Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

betsat

dinamobet giriş

ultrabet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

jojobet

casibom

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

nerobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

nakitbahis giriş

marsbahis

marsbahis

kendin tasarla mousepad

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

piabellacasino giriş

marsbahis

slot siteleri

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

grandpashabet giriş

betpark

betpark

vdcasino

jojobet

Jojobet

tipobet

Redwin

deneme bonusu

bahis siteleri

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

jojobet

tubidy

nakitbahis

Girne Escort

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Jojobet

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

casibom

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

jojobet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

grandpashabet

Hacking Forum

modabet

vdcasino giriş

casibom

lunabet

Featured Kitaifa

MAAGIZO YA RAIS SAMIA YASHUSHA BEI YA MAFUTA TANZANIA

Written by Alex Sonna

 

* Kenya bei ya mafuta yazidi kupaa, wenye magari wavuka mpaka hadi Tanzania kuweka mafuta

* Maagizo ya Rais Samia ya usimamizi wa uingizaji mafuta nchini na ruzuku yaleta ahueni kwa Watanzania

 

Mwandishi Wetu

MAAGIZO ya Rais Samia Suluhu Hassan yamesaidia kushusha bei ya mafuta ya petroli na dizeli nchini kwa mwezi wa pili mfululizo, huku nchi jirani ya Kenya wakilia na ukali wa maisha unaotokana na kupanda kwa bei ya mafuta.

 

Baadhi ya wamiliki wa magari kutoka Kenya wameamua kuvuka mipaka hadi Tanzania ili kuweka petroli na dizeli kwenye vituo vya mafuta vya nchini Tanzania, ambavyo huuza mafuta kwa bei ya chini kuliko Kenya.

 

Takwimu za EWURA zinaonesha kuwa kwa mkoa wa Dar es Salaam, bei ya kikomo ya petroli mwezi wa Julai imeshuka kwa Shilingi 137 kwa lita hadi kufikia Shilingi 2,736, wakati bei ya dizeli imeshuka kwa Shilingi 118 kwa lita hadi kufikia Shilingi 2,544.

 

Kwa sarafu ya Kenya, bei ya mafuta Tanzania ni sawa na Shilingi za Kenya, Ksh 147.96 kwa lita ya dizeli, na Shilingi za Kenya Ksh 159.13 kwa lita ya petroli.

 

Wakati kwa upande wa nchini Kenya, bei halisi ya petroli ni Shilingi za Kenya Ksh195.53 kwa lita wakati bei ya dizeli ni Shilingi za Kenya Ksh179.67 kwa lita.

 

“Madereva wa magari wengi wa Kenya wanavuka mipaka ya Namanga na Sirari na kuja Tanzania kuweka mafuta ya petroli na dizeli kwenye vituo vya mafuta vya Tanzania kwa ajili ya unafuu wa bei,” Aloyce Mushi, mfanyabiashara wa mafuta wa Arusha alisema.

Ahueni ya bei ya mafuta nchini Tanzania imetokana na maagizo mahsusi ya Rais Samia kuwa serikali yake ichukue hatua za kupunguza kupanda kwa gharama ya maisha nchini.

 

Rais Samia aliagiza kuwa serikali itoe ruzuku ya Shilingi Bilioni 100 kwenye bei ya mafuta kila mwezi ili kudhibiti kupanda kwa bei za petroli, dizeli na mafuta ya taa nchini.

 

Rais Samia aliagiza pia kuwa Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) ihakikishe kuwa inadhibiti ushindani wa makampuni yanayoingiza mafuta nchini kwa lengo la kushusha bei.

 

Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) nalo limeingia kwenye biashara ya kuagiza mafuta kwa pamoja ili kuleta ushindani kwa kampuni binafsi na kuhakikisha bei ya mafuta inashuka nchini.

 

Ahueni ya bei ya mafuta nchini Tanzania imeleta manufaa kwenye uchumi na pia kushusha gharama za maisha kwa wananchi wa kawaida.

 

Gharama za usafirishaji wa mizigo mbalimbali, ikiwemo chakula na bidhaa za nyumbani imeweza kudhibitiwa kutokana na bei ya mafuta kushuka.

Mafuta ya petroli na dizeli ni miongoni mwa bidhaa zinazochangia kupandisha au kushusha mfumuko wa bei nchini.

 

Mfumuko wa bei kwa mwezi Mei 2023 ulishuka hadi kufikia asilimia 4.0 kutoka asilimia 4.3 kwa mwezi Aprili 2023, kwa mujibu wa takwimu za NBS.

 

Wakati huo huo, bomba la TAZAMA lililojengwa miaka ya 1960 ambalo lilikua linasafirisha mafuta ghafi kutoka Tanzania hadi Zambia, sasa litaanza kusafirisha mafuta ya dizeli kutoka Dar es Salaam hadi Zambia, badala ya mafuta ghafi kama ilivyokua hapo awali. 

Waziri wa Nishati, January Makamba, amesema kuwa baada ya kuanza kusafirisha dizeli kwenye bomba la mafuta, hali ya usalama na mahitaji ya usalama ya bomba hilo yameongezeka sababu ni rahisi watu kushawishika kutoboa bomba hilo na kuchukua dizeli.

 

“Tumeshafanya mkutano wa kwanza mwaka jana na tuliweka makubaliano ya kuweza kulilinda bomba hili lenye urefu wa kilomita 1,710 kutoka Kigamboni, Dar es salaam, hadi Indeni-Ndola, Zambia,” alisema.

Makamba alisema kuwa bomba hili limejengwa muda mrefu na lina kipenyo chembamba, wakati biashara ya mafuta imekua na mahitaji ya mafuta yamekua makubwa zaidi.

Alisema kuna haja ya kujenga bomba pana na jipya litakalosafirisha pia bidhaa nyingine zaidi ya dizeli. Serikali zote mbili zimekua zikiongea kuhusu biashara hii ya mafuta na pia ujenzi wa bomba jipya la gesi ili kuiuzia Zambia gesi.

 

“Haya ni mashirikiano mazuri kati ya nchi zetu hizi na pia ni mwendelezo wa mahusiano mema unaofanywa na viongozi wetu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mhe. Hakainde Hichilema, Rais wa Jamhuri ya Zambia, kama yalivyoasisiwa na Viongozi wetu wa kwanza Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius K. Nyerere na hayati Kenneth Kaunda.”

About the author

Alex Sonna