Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

grandpashabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

bets10

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

Uncategorized

WAFANYABIASHARA WATAKIWA KUSHIRIKI ZABUNI KUPITIA NeST

Written by mzalendo

Kamishna wa Idara ya Uchambuzi wa Sera, Wizara ya Fedha, Bw. William Mhoja, akieleza kuhusu umuhimu wa maoni ya wadau katika uboreshaji wa Sera za Kodi wakati wa Kongamano la kukusanya maoni ya Kodi Kikanda lililofanyika mkoani Mtwara, ikiwa ni mwendelezo wa makongamano hayo ya uboreshaji wa Kodi.

Meneja Huduma wa Taasisi ya Usuluhishi wa Malalamiko na Taarifa za Kodi (TOST), Bw. Godwin Barongo, akieleza lengo la kuanzishwa kwa Taasisi hiyo ikiwa ni pamoja na kutatua malalamiko ya Kodi, wakati wa Kongamano la kukusanya maoni ya Kodi Kikanda lililofanyika mkoani Mtwara.

Mkurugenzi wa Bambo General Store Ltd, Bw. Cosmas Bambo, akitoa maoni kuhusu maboresho ya Kodi kwa mwaka 2024/25, wakati wa Kongamano la kukusanya maoni ya Kodi Kikanda lililofanyika mkoani Mtwara.

Afisa Biashara Mkoa wa Mtwara, Bi. Osmunda Kapinga (kushoto) na Katibu wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Mkoa wa Mtwara, wakisikiliza maoni ya wananchi wa mkoa huo wakati wa Kongamano la kukusanya maoni ya Kodi Kikanda, lililofanyika mkoani Mtwara.

Mjumbe wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Mkoa wa Mtwara, Bw. Seleman Kadeghe, akitoa maoni kuhusu maboresho ya kodi kwa Mwaka wa Fedha 2024/25, wakati wa Kongamano la kukusanya maoni ya Kodi Kikanda lililofanyika mkoani Mtwara.

Baadhi ya Wafanyabiashara wakiwa katika Kongamano la kukusanya maoni ya Kodi Kikanda lililofanyika mkoani Mtwara linalohusu ukusanyaji wa maoni ya maboresho ya kodi kwa mwaka 2024/25.

   

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Mtwara)

Na. Peter Haule, WF, Mtwara

Serikali imewataka wafanyabiashara wazawa kujiunga na Mfumo Mpya wa Kielektroniki wa Ununuzi ya Umma (NeST) ili kupata Zabuni zinazotolewa na Serikali na kunufaika kwa kukuza pato la mtu mmoja na Taifa kwa ujumla.

Hayo yameelezwa na Kamishna wa Idara ya Uchambuzi wa Sera, Wizara ya Fedha, Bw. William Mhoja, wakati wa Kongamano la ukusanyaji maoni ya Kodi Kikanda Mkoani Mtwara, ikiwa ni muendelezo wa makongamano kama hayo yanayofanyika Kanda mbalimbali nchini kwa lengo la kuboresha Sera ya Kodi kwa mwaka 2024/25.

“Mfumo wa NeST ni rafiki na shirikishi katika matumizi yake hivyo nawaomba wafanyabiashara kushiriki katika zabuni mbalimbali za Serikali ikiwa ni mwelekeo wa Serikali wa kuwapa kipaumbele wazawa ili fedha za walipa kodi zibaki ndani ya nchi kuweza kuchochea maendeleo ikilinganishwa na awali ambapo fedha nyingi zilikuwa zinawanufaisha wageni kwa kiwango kikubwa’’, alieleza Bw. Mhoja.

Aidha, alieleza kuwa kuna changamoto ambazo nchi imekutana nazo ikiwa ni pamoja na Uviko 19 lakini pia Vita ya Ukraine na Urusi ambazo zimesababisha baadhi ya bidhaa upatikanaji wake uwe changamoto lakini wafanyabiashara wanaweza kuitumia hali hiyo kama fursa ya kuongeza uzalishaji na kumiliki soko la bidhaa.

Bw. Mhoja alisema kuwa ni vema wananchi wakaongeza uzalishaji wa ndani ili kupunguza utegemezi wa bidhaa ambazo zinaweza kuzalishwa nchini ambazo kwa sasa zina soko.

Pia alisema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hssan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inatambua mchango wa Sekta Binafsi katika uwekezaji hivyo imeendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji na biashara ili iweze kukuza uchumi wa nchi.

Bw. Mhoja alisema kuwa Serikali inaendelea kuimarisha miundombinu wezeshi ya usafirishaji na Nishati, kuhakikisha uhimilivu wa viashiria vya uchumi jumla na kuwa na sera za kodi zinazotabirika na kuwianisha tozo na ada mbalimbali zinazotozwa na Wizara na Mamlaka za Udhibiti.

Kwa upande wake Meneja Huduma wa Taasisi ya Usuluhishi wa Malalamiko na Taarifa za Kodi (TOST), Bw. Godwin Barongo, alisema kuwa, Taasisi hiyo imeanzishwa ili kutafuta suluhisho ya malalamiko ambayo hayajapatiwa ufumbuzi na Mamlaka ya Mapato.

Alisema kuwa kama kuna mlipakodi ana malalamiko anayo nafasi ya kwenda kwenye Ofisi za Taasisi hiyo ambazo zipo Dodoma au kuwasiliana kwa njia ya simu ili kutatua changamoto ya mteja kwa muda mfupi na kusaidia kodi ya Serikali kulipwa bila malalamiko.

Naye Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo (TCCIA), mkoa wa Mtwara, Bw. Kizito Galinoma, alisema hatua ya Serikali kuwafikia katika Kanda zao inadhihirisha dhamira njema ya kutatua changamoto za kikodi kwa wafanyabiashara, wenye viwanda, wakulima na wavuvi, hivyo Chama hicho kitaendelea kutoa ushirikiano ili kutatua kero mbalimbali.

Timu ya Wataalam wa Uchambuzi wa Sera za Kodi kutoka Wizara ya Fedha ianendelea na ukusanyaji wa maoni kwa wananchi Kikanda ambapo hadi sasa Kanda tano zimefikiwa kupitia zoezi hilo lililofanyika mkoa wa Arusha, Mwanza, Kigoma, Mbeya na Mtwara.

About the author

mzalendo