marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

lordbahis

NervEase

sapanca escort

sapanca escort

escort sapanca

holiganbet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

jojobet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

palacebet

holiganbet

marsbahis

imajbet giriş

imajbet

parmabet

piabellacasino

mislibet

piabellacasino

goldenbahis

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

betcio, betcio giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

madridbet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

alobet

alobet giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

istanbulbahis

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

jojobet

imajbet

imajbet giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet güncel giriş

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

teosbet

vdcasino

bets10 giriş

imajbet giriş

goldenbahis

imajbet

imajbet giriş

imajbet güncel giriş

ngsbahis

kralbet giriş

bahiscasino

สล็อตเว็บตรง

bets10

casibom giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

casino siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

deneme bonusu veren siteler

Deneme Bonusu Veren Siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey giriş

betturkey

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

gonebet, gonebet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

süperbetin

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

romabet

meritking

güvenli casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

jetbahis

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

betoffice

norabahis

marsbahis

nesinecasino

holiganbet

mercurecasino

casinowon

grandpashabet

Featured Kitaifa

MAAGIZO YA RAIS SAMIA YASHUSHA BEI YA MAFUTA TANZANIA

Written by Alex Sonna

 

* Kenya bei ya mafuta yazidi kupaa, wenye magari wavuka mpaka hadi Tanzania kuweka mafuta

* Maagizo ya Rais Samia ya usimamizi wa uingizaji mafuta nchini na ruzuku yaleta ahueni kwa Watanzania

 

Mwandishi Wetu

MAAGIZO ya Rais Samia Suluhu Hassan yamesaidia kushusha bei ya mafuta ya petroli na dizeli nchini kwa mwezi wa pili mfululizo, huku nchi jirani ya Kenya wakilia na ukali wa maisha unaotokana na kupanda kwa bei ya mafuta.

 

Baadhi ya wamiliki wa magari kutoka Kenya wameamua kuvuka mipaka hadi Tanzania ili kuweka petroli na dizeli kwenye vituo vya mafuta vya nchini Tanzania, ambavyo huuza mafuta kwa bei ya chini kuliko Kenya.

 

Takwimu za EWURA zinaonesha kuwa kwa mkoa wa Dar es Salaam, bei ya kikomo ya petroli mwezi wa Julai imeshuka kwa Shilingi 137 kwa lita hadi kufikia Shilingi 2,736, wakati bei ya dizeli imeshuka kwa Shilingi 118 kwa lita hadi kufikia Shilingi 2,544.

 

Kwa sarafu ya Kenya, bei ya mafuta Tanzania ni sawa na Shilingi za Kenya, Ksh 147.96 kwa lita ya dizeli, na Shilingi za Kenya Ksh 159.13 kwa lita ya petroli.

 

Wakati kwa upande wa nchini Kenya, bei halisi ya petroli ni Shilingi za Kenya Ksh195.53 kwa lita wakati bei ya dizeli ni Shilingi za Kenya Ksh179.67 kwa lita.

 

“Madereva wa magari wengi wa Kenya wanavuka mipaka ya Namanga na Sirari na kuja Tanzania kuweka mafuta ya petroli na dizeli kwenye vituo vya mafuta vya Tanzania kwa ajili ya unafuu wa bei,” Aloyce Mushi, mfanyabiashara wa mafuta wa Arusha alisema.

Ahueni ya bei ya mafuta nchini Tanzania imetokana na maagizo mahsusi ya Rais Samia kuwa serikali yake ichukue hatua za kupunguza kupanda kwa gharama ya maisha nchini.

 

Rais Samia aliagiza kuwa serikali itoe ruzuku ya Shilingi Bilioni 100 kwenye bei ya mafuta kila mwezi ili kudhibiti kupanda kwa bei za petroli, dizeli na mafuta ya taa nchini.

 

Rais Samia aliagiza pia kuwa Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) ihakikishe kuwa inadhibiti ushindani wa makampuni yanayoingiza mafuta nchini kwa lengo la kushusha bei.

 

Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) nalo limeingia kwenye biashara ya kuagiza mafuta kwa pamoja ili kuleta ushindani kwa kampuni binafsi na kuhakikisha bei ya mafuta inashuka nchini.

 

Ahueni ya bei ya mafuta nchini Tanzania imeleta manufaa kwenye uchumi na pia kushusha gharama za maisha kwa wananchi wa kawaida.

 

Gharama za usafirishaji wa mizigo mbalimbali, ikiwemo chakula na bidhaa za nyumbani imeweza kudhibitiwa kutokana na bei ya mafuta kushuka.

Mafuta ya petroli na dizeli ni miongoni mwa bidhaa zinazochangia kupandisha au kushusha mfumuko wa bei nchini.

 

Mfumuko wa bei kwa mwezi Mei 2023 ulishuka hadi kufikia asilimia 4.0 kutoka asilimia 4.3 kwa mwezi Aprili 2023, kwa mujibu wa takwimu za NBS.

 

Wakati huo huo, bomba la TAZAMA lililojengwa miaka ya 1960 ambalo lilikua linasafirisha mafuta ghafi kutoka Tanzania hadi Zambia, sasa litaanza kusafirisha mafuta ya dizeli kutoka Dar es Salaam hadi Zambia, badala ya mafuta ghafi kama ilivyokua hapo awali. 

Waziri wa Nishati, January Makamba, amesema kuwa baada ya kuanza kusafirisha dizeli kwenye bomba la mafuta, hali ya usalama na mahitaji ya usalama ya bomba hilo yameongezeka sababu ni rahisi watu kushawishika kutoboa bomba hilo na kuchukua dizeli.

 

“Tumeshafanya mkutano wa kwanza mwaka jana na tuliweka makubaliano ya kuweza kulilinda bomba hili lenye urefu wa kilomita 1,710 kutoka Kigamboni, Dar es salaam, hadi Indeni-Ndola, Zambia,” alisema.

Makamba alisema kuwa bomba hili limejengwa muda mrefu na lina kipenyo chembamba, wakati biashara ya mafuta imekua na mahitaji ya mafuta yamekua makubwa zaidi.

Alisema kuna haja ya kujenga bomba pana na jipya litakalosafirisha pia bidhaa nyingine zaidi ya dizeli. Serikali zote mbili zimekua zikiongea kuhusu biashara hii ya mafuta na pia ujenzi wa bomba jipya la gesi ili kuiuzia Zambia gesi.

 

“Haya ni mashirikiano mazuri kati ya nchi zetu hizi na pia ni mwendelezo wa mahusiano mema unaofanywa na viongozi wetu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mhe. Hakainde Hichilema, Rais wa Jamhuri ya Zambia, kama yalivyoasisiwa na Viongozi wetu wa kwanza Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius K. Nyerere na hayati Kenneth Kaunda.”

About the author

Alex Sonna