marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

imajbet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

grandpashabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

sonbahis

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

perabet giriş

klasbahis

grandbahis giriş

imajbet

grandbahis

imajbet giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

matbet, matbet giriş

betcio, betcio giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

romabet

trimology review

celtabet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

sahabet

pusulabet

grandpashabet giriş

jojobet

casibom

marsbahis

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

parobet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

trendbet giriş

bets10

jojobet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

Betwoon

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

trendbet

perabet

efesbet

pokerklas

perabet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

perabet

สล็อตเว็บตรง

bets10

romabet giriş

jojobet

deneme bonusu

kingroyal

trust score weak 3

jojobet

slot siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

dinamobet

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

milanobet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

sorgu paneli

marsbahis, marsbahis giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

superbetin

safirbet

betsat

betsat giriş

deneme bonusu veren siteler

tipobet giriş

romabet

kralbet

deneme bonusu

bets10 güncel giriş adresi

ikimisli

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

casibom

holiganbet

casibom

casibom

marsbahis

matbet

sekabet

imajbet giriş

Featured Kitaifa

WAZIRI MCHENGERWA:‘SIKU ZA WATUMISHI WABADHIRIFU ZINAHESABIKA’

Written by mzalendo

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Mohamed Mchengerwa ,akichangia hoja ya taarifa za kamati tatu za Bunge kuhusu ripoti ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali(CAG) bungeni jijini Dodoma.

OR-TAMISEMI

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Mohamed Mchengerwa amewatahadharisha viongozi katika Tawala za Mikoa na Mamlaka ya Serikali za Mitaa ambao ni wazembe, wasio na nidhamu na wabadhilifu kuwa siku zao zinahesabika.

Akichangia hoja ya taarifa za kamati tatu za Bunge kuhusu ripoti ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali(CAG) Mchengerwa alisema:” wale wote waliotajwa kwenye ripoti naomba kusema maneno yafuatayo; ole wake kiongozi yeyote mzembe, asiye na nidhamu na mbadhilifu  kwenye wizara yangu na nitakayemkuta huko naomba niwaambie siku zao zinahesabika.”

Kauli ya Mchengerwa iliamshamshangwe kutoka kwa Wabunge huku wakigonga meza.

Aidha, Mchengerwa alimuelekeza Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Adolf Nduguru kuchukua hatua dhidi ya Mkurugenzi wa Igunga ambaye alikua Mkurugenzi Kigoma Manispaa, Athuman Msabila kumsimamisha kazi mara moja kwasababu ya ushiriki wake wa fedha za mifumo akishirikiana na watendaji wa mifumo walioko Ofisi ya Rais Tamisemi waliotajwa.

 “Watu hawa wasimamishwe kazi mara moja.”

Aidha, Mchengerwa amesema tayari wizara yake imeanza kutekeleza taarifa ya Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali CAG kwa kuchukua hatua mbalimbali kwa wakurugenzi wa halmashauri zikiwemo za kuwasimamisha kazi, kutengua uteuzi na kuwafikisha mahakamani.

” Serikali ya awamu ya sita inachukia hatua madhubuti za kupambana na wabadhilifu wa fedha za umma kwenye mamlaka za Serikali za Mitaa.”

Amesema wamewasimamiasha kazi watumishi walioshiriki kwenye ubadhirifu wa fedha za Serikali katika Halmashauri mbalimbali na kuchukua hatua kwa wakurugenzi wa halmashauri mbalimbali ikiwemo wa Jiji la Mbeya, Mwanza, Dar es Salaam na Arusha.

“Na hata aliyekuwa Mkurugenzi wa Sumbawanga akahamishiwa kwengine tumemrejesha ili akajibu kesi iliyoko mahakamani. Zile taarifa kuwa kuna watu wanahamishwa, katika kipindi hiki cha Serikali ya awamu ya sita ya Dk.Samia Suluhu Hassan mtumishi yeyote popote alipo awe amehamishwa, awe amestaafu, atakayeshiriki kwenye ubadhilifu wa fedha za umma hatutasita kumchukulia hatua na huo ujumbe tumeshautuma.”

“Hapa tunavyozungumza wataalam wangu wako uwandani kuchunguza taarifa ambazo tumeendelea kuzipokea kutoka kwa watoa taarifa mbalimbali. Kwa Sasa tunaendelea na uchunguzi katika Halmashauri za Kibaha, Kigoma, Uvinza, Ileje na Ifakara.”

Alisema pia wameshachukua hatua ya kuwaondoa wakuu wa vitengo vya manunuzi na ugavi 23, wahasibu 16, wakuu wa vitengo vya rasilimali watu 6 na wakaguzi wa ndani wawili, waganga wakuu wa mikoa 10 na waganga wa Wilaya 46.

“Taarifa hii ya LAAC iwe kengele ya kutuamsha kila mmoja tutahakikishe tunawatendea haki watanzania. Serikali inafanya kazi kubwa sana ni lazima tumtendee haki Mheshimiwa Rais kwa sisi viongozi kufanyakazi kwa bidii kila mmoja katika eneo lake.”

“Wabunge wasisite kubainisha popote wanapoona changamoto, Tamisemi tutakuwa nanyi Leo na kesho kuhakikisha tunafanya kazi kwa ajili ya Watanzania.”

About the author

mzalendo