabet

jojobet

pulibet

süratbet

perabet

nerobet

mavibet

lunabet

lunabet giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

Uncategorized

WAFANYABIASHARA WATAKIWA KUSHIRIKI ZABUNI KUPITIA NeST

Written by mzalendo

Kamishna wa Idara ya Uchambuzi wa Sera, Wizara ya Fedha, Bw. William Mhoja, akieleza kuhusu umuhimu wa maoni ya wadau katika uboreshaji wa Sera za Kodi wakati wa Kongamano la kukusanya maoni ya Kodi Kikanda lililofanyika mkoani Mtwara, ikiwa ni mwendelezo wa makongamano hayo ya uboreshaji wa Kodi.

Meneja Huduma wa Taasisi ya Usuluhishi wa Malalamiko na Taarifa za Kodi (TOST), Bw. Godwin Barongo, akieleza lengo la kuanzishwa kwa Taasisi hiyo ikiwa ni pamoja na kutatua malalamiko ya Kodi, wakati wa Kongamano la kukusanya maoni ya Kodi Kikanda lililofanyika mkoani Mtwara.

Mkurugenzi wa Bambo General Store Ltd, Bw. Cosmas Bambo, akitoa maoni kuhusu maboresho ya Kodi kwa mwaka 2024/25, wakati wa Kongamano la kukusanya maoni ya Kodi Kikanda lililofanyika mkoani Mtwara.

Afisa Biashara Mkoa wa Mtwara, Bi. Osmunda Kapinga (kushoto) na Katibu wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Mkoa wa Mtwara, wakisikiliza maoni ya wananchi wa mkoa huo wakati wa Kongamano la kukusanya maoni ya Kodi Kikanda, lililofanyika mkoani Mtwara.

Mjumbe wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Mkoa wa Mtwara, Bw. Seleman Kadeghe, akitoa maoni kuhusu maboresho ya kodi kwa Mwaka wa Fedha 2024/25, wakati wa Kongamano la kukusanya maoni ya Kodi Kikanda lililofanyika mkoani Mtwara.

Baadhi ya Wafanyabiashara wakiwa katika Kongamano la kukusanya maoni ya Kodi Kikanda lililofanyika mkoani Mtwara linalohusu ukusanyaji wa maoni ya maboresho ya kodi kwa mwaka 2024/25.

   

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Mtwara)

Na. Peter Haule, WF, Mtwara

Serikali imewataka wafanyabiashara wazawa kujiunga na Mfumo Mpya wa Kielektroniki wa Ununuzi ya Umma (NeST) ili kupata Zabuni zinazotolewa na Serikali na kunufaika kwa kukuza pato la mtu mmoja na Taifa kwa ujumla.

Hayo yameelezwa na Kamishna wa Idara ya Uchambuzi wa Sera, Wizara ya Fedha, Bw. William Mhoja, wakati wa Kongamano la ukusanyaji maoni ya Kodi Kikanda Mkoani Mtwara, ikiwa ni muendelezo wa makongamano kama hayo yanayofanyika Kanda mbalimbali nchini kwa lengo la kuboresha Sera ya Kodi kwa mwaka 2024/25.

“Mfumo wa NeST ni rafiki na shirikishi katika matumizi yake hivyo nawaomba wafanyabiashara kushiriki katika zabuni mbalimbali za Serikali ikiwa ni mwelekeo wa Serikali wa kuwapa kipaumbele wazawa ili fedha za walipa kodi zibaki ndani ya nchi kuweza kuchochea maendeleo ikilinganishwa na awali ambapo fedha nyingi zilikuwa zinawanufaisha wageni kwa kiwango kikubwa’’, alieleza Bw. Mhoja.

Aidha, alieleza kuwa kuna changamoto ambazo nchi imekutana nazo ikiwa ni pamoja na Uviko 19 lakini pia Vita ya Ukraine na Urusi ambazo zimesababisha baadhi ya bidhaa upatikanaji wake uwe changamoto lakini wafanyabiashara wanaweza kuitumia hali hiyo kama fursa ya kuongeza uzalishaji na kumiliki soko la bidhaa.

Bw. Mhoja alisema kuwa ni vema wananchi wakaongeza uzalishaji wa ndani ili kupunguza utegemezi wa bidhaa ambazo zinaweza kuzalishwa nchini ambazo kwa sasa zina soko.

Pia alisema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hssan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inatambua mchango wa Sekta Binafsi katika uwekezaji hivyo imeendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji na biashara ili iweze kukuza uchumi wa nchi.

Bw. Mhoja alisema kuwa Serikali inaendelea kuimarisha miundombinu wezeshi ya usafirishaji na Nishati, kuhakikisha uhimilivu wa viashiria vya uchumi jumla na kuwa na sera za kodi zinazotabirika na kuwianisha tozo na ada mbalimbali zinazotozwa na Wizara na Mamlaka za Udhibiti.

Kwa upande wake Meneja Huduma wa Taasisi ya Usuluhishi wa Malalamiko na Taarifa za Kodi (TOST), Bw. Godwin Barongo, alisema kuwa, Taasisi hiyo imeanzishwa ili kutafuta suluhisho ya malalamiko ambayo hayajapatiwa ufumbuzi na Mamlaka ya Mapato.

Alisema kuwa kama kuna mlipakodi ana malalamiko anayo nafasi ya kwenda kwenye Ofisi za Taasisi hiyo ambazo zipo Dodoma au kuwasiliana kwa njia ya simu ili kutatua changamoto ya mteja kwa muda mfupi na kusaidia kodi ya Serikali kulipwa bila malalamiko.

Naye Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo (TCCIA), mkoa wa Mtwara, Bw. Kizito Galinoma, alisema hatua ya Serikali kuwafikia katika Kanda zao inadhihirisha dhamira njema ya kutatua changamoto za kikodi kwa wafanyabiashara, wenye viwanda, wakulima na wavuvi, hivyo Chama hicho kitaendelea kutoa ushirikiano ili kutatua kero mbalimbali.

Timu ya Wataalam wa Uchambuzi wa Sera za Kodi kutoka Wizara ya Fedha ianendelea na ukusanyaji wa maoni kwa wananchi Kikanda ambapo hadi sasa Kanda tano zimefikiwa kupitia zoezi hilo lililofanyika mkoa wa Arusha, Mwanza, Kigoma, Mbeya na Mtwara.

About the author

mzalendo