marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

lordbahis

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

pusulabet

imajbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

pusulabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

sonbahis

jojobet

marsbahis

imajbet giriş

imajbet

ngsbahis

piabellacasino

mislibet

ngsbahis

goldenbahis

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

betcio, betcio giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

madridbet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

sahabet

Madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

casibom

marsbahis

jojobet giriş

jojobet

alobet

alobet giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

istanbulbahis

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

jojobet

imajbet

imajbet giriş

imajbet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

bets10 giriş

imajbet giriş

goldenbahis

imajbet

perabet giriş

perabet

ngsbahis

kralbet giriş

bahsegel

สล็อตเว็บตรง

bets10

casibom giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

casino siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey giriş

betturkey

betsat

betsat giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

gonebet, gonebet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

superbetin

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

romabet

jojobet

güvenli casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

robinbet

grandpashabet

meritking

Featured Kitaifa

GGML YATOA MILIONI 17 KUNG’ARISHA ATF MARATHON

Written by mzalendo
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dk. Wilson Charles akimkabidhi zawadi mmoja wa washindi wa mbio za ATF Marathon zilizofanyika mwishoni mwa wiki mkoani Morogoro huku Kaimu Mkurugenzi wa TACAIDS, Dk. Jerome Kamwela akishuhudia.
Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa GGML, Stephen Mhando (kushoto), Ofisa Utawala anayeshughulikia masuala ya fedha- GGML, Njile Mabula wakifurahia nishani baada ya kushiriki mashindano ya ATF Marathon yaliyofanyika mwishoni mwa wiki mkoani Morogoro ikiwa ni muendelezo wa maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani yanayofanyika mkoani humo kitaifa Disemba Mosi mwaka huu.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dk. Wilson Charles akimkabidhi zawadi mmoja wa washindi wa mbio za ATF Marathon kwa upande wa kilomita 66 baiskeli, zilizofanyika mwishoni mwa wiki mkoani Morogoro.

NAMWANDISHI WETU

KATIKA kuendelea kuunga mkono jitihada za Serikali kukabiliana na maambukizi ya Virus Vya Ukimwi (VVU), Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa mchango wa Sh milioni 17 kufanikisha mbio za nyika (ATF Marathon) zilizofanyika mkoani Morogoro ikiwa ni muendelezo wa maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani yanayofanyika mkoani humo kitaifa Disemba Mosi mwaka huu.

Akizungumzia ushiriki wa GGML katika mbio hizo za ATF Marathon zilizofanyika Morogoro Jumapili tarehe 26 Novemba 2023, Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa GGML, Stephen Mhando alisema mchango huo ni moja ya jitihada za kampuni hiyo katika kuwahamasisha na kuwaelimisha wananchi juu ya ugonjwa huo na kuutokomeza ifikapo 2030.

“Ufadhili huu wa GGML unadhibitisha dhamira ya dhati ya kampuni yetu kudumisha uendelevu kwa watu wote. Kwamba tunalenga kuhakikisha kuwa jamii inayozunguka shughuli za mgodi wetu na hata walio nje ya Geita wanafaidika na uwepo wa kampuni hii.

“Fedha hizi tunaamini zitagusa moja kwa moja maisha ya watu wanaoishi na VVU… Geita ikiwa moja ya mikoa yenye idadi kubwa ya wachimbaji madini ikiwamo wasio na VVU pamoja na wenye VVU, kwetu sisi GGML ni vigumu kukwepa jukumu kama hilo la kuwajali watu wa aina hii na kuwawezesha kwa namna mbalimbali.”

Awali akizungumza katika hafla ya kuwapokea washiriki wa mbio hizo zilizofanyika katika viwanja vya shule ya sekondari ya Morogoro iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dk. Wilson Charles aliipongeza GGML na wadau wengine kwa kuunga mkono mbio hizo.

“Napongeza juhudi zinazochukuliwa na wadau wetu ikiwamo GGML pamoja wananchi katika ushiriki wao kwenye Mbio za hizi za Nyika zinazolenga kutunisha Mfuko wa Udhibiti wa UKIMWI (ATF) na  kuunga mkono sera ya ‘Tokomeza Ukimwi, Tanzania bila Ukimwi inawezekana,” alisema kwa niaba ya Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa.

Alisema wananchi wanapaswa kushirikiana na Serikali katika kupambana na maambukizi mapya ya UKIMWI ambayo hupunguza kasi ya maendeleo ya Taifa.

“… nipende kuwapongeza kwa kujitokeza kwa wingi kushiriki mbio hizi kwani mmeonekana mmeguswa na mna nia ya kushirikiana na Serikali katika kuhakikisha malengo ya kutokomeza maambukizi ya virusi vya UKIMWI ifikapo mwaka 2030 yanafanikiwa,” aliongeza.

Kwa upande wake, Mshiriki wa ATF Marathon, Neema Matheo alisema kuwa mazoezi ni muhimu kwa mwili wa mwanadamu kwani bila mazoezi mwili huweza  kupata magonjwa  yasiyoambukiza kwa haraka na urahisi zaidi yakiwemo ugonjwa wa Moyo na Kisukari.

Katika mbio hizo mshindi wa kwanza wa kilomita 21 alipata zawadi ya Sh 300,000, mshindi wa pili Sh 250,000 na wa tatu Sh 200,000 vivyo hivyo kwa upande wa washindi wa mbio za baiskeli km 66.

Maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani, mwaka huu kitaifa yanafanyika mkoani Morogoro, yakiongozwa na kauli mbiu isemayo “Jamii iongoze kutokomeza Ukimwi”. Mgeni rasmi wa maadhimisho hayo anatarajiwa kuwa, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

About the author

mzalendo