marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

izmit escort

izmit escort

izmit escort

pusulabet

matbet

meritking giriş

kavbet

bets10 giriş

ultrabet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

1win

marsbahis

ngsbahis

betlike

parmabet

mislibet

mislibet

meritbet giriş

nitrobahis

meritbet

jojobet

kulisbet giriş

meritking

kulisbet, kulisbet giriş

vdcasino, vdcasino giriş

vdcasino, vdcasino giriş

kralbet

jojobet

restbet

jojobet

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

betcio

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

enjoybet giriş

betebet

betgar, betgar giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

Featured Kitaifa

TAKRIBANI WATU LAKI MBILI NCHINI WANA UGONJWA WA SELIMUNDU

Written by mzalendo

Na. WAF, D odoma

Takribani watu Laki Mbili nchini wana ugonjwa wa Selimundu (Sickle Cell) huku watoto Elfu Kumi na Moja (11,000) huzaliwa wakiwa na ugonjwa wa Selimundu unaohusisha kurithi vinasaba toka kwa wazazi ndani ya mwaka mmoja.

Hayo yamebainishwa leo Bungeni Jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel wakati akijibu swali Namba 124 kwa niaba ya Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu kutoka kwa Mbunge wa Viti Malum Mhe. Fatma Hassan Toufiq aliyeuliza ni Watanzania wangapi wenye tatizo la Sickle cell na ni Mikoa mingapi imeathiriwa sana na ugonjwa huu.

Dkt.Mollel amesema kuwa Mikoa iliyoathiriwa zaidi na ugonjwa wa Selimundu ni Mwanza, Tabora, Kigoma, Mara, Dar es Salaam pamoja na Pwani.

“Tafiti zinaonesha sehemu zenye maambukizi ya ugonjwa wa malaria kwa wingi ndizo ambazo pia zina wagonjwa wengi wa Selimundu”. Ameeleza Dkt. Mollel

Amesema, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya kiongozi makini Rais Samia Suluhu Hassan hivi karibuni iliamua kuwekeza shilingi bilioni 2.7 ili kuanzisha huduma ya upandikizaji uloto na kupunguza gharama za matibabu ya Selimundu kwa wananchi.

“Kuimarika kwa huduma za kibingwa na bobezi nchini kumepunguza gharama kubwa iliyokuwa inatumiwa na Serikali ili kuwezesha Watanzania wenye uhitaji kupata huduma hizo nje ya nchi, huduma hii ya upandikizaji uloto ikitolewa katika hospitali zetu hapa nchini, itagharimu shilingi milioni 50 hadi 55 kwa mgonjwa mmoja”. Amesema Dkt. Mollel.

Aidha, kwa mujibu wa takwimu za Mfumo wa Taarifa za Uendeshaji wa Huduma za Afya (MTUHA) zinaonesha kuwa jumla ya wagonjwa Elfu 86,990 wa Sickle Cell walihudumiwa kwa mwaka 2022.

Dkt. Mollel wakati akimalizia kujibu swali ametoa wito kwa Wananchi wanaotarajia kuwa wanandoa kufanya uchunguzi wa Selimundu kabla ya kuingia kwenye ndoa ili kujua hali zao na kuanza tiba mapema pale watakapo gundulika kuwa na Sickle Cell.

About the author

mzalendo