marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

betbey

imajbet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

padişahbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

romabet

marsbahis

royalbet

artemisbet

kavbet

parmabet

mislibet

imajbet giriş

artemisbet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

markajbet güncel giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

holiganbet

kingroyal giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

kıbrıs escort

taksimbet

jojobet güncel giriş

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

meritking

vdcasino

Featured Kitaifa

WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO YAANZA KUWANOA WAJUMBE WA TIMU KUU ZA MAANDALIZI YA TAIFA YA MAENDELEO 2050

Written by Alex Sonna

 

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Lawrence Mafuru akifungua warsha elekezi  ya siku 4 kwa wajumbe wa Timu kuu za Maandalizi ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ambazo zinajumuisha Timu za Uandishi na Uhariri, yenye lengo la kuwaongeza uwezo ili kupata dira na mpango mzuri wa muda mrefu, warsha hiyo inafanyika katika ukumbi wa PSSSF Golden Jubilee Tower, jijini Dar es Salaam.

Kamishna wa Idara ya Mipango ya Taifa kutoka Wizara ya Fedha na Mipango Dkt. Mursali Milanzi akizungumzsha wakati wa warsha elekezi inayofanywa kwa wajumbe wa Timu kuu za Maadalizi ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ambazo zinajumuisha Timu za Uandishi na Uhariri yenye lengo la kuwaongeza uwezo ili kupata dira na mpango mzuri wa muda mrefu, inayofanyika katika ukumbi wa PSSSF Golden Jubilee Tower, jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya wajumbe wa Timu kuu za Maandalizi ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ambazo zinajumuisha Timu za Uandishi na Uhariri wakifuatilia kwa umakini wakati wa warsha maalumu ya kuwajengea uwezo zaidi wajumbe hao ili kufanikisha maandalizi ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, warsha hiyo inafanyika katika ukumbi wa PSSSF Golden Jubilee Tower, jijini Dar es Salaam.

Mchumi kutoka Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Josiah Mwabeza akitoa mafunzo kwa wajumbe wa Timu kuu za Maandalizi ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ambazo zinajumuisha Timu za Uandishi na Uhariri katika warsha inayolenga kuwajengea uwezo wajumbe hao, inayofanyika katika ukumbi wa PSSSF Golden Jubilee Tower, jijini Dar es Salaam.

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Lawrence Mafuru (katikati), Kamishna wa Idara ya Mipango ya Taifa kutoka Wizara ya Fedha na Mipango Dkt. Mursali Milanzi (kulia) na Kamishna msaidizi wa Idara ya Mipango ya Taifa kutoka Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Royal J. Lyanga (kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wajumbe wa Timu kuu za Maandalizi ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ambazo zinajumuisha Timu za Uandishi na Uhariri, waliohudhuria warsha elekezi iliyolenga kuwaongeza uwezo ili kupata dira na mpango mzuri wa muda mrefu, warsha hiyo  ya siku 4 inafanyika katika ukumbi wa PSSSF Golden Jubilee Tower, jijini Dar es Salaam.

Na. Joseph Mahumi, WFM, Dar es Salaam

Serikali imeanza kutoa mafunzo kwa wajumbe wa Timu Kuu za Uandishi na Uhariri wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ili kuhakikisha zinakuwa na uelewa wa pamoja kuhusu machakato wa maandalizi ya Dira hiyo. Warsha hiyo elekezi ya siku 4 inafanyika katika ukumbi wa PSSSF Golden Jubilee Tower, jijini Dar es Salaam.

Akizungumza katika ufunguzi wa warsha hiyo Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Lawrence Mafuru amesema kuwa warsha hiyo ni msingi madhubuti wa kufanikisha maandalizi ya Dira ya mpya Taifa ya Maendeleo.

“Matumaini yangu kwamba kupitia warsha hii mtapata muda mzuri wa kujifunza, kubadilishana uzoefu na kujadili kwa kina kuhusu maono ya Taifa letu kwa kizazi cha sasa na kijacho”, alisema Bw. Mafuru.

Alisema anaamini kuwa mafunzo hayo yatawawezesha kutekeleza majukumu yao kakimilifu na kutoa mawazo mazuri kwa kujifunza kupitia Dira za nchi zinazoendelea na zilizoendelea kwa kuwianisha na mazingira ya Tanzania.

Bw. Mafuru aliongeza kuwa maandalizi ya Dira 2050 yameanza mapema ikizingatiwa kuwa Dira tunayoendelea kuitekeleza kupitia Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2021/22 – 2025/26 itafika ukomo mwaka 2025.

Alisema maandalizi ya Dira yanajumuisha hatua na shughuli nyingi ambazo zinahitaji muda mwingi hivyo zoezi hilo linapaswa kufanywa haraka na kwa kuzingatia muongozo na mpango kazi wa maandalizi ya Dira ili kufikia lengo lililokusudiwa.

Bw. Mafuru aliwasihi wajumbe hao kutekeleza majukumu yao kwa ubunifu, weledi na kujituma kwa kuzingatia Hadidu za Rejea zilizoandaliwa.

“Nasisitiza utendaji kazi wa majukumu yenu ufanyike kwa ushirikiano ili kutengeneza timu bora na ya ushindi, mara zote jumuiya au jamii isiyo na umoja huishia kwenye migogoro na mifarakano”, aliongeza Bw. Mafuru.

Kwa upande wake Kamishna wa Idara ya Mipango ya Taifa kutoka Wizara ya Fedha na Mipango, Dkt. Mursali Milanzi amesema kuwa warsha hiyo elekezi itakayofanyika kwa siku 4, wajumbe watarajie kupata nguvu zaidi ya maarifa kutokana na kuwepo kwa wajumbe wa aina tofauti ikiwemo vijana pamoja na wajumbe walioandaa Dira inayoishia.

“Tumeona kwamba kabla ya kwenda kuandaa Dira moja kwa moja tuchukue wajumbe wa maandalizi kupeana muelekeo namna gani ya kutekeleza jukumu hili la kitaifa” aliongeza Dkt. Milanzi

Mmoja wa wajumbe wa Timu za Uandishi na Uhariri maandalizi ya Dira yetu ya Taifa ya Maendeleo, Dkt. Gladness Salema ambaye ni Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam, alisema kuwa wanaimani mafunzo hayo yatawapa matazamio mazuri katika kuandaa Dira na pia wana imani Serikali itapata Dira na mpango mzuri wa muda mrefu kwa maendeleo ya nchi.

“Warsha hii imetupa nafasi ya kukutana na wajumbe wazoefu ambao walishiriki katika kuandaa Dira iliyopita na tunaamani katika kubadilishana uzoefu kupitia warsha hii basi tutafanikiwa kupata kilicho bora”, aliongeza Dkt. Salema

Wizara ya Fedha na Mipango inaendelea na taratibu mbalimbali za Maandalizi ya Dira mpya ya Maendeleo ya Taifa 2050 itakayoleta maono ya watanzania kwa miaka 25 ijayo kwa kushirikisha wadau wote muhimu.

About the author

Alex Sonna