marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

sapanca escort

escort bayan

imajbet

palacebet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

ultrabet giriş

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

bahiscasino

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

imajbet

grandbahis

betpipo giriş

imajbet

betpipo

grandbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

celtabet, celtabet giriş

jasminbet, jasminbet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

superbetin

trimology review

celtabet

meritking giriş

meritking

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

starzbet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

starzbet

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

casibom

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

trendbet giriş

Milanobet

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

padişahbet giriş

padişahbet

holiganbet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

ifşa

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

bahiscasino

vdcasino

vaycasino giriş

perabet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

elitbahis

สล็อตเว็บตรง

zirvebet

superbetin

jojobet

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

vipslot

bahis siteleri

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

casinomilyon

deneme bonusu veren siteler

eminevim

tipobet

tipobet giriş

Featured Kitaifa

WAZIRI MKUU ATAKA RIPOTI MAALUM YA CAG MBOZI IFANYIWE KAZI HARAKA

Written by mzalendo

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasalimia wananchi kwenye Uwanja wa Malori Vwawa Wilayani Mbozi Mkoa wa Songwe,

….

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemwagiza Mkuu wa Mkoa wa Songwe na Kamati ya Ulinzi ya Mkoa huo wawasake watu 72 waliohusika na upotevu wa fedha za Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi ili wazirudishe na kuchukuliwa hatua za kinidhamu.

“RC na KU yako pitieni ripoti ya ukaguzi maalum uliofanywa na CAG kuhusu tuhuma za ubadhirifu wa fedha hapa Mbozi na muwashirikishe madiwani. Watu hao watafutwe walipe hela zetu na wachukuliwe hatua za kinidhamu,” alisema.

Ametoa agizo hilo jana jioni (Ijumaa, Novemba 24, 2023), wakati akizungumza na watumishi na viongozi wa Halmashauri ya Mbozi, Madiwani kwenye ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa huo.

Akizungumzia mapato na matumizi ya Halmashauri hiyo, Waziri Mkuu alisisitiza suala la uaminifu miongoni mwa watumishi wa umma hasa wa vitengo vya manunuzi na uhasibu ambapo alisema taarifa hiyo imebainisha uwepo wa wizi wa wazi katika manunuzi.

“Mojawapo ya masuala yaliyojitokeza kwenye taarifa hiyo ni manunuzi ya vifaa vya ujenzi vyenye thamani ya shilingi milioni 406 bila risiti. Haiwezekani kabisa kwamba sisi tukaenda kufanya manunuzi lakini hatudai risiti wakati tunajua ni hela ya Serikali.”

Akizungumzia tuhuma za ujenzi wa shule ya sekondari ya Kisimani, watumishi hao walibadilisha ramani bila idhini kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI na kusababisha gharama za ujenzi zipande. “Tulikuwa na ramani ya awali kwa gharama ya sh. milioni 466 lakini ninyi mkabadilisha ramani na kuongeza sh. milioni 206 lakini timu ilipoenda kukagua eneo la mradi, ilibaini uwepo wa nyufa, fremu za milango kupinda na kupishana na venti 28 kutowekewa nondo wala vioo.”

Akibainisha makosa mengine, Waziri Mkuu alisema taarifa hiyo imeonesha kuwa kuna upotevu wa sh. 292,375,419.93 za makusanyo yaliyoainishwa katika Mfumo wa Mapato (LGRCIS) lakini hazikuwasilishwa benki.

“Kati ya hizo, shilingi 90,670,578.14 zilikusanywa lakini hazikuwasilishwa benki na wakusanyaji 44; shilingi 66,821,913.26 zilikuwa ni miamala iliyoingizwa kimakosa katika mfumo huo; shilingi 65,570,298.61 kutofafanuliwa kutokana na wakusanyaji 28 ambao ni mawakala na Watendaji wa Vijiji kutowasilisha ufafanuzi; shilingi 64,182,729.91 ziliwasilishwa benki na wahusika wakati ukaguzi maalum unaendelea na shilingi 5,129,900 ziliwasilishwa katika akaunti ya amana ya Halmashauri badala ya akaunti  ya mapato.”

Akitoa mifano zaidi, Waziri Mkuu alisema: “Kuna wakala alikusanya sh.15,310,500.00 lakini yeye akapeleka benki sh. 310,500.00 tu na ile sh. milioni 15 ameweka mfukoni, haikubaliki. Mwingine alikusanya 2,357,100.00 akapeleka benki sh. 875,300.00 na sh. milioni 1.481,800.00 amekula. Wa tatu alikusanya sh. 12,597,020.00 akapeleka benki sh. 101,500.00, na wa nne alikusanya sh.18,902,710.00 akapeleka benki sh. 13,725,510.00 na pesa ilibakia ya sh.5,177,200 ameila. Hawa mnawajua na baadhi yao ni watendaji wa vijiji. Watafutwe na warudishe hizi fedha.”

Alisema upotevu mwingine wa fedha ulitokana na mauzo ya kahawa za wakulima ambapo mzigo wa kahawa wenye thamani ya sh. bilioni 1.18 umepotea. “Halmashauri hii inafanya kazi kwa karibu na Bodi ya Kahawa. Kahawa za wakulima zilipotea lakini pia mlishindwa kusimamia ushuru wa zaidi ya sh. milioni 75 ambao ulipaswa kulipwa na bodi hiyo na kuingia Halmashauri.”

Aliwasisitiza watumishi hao watambue kuwa kazi ya makusanyo ya mapato inahitaji uaminifu na uadilifu. “Wakati Serikali inakimbizana kukusanya mapato, wako watu wengine wanatushika mashati na kutuvuta tusiende mbele.”

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasalimia wananchi kwenye Uwanja wa Malori Vwawa Wilayani Mbozi Mkoa wa Songwe, Novemba 24, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 

About the author

mzalendo