Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

holiganbet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

perabet

grandpashabet

grandpashabet

betsat

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

jojobet güncel giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

Featured Kitaifa

MHE. HEMED AKABIDHI TUNZO ZA UMAHIRI ZA ZBS KWA MWAKA 2026

Written by Alex Sonna

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kuiimarisha Taasisi ya viwango Zanzibar ( ZBS ) ili kuendana na mabadiliko ya teknolojia duniani katika kuhakikisha ubora wa bidhaa kabla ya kumfikia mtumiaji.

Hayo yamemwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abulla katika hafla ya usiku wa tunzo za umahiri za ZBS kwa mwaka 2026 hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa ndege Zanzibar.

Amesema katika kutambua umihimu wa viwango vya bidhaa na huduma ndani na nje ya nchi Serikali imeanzisha Taasisi ya viwango kupitia sheria ya viwango ya Zanzibar No. 1 ya mwaka 2011 na kuipa jukumu la kuweka viwango na kuvisimamia, kusimamia ubora wa bidhaa na huduma pamoja na kufanya uchunguzi wa bidhaa kupitia maabara mbali mbali kwa lengo la kuhakikisha usalama na afya ya mtumiaji.

 Mhe. Hemed amesema Serikali tayari imezidua mfumo jumuishi wa kisasa wa kielektroniki unaojulikana kwa jina la ZBS Viwango ili kuweza kuiwezesha taasisi hio kufatilia bidhaa kwa usahihi, kutoa vyeti vya ubora kwa haraka na kuwawezesha wadau kupata taarifa kwa njia ya kidigitali hatua itakayoongeza ufanisi zaidi katika sekta ya viwanda na bishara na kuchochea maendeleo ya uchumi nchini.

Aidha amefahamisha kuwa, Serikali imedhamiria kujenga jengo la kisasa katika eneo la viwanda la Dunga Zuze litakalokuwa na Maabara 20 za kutolea huduma mbali mbali pamoja na kujengwa Maabara ya kisasa na jengo la utawala katika eneo la Viwanda Chamanangwe Pemba .

Sambamba na hayo Makamu wa Pili wa Rais amewahimiza wazalishaji, wafanya biashara na watoa huduma wote kuendelea kuzingatia viwango vinavyowekwa na Serikali ikizingatiwa kuwa ubora wa bidhaa kwani ndio silaha muhimu ya mafanikio ya kiuchumi.

Aidha amesema ubora wa bidhaa si jambo la hiari bali ni wajibu hivyo ni jukumu la kila mfanya biashara na mtumiaji kuhakikisha Zanzibar inaendelea kuwa kitovu cha bidhaa na huduma zenye viwango vya ubora vinavyokubalika Kitaifa, Kikanda na Kimataifa.

Hata hivyo amewataka wale wote ambao wametunukiwa tunzo kuendelea kuzalisha na kutoa huduma zenye ubora na zenye viwango paamoja na kutumia ubunifu na teknologia ili kuendana na masoko ya Kitaifa na Kimataifa.

Nae Kaimu Waziri wa Wizara ya Biashara na Maendeleo ya Viwanda ambae pia ni Waziri wa Kazi na Uwekezaji Mhe. Sharif Ali Sharif amesema Taasisi ya viwango Zanzibar ( ZBS) imepiga hatua katika kuhakikisha inaangalia ubora wa bidhaa zote zinazoingia na zinazozalishwa nchi kwa maslahi mapana ya watumiaji na nchi kwa ujumla.

Amesema kuwa serikali imeianzisha Taasisi hio kwa lengo la kuhakikisha inasimamia ubora wa bidhaa zote zinazozalishwa na viwanda vya ndani pamoja na wajasiriamali ziweze kuingia katika soko la ushindani la Kikanda na Kimataifa na kusaidia kukuza uchumi wa nchi.

Waziri Sharif amesema katika soko la dunia kumekuwa na ushindani mkubwa kwa wafanya biashara na wajasiriamali hivyo amewataka wafanya biashara kuzalisha bidhaa zenye viwango vya hali ya juu kwa kuzingatia viwango vilivyowekwa na serikali.

Mapema Mkurugenzi Mkuu wa ZBS ndugu YUSSUF MAJID NASSOR amesema katika mchakato wa kuwapata washindi katika masindano ya tunzo hizo ZBS ilipokea maombi 42 kutoka kwa wafanyabiashara mbali mbali wakiwemo wajasiriamali wadogo wadogo.

Amesema katika kuwapata washindi wa tuzo hizo, kamati mbali mbali zenye wataalamu wa uchumi na maendeleo ya biashara ziliundwa ambazo ziliangalia kwa kina vigezo vya msingi vya mashindano hayo ambavyo ni kuandaa kazi zenye kuzingatia Ubunifu, Ubora, Maudhui, Uwasilishaji, athari kwa jamii pamoja na kuzingaia maadili ya taaluma.      

About the author

Alex Sonna