marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

sapanca escort

sapanca escort

vdcasino

vdcasino

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

milanobet

holiganbet

casibom

dizipal

1xbet giriş

1xbet

tambet

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

perabet giriş

imajbet

grandbahis giriş

imajbet

grandbahis

imajbet giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

ultrabet, ultrabet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

starzbet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

aaa

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

bets10

Milanobet

jojobet

cratosroyalbet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

betsat

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

padişahbet

holiganbet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

cratosroyalbet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

esbet

vdcasino

bets10 giriş

perabet

efesbet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

perabet

สล็อตเว็บตรง

zirvebet

casibom giriş

jojobet

bets10

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

slot siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

sorgu paneli

galabet, galabet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

roketbet, roketbet giriş

betsat

holiganbet

betsat

betsat giriş

deneme bonusu veren siteler

tipobet giriş

casibom

kralbet

en iyi slot siteleri

Featured Kitaifa

WIZARA ZA NISHATI SMT  NA SMZ  ZATIA SAINI HATI YA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO SEKTA YA NISHATI

Written by mzalendo

Wizara ya Nishati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Wizara ya Maji, Nishati na Madini ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar leo zimesaini hati ya makubaliano itakayopelekea kuimarisha zaidi ushirikiano katika maeneo mbalimbali ikiwemo uandaaji wa sera na sheria, utafiti kuhusu uendelezaji wa sekta ya nishati, kubadilishana takwimu, uzoefu, pamoja na utaalam katika maeneo yanayohusu Sekta.

Hati hiyo ya Makubaliano imetiwa saini na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko kwa upande wa Tanzania Bara na Waziri wa Maji, Nishati na Madini wa Zanzibar, Mhe.Shaib Hassan Kaduara katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam tarehe 12 Novemba, 2023.

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amesema kuwa, kutiwa saini kwa hati hiyo ni utekelezaji wa maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Ali Mwinyi ambao mara kadhaa wametoa maelekezo kwa Wizara hizo mbili kuwa na ushirikiano ili kuendeleza Sekta ya Nishati nchini.

“Viongozi wetu wakisema, kinachotakiwa kutokea ni matokeo ya kile kilichosemwa, vinginevyo tutakuwa hatuwasaidii kama wanasema na hakuna mabadiliko, ninataka niwahakikishie kwamba sisi tunathamini sana mashirikiano tuliyonayo na ushirikiano huu utakuwa endelevu.” Amesema Dkt. Biteko

Ameeleza kuwa, makubaliano hayo yatahusisha Taasisi zilizo chini ya Wizara hizo mbili ikiwemo Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na Kampuni ya Maendeleo ya Mafuta na Gesi Asilia Zanzibar (ZPDC), Mamlaka ya Udhibiti wa Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) na Mamlaka ya Udhibiti wa Utafutaji na Uchimbaji wa Mafuta na Gesi Asilia (ZPRA) , Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (ZURA), Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Shirika la Umeme Zanzibar (ZECO).

“Tumesaini hati hizi si kwa ajili ya kupiga picha bali tunataka tuone matokeo yanatokea, hivyo tukafanye ufuatiliaji wa yale tuliyokubaliana, hivyo inabidi tuwe na timu ndogo za kufuatilia yale tuliyokubaliana ili mwisho wa mwaka tupime tumefika wapi. Kwa upande wa Tanzania Bara tutahakikisha kila tulichokubaliana kinatekelezwa.” Amesema Dkt. Biteko

Katika hatua nyingine, Dkt.Biteko amesema kuwa, msisitizo kwa wananchi wa kutumia nishati safi ya kupikia sasa hautaishia Tanzania Bara pekee bali hatua za uhamasishaji zitafanyika hadi Zanzibar hivyo Wazanzibar watafaidika pia kwa kupata mitungi ya gesi lengo likiwa ni kuwahamasisha kutumia nishati safi ya kupikia.

Kuhusu umeme amesema kuwa, laini ya kV 132 inayotoa umeme Tanzania Bara kwenda Zanzibar imeshazidiwa kwani matumizi ya umeme yameshakuwa makubwa kutokana na shughuli za utalii, viwanda na matumizi mengine hivyo kwa sasa mpango uliopo ni kujenga laini ya kV 220 ili kupeleka umeme wa uhakika Zanzibar.

Akizungumzia makali ya umeme nchini, Dkt.Biteko amesema kuwa, makali ya umeme yanaendelea kupungua kwani kulikuwa kuna upungufu wa megawati 810 lakini sasa umepungua na kufikia megawati 240 na imani iliyopo ni kuwa mwanzoni mwa mwaka 2024 makali ya umeme yatakuwa yamepungua kwa kiasi kikubwa.

Kwa upande wake, Waziri wa Maji, Nishati na Madini wa Zanzibar, Mhe.Shaib Hassan Kaduara amesema kuwa, hati zilizosainiwa ni nyenzo za kuendelea kushirikiana katika masuala mbalimbali kwenye Sekta ya Nishati.

Amesema kuwa, wanategemea Wataalam wa Tanzania Bara na Zanzibar wataendelea kushirikiana kwenye masuala mbalimbali ikiwemo la kutatua changamoto ya upotevu wa umeme unaotokana na wizia au masuala mengine ya kitaalam hivyo anaamini wataalam wakishirikiana wanaweza kutatua changamoto hiyo.

Viongozi mbalimbali waliohudhuria hafla hiyo ni Naibu Waziri wa Maji, Nishati na Madini, Zanzibar, Mhe.Shaaban Ali Othman, Katibu Mkuu Wizara ya Nishati Tanzania Bara, Mhandisi Felchesmi Mramba, Katibu Wizara ya Maji, Nishati na Madini Zanzibar, Joseph Kilangi, Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Maji, Nishati na Madini, Zanzibar, Bi.Mwanajuma Abdullah na Mkurugenzi wa Sera na Mipango, Wizara ya Nishati, Tanzania Bara, Petro Lyatuu.     

About the author

mzalendo