Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

agb99

Hacking forum

deneme bonusu

casibom giriş

hackhaber

grandpashabet

film izle

casibom

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

pokerklas, pokerklas giriş

korsan taksi istanbul, istanbul korsan taksi

bets10

tipobet

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

superbetin

jojobet

betgar giriş

bets10 güncel giriş adresi

betsat

betebet

jojobet giriş

ilbet

hilbet

jojobet giriş

casibom güncel giriş

Ankara escort

kingroyal

güvenilir bahis siteleri

film izle

vdcasino giriş

betasus

marsbahis, marsbahis giriş

Google

bahiscasino

ultrabet

marsbahis giriş

casibom

Greece Fentanyl Buy

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

jojobet

jojobet

casibom giriş

jojobet giriş

sweet bonanza giriş

sweet bonanza

deneme bonusu

amgbahis

holiganbet

superbetin

casinoroyal

casinomilyon

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

marsbahis

jojobet

jojobet

pusulabet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giris

jojobet

jojobet

meritking

marsbahis

marsbahis giriş

meritking

meritking giriş

meritking

marsbahis güncel giriş

meritking güncel giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet

marsbahis

marsbahis

marsbahis

cratosroyalbet

Hacklink panel

betpas

holiganbet

Google

jojobet

holiganbet

jojobet telegram

jojobet giris

ikimisli

ikimisli giriş

marsbahis giriş

jojobet güncel giriş

marsbahis giriş

marsbahis

primebahis

tümbet

tümbet giriş

casinomaxi

casinomaxi giriş

sahabet

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

casinomaxi

casinomaxi giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

pokerklas

pokerklas

tipobet

holiganbet

porno izle

bets10

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

pokerklas, pokerklas giriş

betsmove

jojobet

ikimisli

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

betkolik

ikimisli giriş

marsbahis giriş

marsbahis giriş

ikimisli giriş

ikimisli

betkolik

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betkolik giriş

ikimisli giriş

ikimisli

ikimisli

ikimisli giriş

marsbahis

betkolik

betkolik giriş

betkolik giriş

jojobet giriş

betkolik

ikimisli

marsbahis giriş

jojobet giriş

betkolik

marsbahis giriş

betkolik giriş

jojobet mobil

ikimisli giriş

betkolik giriş

nerobet

nerobet

aresbet, aresbet giriş

matbet, matbet giriş

deneme bonusu

jojobet giriş

Deneme Bonusu

enjoybet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

artemisbet giriş

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

jojobet

jojobet

betbox

casibom

meritking giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

marsbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

bets10 sorunsuz

betsat

extrabet giriş

romabet

turkey dental implants

mavibet

artemisbet

setrabet

jojobet

pulibet

süratbet

perabet

nerobet

mavibet güncel giriş

mavibet

mavibet giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

mavibet

mavibet giriş

kavbet

kavbet giriş

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

artemisbet

artemisbet giriş

mavibet

Featured Kitaifa

WAAJIRI WASIOPELEKEA MICHANGO YA WATUMISHI KIKAONGONI

Written by Alex Sonna

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa ,akizungumza kwenye Maadhimisho ya Miaka Mitano ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) pamoja na uzinduzi wa  mfumo wa TEHAMA wa Mfuko huo hafla iliyofanyika leo Agosti 12,2023 jijini Dodoma. 

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Wenyeulemavu, Profesa Joyce Ndalichako,akizungumza wakati wa Maadhimisho ya Miaka Mitano ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) pamoja na uzinduzi wa  mfumo wa TEHAMA wa Mfuko huo hafla iliyofanyika leo Agosti 12,2023 jijini Dodoma. 

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule.akitoa salamu za Mkoa wake wakati wa Maadhimisho ya Miaka Mitano ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) pamoja na uzinduzi wa  mfumo wa TEHAMA wa Mfuko huo hafla iliyofanyika leo Agosti 12,2023 jijini Dodoma. 

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF)  CPA Hosea Kashimba,akitoa taarifa ya Mfuko huo wakati wa Maadhimisho ya Miaka Mitano ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) pamoja na uzinduzi wa  mfumo wa TEHAMA wa Mfuko huo hafla iliyofanyika leo Agosti 12,2023 jijini Dodoma. 

   

 Rais wa Shirikisho la vyama vya wafanyakazi nchini (TUCTA), Bw.Tumaini Nyamhokya,akizungumza  wakati wa Maadhimisho ya Miaka Mitano ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) pamoja na uzinduzi wa  mfumo wa TEHAMA wa Mfuko huo hafla iliyofanyika leo Agosti 12,2023 jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii Mhe.Fatma Touqi,akizungumza  wakati wa Maadhimisho ya Miaka Mitano ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) pamoja na uzinduzi wa  mfumo wa TEHAMA wa Mfuko huo hafla iliyofanyika leo Agosti 12,2023 jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini PSSSF Mhandisi Musa Iyombe,akizungumza  wakati wa Maadhimisho ya Miaka Mitano ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) pamoja na uzinduzi wa  mfumo wa TEHAMA wa Mfuko huo hafla iliyofanyika leo Agosti 12,2023 jijini Dodoma.

SEHEMU ya Washiriki wakifatilia hotuba ya Waziri  Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa (hayupo pichani), akizungumza kwenye Maadhimisho ya Miaka Mitano ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) pamoja na uzinduzi wa  mfumo wa TEHAMA wa Mfuko huo hafla iliyofanyika leo Agosti 12,2023 jijini Dodoma. 

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizindua huduma tatu za kidigitali ambazo ni utaratibu wa wanachama wapya kujiunga kwenye Mfuko, mfumo wa kidigitali wa kuanzisha madai ya mafao, uhakiki wa Wastaafu kupitia simu janja popote walipo bila kufika kwenye Ofisi za Mfuko. Uzinduzi huo

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa,akizindua huduma tatu za kidigitali ambazo ni utaratibu wa wanachama wapya kujiunga kwenye Mfuko, mfumo wa kidigitali wa kuanzisha madai ya mafao, uhakiki wa Wastaafu kupitia simu janja popote walipo bila kufika kwenye Ofisi za Mfuko hafla iliyofanyika leo Agosti 12,2023 jijini Dodoma.

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa,  akimwangalia Mstaafu Grace Solomon, wakati akitumia mfumo wa kidigitali wa uhakiki wa Wastaafu kupitia simu janja popote walipo bila kufika kwenye Ofisi za Mfuko, huduma hizo zimezinduliwa leo Agosti 12,2023 jijini Dodoma.

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa ,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuhitimisha  Maadhimisho ya Miaka Mitano ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) pamoja na uzinduzi wa  mfumo wa TEHAMA wa Mfuko huo hafla iliyofanyika leo Agosti 12,2023 jijini Dodoma. 

Na.Alex Sonna-DODOMA

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa,amewaagiza waajiri wakamilishe kulipa malimbikizo ya michango ya watumishi na tozo katika mifuko ya hifadhi ya jamii ifikapo Septemba 30 mwaka huu.

Mhe.Majaliwa ametia maagizo hayo leo Agosti 12,2023 jijini Dodoma wakati wa maadhimisho ya miaka mitano ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) zoezi lililoenda sambamba na uzinduzi wa  mfumo wa TEHAMA wa Mfuko huo hafla iliyofanyika leo Agosti 12,2023 jijini Dodoma. 

“Mifuko yote ya hifadhi ya jamii, lipeni mafao kwa wakati kama mnavyofanya sasa ili kuleta utulivu kwa wanachama. Wazee wastaafu wasisumbuliwe, kumbukeni kuwa sisi sote ni wastaafu watarajiwa,” amesema Mhe.Majaliwa

Katika hatua nyingine, Mheshimiwa Majaliwa ameziagiza taasisi za Serikali kutekeleza agizo la Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alilolitoa wakati uzinduzi wa mkongo wa mawasiliano wa 2Afrika na matumizi ya teknolojia ya 5G la kutaka taasisi zote za Serikali ziwe zinasomana ili kurahisisha na kuboresha utoaji wa huduma kwa Watanzania.

Waziri Mkuu amesema kiwango cha thamani ya uwekezaji Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) imeongezeka hadi kufikia shilingi trilioni 7.98 kwa mwaka 2022/2023 kutoka shilingi trilioni 7.5 kwa hesabu za mwaka wa fedha ulioishia Juni, 2022.

“Thamani hii ipo katika soko la hisa ambalo ni kichocheo kikubwa katika ukuaji wa mitaji nchini ambapo mfuko huo ni muwekezaji mkubwa wa ndani mwenye hisa katika makampuni makubwa kama CRDB Bank Plc, NMB Bank Plc, Tanzania Breweries Limited, na Vodacom Tanzania Plc. ”

Aidha, Mheshimiwa Majaliwa ameitaka Mifuko ya Hifadhi ya jamii kufanya uwekezaji wenye tija kwa wanachama na jamii inayolingana na thamani ya fedha za wanachama “Fanyeni utafiti wa kina kubaini masoko ili uwekezaji unaofanywa usilete hasara kwa mifuko. ” amesema

Kwa upande wake, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira,Vijana na Wenyeulemavu, Profesa Joyce Ndalichako, amesema dhamira ya Rais Dk. Samia ni kuhakikisha mifuko ya hifadhi ya jamii inaendelea kutimiza wajibu wake kwa ufanisi.

Aidha amefafanua A kuwa katika kutekeleza dhamira hiyo kwa vitendo, Rais Dk. Samia alichukua hatua ya kuimarisha mifuko hiyo kwa kutoa sh. trilioni 2.17 kupitia mfumo wa hati fungani kulipa deni la sh. trilioni 4.6 ambalo tangu mwaka 1999 halikuwahi kulipwa.

Awali Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF)  CPA Hosea Kashimba,amesema kuwa mfuko huo umefanikiwa kulipa madai ya sh. trilioni 1.03 yaliyorithiwa kutoka katika mifuko iliyounganishwa kwa wanachama na wategemezi 10,273 waliokuwa katika foleni ya muda mrefu.

Hata hivyo amesema  kwa kipindi cha miaka mitano hadi kufikia Juni mwaka huu, mfuko huo umelipa sh. trilioni 8.8 kwa wanufaika 262,095, umeweza kulinda na kuongeza thamani ya uwekezaji kutoka sh. trilioni 6.4 hadi sh. trillion 7.9 Juni mwaka huu ambayo ni wastani wa ongezeko la asimilia nne kwa kila mwaka.

“Mfuko unapata mapato yatokanayo na uwekezaji ya wastani wa asilimia nane kwa mwaka, mfuko umeweza kulinda na kuongeza thamani ya mfuko kwa asilimia 27.76 kutoka sh. trilioni 5.83 Julai 2018 hadi sh. trilioni 8.07 Juni mwaka huu,” ameeleza

About the author

Alex Sonna