Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

deneme bonusu

mavibet

superbetin

superbetin

porno izle

porno izle

türk ifşa izle

evcil hayvan satış

uyuşturucu satın al

runtobet

runtobet giriş

1xbet

pusulabet, pusulabet giriş

gameofbet

casibom

avrupabet

elitbahis

casival

celtabet

avrupabet

betlivo

parmabet

betnis

parmabet

betmarino

realbahis

lordcasino

lordcasino

aresbet

betra

gallerbahis

gobahis

hazbet

matbet

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

coinbar giriş

coinbar

maxwin, maxwin giriş

pokerklas, pokerklas giriş

deneme bonusu

casibom giriş

casibom

redwin

betcup

casinofast giris

artemisbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

jojobet

pusulabet

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

grandpashabet

jojobet

jojobet güncel giriş

marsbahis

nakitbahis

nakitbahis giriş

jojobet

tambet

padişahbet giriş

mavibet

kavbet

setrabet

betpas

perabet

timebet

deneme bonusu veren siteler

coinbar

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

cratosroyalbet giriş

betlike giriş

kavbet giriş

cratosroyalbet

mavibet

mavibet

artemisbet giriş

imajbet

mavibet giriş

betlike

mavibet giriş

mavibet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

betsat

fenomenbet, fenomenbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betpark

bets10 giriş

dinamobet giriş

betpas

grandpashabet

casibom

grandpashabet

casibom

jojobet

jojobet

betpas

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

jojobet

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

kingroyal

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

betpas

royalbet

Betpas

betface

betface

imajbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

Featured Kitaifa

”TUWE NA USHIRIKA IMARA WENYE KUKUZA UCHUMI’-DKT CHUACHUA

Written by Alex Sonna

 

Mkuu wa Wilaya ya Kaliua  Dkt Rashid Chuachua ,akizungumza wakati akifunga Kongamano la ushirika kuelekea  maadhimisho ya  siku ya Ushirika Duniani yatakayofanyika kesho Julai Mosi  mwaka huu katika Viwanja vya Ipuli  Mkoani Tabora.

Na Alex Sonna-TABORA

Mkuu wa Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora, Dkt. Rashid Chuachua, amewaasa wanaushirika kutumia Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani kujitafakari na kuangalia Sheria, Sera, Kanuni na Taratibu ili kutumia Ushirika kwenye kukuza uchumi wa nchi.

Dkt.Chuachua ametoa kauli hiyo Juni 30, 2023 mjini Tabora kwenye Kongamano la Wanaushirika lililokuwa na lengo la kujadili maeneo yanayohitaji kufanyiwa maboresho na kuishauri Serikali.

Amesema ni muhimu maadhimisho hayo yakatumika kuangalia maeneo hayo ili kujiimarisha na kujiletea maendeleo endelevu ya ushirika nchini.

“Nikupongeze Mrajis kwa kazi unayofanya ya kusimamia Ushirika nchini, dhamira ya Serikali ni kuona Ushirika unakuwa na maendeleo endelevu katika shughuli za uchumi na jamii yanafikiwa, hii ni sekta mtambuka yenye kusimamia uchumi wa nchi na kuongeza pato la taifa na kukuza uchumi wa mwanachama mmoja mmoja,” amesema.

Aidha, amesema maadhimisho hayo yanatoa dira na mwelekeo wa kuisaidia Wizara kutatua changamoto zilizopo leo ili kesho zisiwepo tena na kwamba maadhimisho hayo lazima yatoe matokeo yanayopimika ili kuona manufaa yake.

Kadhalika, amesema kuna tatizo la weledi wa taaluma ya hesabu kwa watumishi wa vyama vya ushirika na kupongeza Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi kwa kazi kubwa waliyofanya ya kuwa na mafunzo mbalimbali yanayotolewa bila kuzingatia viwango vya elimu ili kuwa na ufanisi kwenye hesabu za ushirika.

Awali, amesema wanaushirika wamejengewa uwezo kupitia makongamano mbalimbali ikiwamo masuala ya kodi, elimu ya kuzuia na kupambana na rushwa, masoko ya bidhaa na huduma na ukaguzi katika vyama vya ushirika kufikia maendeleo endelevu.

“Mmeshiriki kongamano la biashara na uwekezaji kwa vyama vya ushirika kutumia Mfumo wa Stakabadhi za Ghala na Nafasi ya Ushirika kuanzisha viwanda vidogo vidogo pamoja na fursa ya uwekezaji katika hisa za benki, vipande na soko la mitaji kukuza fursa za uwekezaji, pia kongamano la Sekta ya Huduma za Fedha na TEHAMA ikiwa na uzoefu katika huduma za kifedha za benki na SACCOS pamoja na Ushirika kujiendesha kidigitali ikiwa ni pamoja na matumizi ya TEHAMA katika uendeshaji wa vyama vya ushirika ili kuleta maendeleo endelevu,” amesema.

Naye, Mrajis wa Vyama Vya Ushirika na Mtemdaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Dkt. Benson Ndiege amesema Tume hiyo inaendelea kutekeleza ipasavyo Ilani ya Uchaguzi ya CCM katika eneo la Ushirika kutokana na kuwekewa msisitizo kwa kutajwa mara 85.

“Kongamano hili limetokana na majukwaa ya Ushirika kwenye mikoa, kuna suala la vyama vingi vya Ushirika wa mazao kwa mfano Tumbaku tuna vyama vya kilimo lakini baada ya mauzo wananchi hawapati namna ya kutunza fedha zao kwa mwisho wa siku fedha zinaisha na inapofika mwisho wa msimu wanarudi kwenye utumwa wa kukopa, hapa wameongea kuhusu Benki ya Ushirika na kuweka mikakati, kuhusu Stakabadhi za Ghala, sera na sheria ya Ushirika na Ushirika kufanya kazi kibiashara,” amesema.

 Mkuu wa Wilaya ya Kaliua  Dkt Rashid Chuachua ,akizungumza wakati akifunga Kongamano la ushirika kuelekea  maadhimisho ya  siku ya Ushirika Duniani yatakayofanyika kesho Julai Mosi  mwaka huu katika Viwanja vya Ipuli  Mkoani Tabora.

Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Dkt. Benson Ndiege,akielezea malengo ya Kongamano la ushirika kuelekea  maadhimisho ya  siku ya Ushirika Duniani yatakayofanyika kesho Julai Mosi  mwaka huu katika Viwanja vya Ipuli  Mkoani Tabora.

Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Mhe.Onesmo Buswelu,akizungumza wakati wa Kongamano la ushirika kuelekea  Maadhimisho ya  siku ya Ushirika Duniani yatakayofanyika kesho Julai Mosi  mwaka huu katika Viwanja vya Ipuli  Mkoani Tabora.

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Moshi (MoCU) Prof.Alfred Sife,akizungumza wakati wa Kongamano la ushirika kuelekea  Maadhimisho ya  siku ya Ushirika Duniani yatakayofanyika kesho Julai Mosi  mwaka huu katika Viwanja vya Ipuli  Mkoani Tabora.

Katibu Mtendaji wa Shirika la Vyama vya Ushirika (TFC) Bw.Alex Ndikilo,akitambulisha Meza Kuu wakati wa Kongamano la ushirika kuelekea  Maadhimisho ya  siku ya Ushirika Duniani yatakayofanyika kesho Julai Mosi  mwaka huu katika Viwanja vya Ipuli  Mkoani Tabora.

Katibu Mwenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Tabora Ndg Majaliwa Bilali,akizungumza wakati wa Kongamano la ushirika kuelekea  Maadhimisho ya  siku ya Ushirika Duniani yatakayofanyika kesho Julai Mosi  mwaka huu katika Viwanja vya Ipuli  Mkoani Tabora.

Sehemu ya washiriki wakifatilia hotuba ya Mgeni rasmi Mkuu wa Wilaya ya Kaliua  Dkt Rashid Chuachua (hayupo pichani) wakati akifunga Kongamano la ushirika kuelekea  maadhimisho ya  siku ya Ushirika Duniani yatakayofanyika kesho Julai Mosi  mwaka huu katika Viwanja vya Ipuli  Mkoani Tabora.

Mkuu wa Wilaya ya Kaliua  Dkt Rashid Chuachua,akikabidhi tuzo mbalimbali kwa taasisi zilizosaidia kuandaa Maandalizi ya  Maadhimisho ya  siku ya Ushirika Duniani yatakayofanyika kesho Julai Mosi  mwaka huu katika Viwanja vya Ipuli  Mkoani Tabora.

Mkuu wa Wilaya ya Kaliua  Dkt Rashid Chuachua,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufunga  Kongamano la ushirika kuelekea  maadhimisho ya  siku ya Ushirika Duniani yatakayofanyika kesho Julai Mosi  mwaka huu katika Viwanja vya Ipuli  Mkoani Tabora.

Mkuu wa Wilaya ya Kaliua  Dkt Rashid Chuachua,akizindua Tovuti (Website) ya mfuko wa tafiti za ushirika katika kuelekea  Maadhimisho ya  siku ya Ushirika Duniani yatakayofanyika kesho Julai Mosi  mwaka huu katika Viwanja vya Ipuli  Mkoani Tabora.

Mkuu wa Wilaya ya Kaliua  Dkt Rashid Chuachua,akipata maelezo kutoka kwa Kaimu Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Tafiti za Ushirika mara baada ya kuzindua Tovuti (Website) ya mfuko wa tafiti za ushirika katika kuelekea  Maadhimisho ya  siku ya Ushirika Duniani yatakayofanyika kesho Julai Mosi  mwaka huu katika Viwanja vya Ipuli  Mkoani Tabora.

About the author

Alex Sonna