marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

casibom giriş

jojobet

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

imajbet

vdcasino

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

jojobet

holiganbet

ibizabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

cratosroyalbet

marsbahis

marsbahis

artemisbet

artemisbet

kavbet giriş

mislibet

betra

kavbet

aresbet

jojobet

betasus giriş

holiganbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

betparibu, betparibu giriş

bekabet, bekabet giris

jojobet

Superbetin giriş

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

perabet

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet güncel giriş

betebet

betgar, betgar giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

dinamobet güncel giriş

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

tümbet

tümbet giriş

tümbet

tümbet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

starzbet

Gamdom

grandpashabet giriş

bets10

betsmove

mavibet

bets10 giriş

betsmove

netbahis

netbahis giriş

casibom

royalbet

bibubet

https://pasands.com/

يلا شوت

hantavirus token

restbet

kumar siteleri

kralbet

Grandpashabet

tümbet

tümbet giriş

tümbet

tümbet giriş

parmabet

kavbet

kavbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

artemisbet

artemisbet giriş

parmabet

parmabet giriş

mislibet

parmabet

vdcasino

marsbahis

Featured Kitaifa

COSTECH YATOA BILIONI 1.29 KUTEKELEZA MIRADI SABA YA KITAFITI

Written by Alex Sonna

Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imetoa Sh. bilioni 1.29 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi saba ya kitafiti kutoka katika taasisi mbalimbali hapa nchini.
 
Akizungumza wakati wa kuhitimisha mafunzo na utoaji ufadhili huo kwa watafiti wanufaika wa miradi hiyo Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo amesema fedha hizo zinatokana na tengeo katika bajeti kuu ya serikali pamoja na michango ya washirika wa maendeleo hususan Shirika la Kimataifa la Maendeleo ya Utafiti la Canada (IDRC) na Shirika la Maendeleo la Taifa la Norway (NORAD).
 
Amesema Serikali imeendelea kuongeza rasilimali fedha, kuweka mazingira rafiki na wezeshi ili kuvutia wadau wengine ndani na nje ya nchi kuwekeza katika shughuli za utafiti na ubunifu nchini.
 
“Mazingira rafiki yameleta ambao umewezesha Serikali katika kipindi cha miaka mitano (2019-2022), kugharamia jumla ya miradi 49 ya utafiti, iliyojumuisha zaidi ya watafiti 235 kutoka Taasisi za Elimu ya Juu na zile za Utafiti na Maendeleo nchini,” amesema Prof Nombo
 
Ameongeza kuwa Taasisi 11 za Elimu ya Juu na Utafiti zimewezeshwa kukarabati na kununua vifaa vya maabara za utafiti na miundombinu mingine. Katika kipindi husika, kiasi cha Shilingi Bilioni 9.04 kimetumika katika kutekeleza matokeo hayo.
 
Akizungumzia matokeo ya utafiti utakaofanyika kupitia ufadhili uliotolewa Prof. Nombo amesema inatarajiwa kuimarisha ufaulu katika somo la hisabati kwa shule za msingi na sekondari, na kuongeza matumizi ya teknolojia zinazoibukia  hususan matumizi ya akili bandia katika kuchagiza maendeleo katika sekta za Kilimo na Uvuvi, Afya, Elimu, na Manunuzi serikalini.
 
“Nimefarijika kuona tafiti zimejikita katika maeneo muhimu ya jamii na yanashirikisha sekta husika, kipekee niwapongeze TAKUKURU ambao mmeshirikiana na vyuo kuingia katika ushindani na kushinda kupata ufadhili Hivyo nasisitiza watafiti kuhusisha wadau wa sekta husika na tafiti mnazofanya na kuzingatia vipaumbele vya tafiti kitaifa( National Reserch Agenda)”, Amesema Nombo

Kwa upande wake Mkurugenzi Mkuu wa Costech, Dkt. Amos Nungu amesema kupitia mashirikiano hayo yaliyopo, COSTECH imefanikiwa kuleta fedha za utafiti hapa nchini zenye thamani ya takribani TZS. 9 bilion kwa kipindi cha miaka minne. Fedha hizi zimepitia COSTECH kwenda kwa watafiti wetu, na zingine zimeenda moja kwa moja kwao.
 
Ametaja  baadhi ya maeneo yaliyonufaika na fedha hizi ni kuwa ni  Uanzishwaji wa Vigoda viwili vya utafiti katika chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) na Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Afrika ya Nelson Mandela (NM-AIST) Arusha na Tathmini ya madhara ya COVID19 kupitia MUHAS, UDOM.
 
“Nitoe wito kwa taasisi za utafiti na vyuo vikuu kuleta Tungo zao (proposals) kwenye eneo la usalama wa chakula. Mwisho wa kuwasilisha ni tarehe 10.09.2023 na kiasi cha fedha za kitanzania shilingi milion 650 zitatumika kufadhili miradi ya utafiti itakayoshinda,”amesema Dkt. Nungu

Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia  Prof. Carolyne Nombo 
akizungumza jambo leo Septemba 1, 2023 Jijini Dar es Salaam katika hafla ya kuhitimisha mafunzo na utoaji Tuzo kwa Watafiti Wanufaika wa Mradi wa Utafiti iliyofadhiliwa na Serikali kupitia Tume ya Taifa ya  Sayansi na Teknolojia (COSTECH).

Mkurugenzi wa COSTECH Dkt. Amos Nungu akizungumza jambo leo Septemba 1, 2023 Jijini Dar es Salaam katika hafla ya kuhitimisha mafunzo na utoaji Tuzo kwa Watafiti Wanufaika wa Mradi wa Utafiti iliyofadhiliwa na Serikali kupitia Tume ya Taifa ya  Sayansi na Teknolojia (COSTECH).

Baadhi Watafiti kutoka Taasisi mbalimbali, wafanyakazi wa COSTECH pamoja na wadau wakiwa katika hafla ya kuhitimisha mafunzo na utoaji Tuzo kwa Watafiti Wanufaika wa Mradi wa Utafiti iliyofadhiliwa na Serikali kupitia Tume ya Taifa ya  Sayansi na Teknolojia (COSTECH).

About the author

Alex Sonna