slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

pusulabet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

casinoroyal

betasus

sekabet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

marsbahis

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet

goldenbahis

goldenbahis giriş

perabet giriş

klasbahis

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betgar, betgar giriş

betgar, betgar giriş

matbet, matbet giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

jojobet

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet güncel giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

betpark giriş

taksimbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

mislibet giriş

artemisbet

kavbet

kavbet

artemisbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

deneme bonusu 888

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

imajbet

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

jojobet

bets10

bets10

trust score weak 3

jojobet giriş

bets10 giriş

tipobet

mislibet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

deneme bonusu 2026

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

grandpashabet

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

casibom

bahiscasino, bahiscaasino giriş

marsbahis, marsbahis giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

royalbet

marsbahis

tipobet giriş

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

lunabet

galabet, galabet giriş

grandpashabet

lunabet

lunabet

casibom

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

meritking

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet giriş

holiganbet

deneme bonusu

grandpashabet

jojobet

matbet

marsbahis

pusulabet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

meritking

meritking giriş

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Hacklink panel

Casibom

matbet

matbet

matbet

holiganbet

grandpashabet

holiganbet

jojobet

Featured Kitaifa

MITAMBO YA KUZALISHA NA KUSAFIRISHA ZEGE YA SUMAJKT YAZINDULIWA JIJINI DODOMA

Written by Alex Sonna

Muonekano wa Mitambo ya kuzalisha zege iliyozinduliwa na Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajabu Mabele.

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajabu Mabele ,akizungumza wakati wa hafla ya kuzindua mitambo mikubwa ya kuzalisha na kusafirisha zege itakayotumiwa na kampuni ya ujenzi ya Shirika la uzalishaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMAJKT) katika  eneo la Kisasa leo Mei 23,2023 jijini Dodoma .

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajabu Mabele ,akisisitiza jambo  wakati wa hafla ya kuzindua mitambo mikubwa ya kuzalisha na kusafirisha zege itakayotumiwa na kampuni ya ujenzi ya Shirika la uzalishaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMAJKT) katika  eneo la Kisasa leo Mei 23,2023 jijini Dodoma.

Mkurugenzi Mtendaji wa SUMA JKT, Kanali Petro Ngata,akizungumza wakati wa hafla ya kuzindua mitambo mikubwa ya kuzalisha na kusafirisha zege itakayotumiwa na kampuni ya ujenzi ya Shirika la uzalishaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMAJKT) katika  eneo la Kisasa leo Mei 23,2023 jijini Dodoma.

MWENYEKITI  wa Bodi ya washauri wa SUMA JKT Meja Jenerali Mstaafu Farah Mohamed,akizungumza wakati wa hafla ya kuzindua mitambo mikubwa ya kuzalisha na kusafirisha zege itakayotumiwa na kampuni ya ujenzi ya Shirika la uzalishaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMAJKT) katika  eneo la Kisasa leo Mei 23,2023 jijini Dodoma.

Mkurugenzi Mtendaji wa Idara ya Ujenzi SUMA JKT, Mhandisi Morgan Nyoni,akitoa taarifa  wakati wa hafla ya kuzindua mitambo mikubwa ya kuzalisha na kusafirisha zege itakayotumiwa na kampuni ya ujenzi ya Shirika la uzalishaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMAJKT) katika  eneo la Kisasa leo Mei 23,2023 jijini Dodoma.

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajabu Mabele,akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Idara ya Ujenzi SUMA JKT, Mhandisi Morgan Nyoni,wakati wa hafla ya kuzindua mitambo mikubwa ya kuzalisha na kusafirisha zege itakayotumiwa na kampuni ya ujenzi ya Shirika la uzalishaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMAJKT) katika  eneo la Kisasa leo Mei 23,2023 jijini Dodoma .

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajabu Mabele,akikata utepe kuashiria uzinduzi wa mitambo mikubwa ya kuzalisha na kusafirisha zege itakayotumiwa na kampuni ya ujenzi ya Shirika la uzalishaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMAJKT) katika  eneo la Kisasa leo Mei 23,2023 jijini Dodoma .

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajabu Mabele,akiwa ndani ya gari mara baada ya kuzindua  mitambo mikubwa ya kuzalisha na kusafirisha zege itakayotumiwa na kampuni ya ujenzi ya Shirika la uzalishaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMAJKT) katika  eneo la Kisasa leo Mei 23,2023 jijini Dodoma .

Muonekano wa Mitambo ya kuzalisha zege iliyozinduliwa na Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajabu Mabele.

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajabu Mabele,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuzindua  mitambo mikubwa ya kuzalisha na kusafirisha zege itakayotumiwa na kampuni ya ujenzi ya Shirika la uzalishaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMAJKT) katika  eneo la Kisasa leo Mei 23,2023 jijini Dodoma .

Na.Alex Sonna-DODOMA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa JKT Meja Jenerali Rajabu Mabele,amezindua rasmi mitambo mikubwa ya kuzalisha na kusafirisha zege itakayokuwa ikitumiwa na kampuni ya ujenzi ya Shirika la uzalishaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa SUMAJKT iliyogharimu zaidi ya shilingi bilioni 1.349 za kitanzania.

Akizungumza leo Mei 23,2023 katika eneo la Kisasa jijini Dodoma mara baada ya kuzindua mitambo hiyo Meja Jenerali Mabele,amesema kuwa hatua hiyo ni kubwa wakati JKT ikielekea kutimiza miaka 60 tangu kuanzishwa kwake..

Amesema uzinduzi wa mtambo huo na magari  unakwenda kuiwezesha SUMA JKT, kuondokana na gharama kubwa walizokuwa wakitumia kununua zege, kukodi magari na kuzisafirisha kwenye miradi yake mbalimbali, pia itawaingizia fedha kutokana na kuuza zege kwa wakandarasi wengine hapa nchini.

“Tunaishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuendelea kuiamini SUMAJKT kwa kuipa miradi mingi na ndio maana wanapambana kuhakikisha wanapata mitambo ili kutekeleza miradi hiyo kwa ufanisi na tutaendelea kuilinda imani hiyo” amesema Meja Jenerali Mabele

Aidha amewaagiza watendaji wa SUMA JKT kuhakikisha wanasimamia mitambo hiyo ili ilete tija iliyokusudiwa katika kuongeza ufanisi wa SUMAJKT.

“Kwa watakao pewa dhamana ya kusimamia mitambo hiyo lazima wazingatie matengenezo kwa wakati ili mitambo hiyo idumu kwa muda mrefu sio ukiona mtambo unafanya kazi unaendelea kuutumia hali ukijua muda wa matengenezo umefika” amesema 

Hata hivyo amesema kuwa JKT inakwenda kuadhimisha miaka 60 tangu kuasisiwa  kwake na sasa ni wakati wa teknolojia ni lazima tuonyeshe mabadiliko kwa kuwa na vifaa vya kisasa katika kutekeleza majukumu.

“Kama mnavyojua SUMA JKT ilianza kama kitengo cha ukarabati lakini kilikuwa na sasa ni shirika kubwa sana hapa nchini na linaloaminika na linalopata miradi mikubwa lazima tuonyeshe utofauti.

Mwanzo tulikuwa tunaingiza vijana wengi mashambani lakini kwa sasa tumeweka mitambo mikubwa ya kiteknolojia mashambani na tunalima kwa tija kubwa kutokana na mitambo tuliyonayo” amesema.

Kwa upande Wake Mkurugenzi Mtendaji wa SUMA JKT, Kanali Petro Ngata, amesema ununuzi wa mtambo huo ni moja ya mipango ya Shirika hilo ni kununua mitambo ya kisasa katika mwaka wa Fedha 2022/23 huku akiwataka watendaji kuendelea kufanya kazi kwa bidii ili kuleta tija.

”Mitambo hiyo itasaidia katika kutekeleza miradi wanayopata na wamejiwekea malengo ya kuongeza vitendea kazi kwa kampuni tanzu za SUMAJKT kuziwezesha kampuni hizo ufanisi katika kutekeleza majukumu yao.” Kanali Ngata

Naye Mwenyekiti wa Bodi ya washauri wa SUMA JKT Meja Jenerali Mstaafu Farah Mohamed ameipongeza SUMA JKT kwa kuendelea kutekeleza majukumu yao kikamilifu na kutekeleza yote wanayokubaliana katika vikao vya bodi na Shirika hilo.

Awali Mkurugenzi Mtendaji wa Idara ya Ujenzi SUMA JKT, Mhandisi Morgan Nyoni,amesema mitambo hiyo imeingizwa nchini Januari 16, 2023 na kumaliza kusimikwa May 22, 2023 jijini Dodoma, na inauwezo wa kuzalisha zege cubic meter  60 kwa saa, magari matatu yenye uwezo wa kubeba zege cubic meter 8 kila moja na pampu ya kusukuma zege.

”Mtambo na magari hayo yamegharimu Sh.bilioni 1.349 na utawawezesha kuzalisha Zege na kuuza kwenye makampuni mengine.”amesema Mhandisi Nyoni

About the author

Alex Sonna