marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

pusulabet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

grandpashabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

sonbahis

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

imajbet

klasbahis

savoybetting giriş

goldenbahis

savoybetting

klasbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

matbet, matbet giriş

betcio, betcio giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

ligobet

Madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

casibom

marsbahis

jojobet giriş

jojobet

alobet

alobet giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

jojobet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

bets10 giriş

imajbet giriş

milanobet

imajbet

perabet giriş

perabet

ngsbahis

kralbet giriş

milanobet giriş

สล็อตเว็บตรง

bets10

casibom giriş

jojobet

deneme bonusu

kingroyal

trust score weak 3

jojobet

slot siteler

casino siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betsat

betsat giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu veren siteler

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

marsbahis, marsbahis giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

superbetin

madridbet

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

tipobet giriş

romabet

piabellacasino

güvenli casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

bets10

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

Featured Kitaifa

WAZIRI MKUU MAJALIWA AIOMBA BENKI YA NBC KUUFUNGUA KIUCHUMI MKOA WA SIMIYU

Written by Alex Sonna

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na wakazi wa mkoa wa Simiyu wakati wa uzinduzi huo.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (wa pili kulia) na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Bw  Theobald Sabi (wa tatu kushoto) wakifungua pazia kuashiria uzinduzi wa tawi jipya la benki ya NBC Mkoa wa Simiyu wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa tawi hilo iliyofanyika mkoani humo mwishoni mwa wiki. Wanaoshuhudia ni pamoja na Mbunge wa Bariadi na Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Mhandisi Kundo Andrea Mathew (kushoto), viongozi wengine wa chama na serikali pamoja na wafanyakazi wa benki hiyo.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (katikati) akikata utepe kuashiria  na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Bw  Theobald Sabi (wa tatu kushoto) kuashiria uzinduzi wa tawi jipya la benki ya NBC Mkoa wa Simiyu wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa tawi hilo iliyofanyika mkoani humo mwishoni mwa wiki. Wengine ni pamoja na Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Mhandisi Kundo Andrea Mathew (wa tatu kushoto), Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Bw  Theobald Sabi ( kushoto) viongozi waandamizi wa chama na serikali pamoja na maofisa waandamizi wa  benki hiyo.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (kushoto) akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Bw  Theobald Sabi (katikati) akielezea kuhusiana na huduma za benki hiyo tawi jipya la Simiyu wakati wa hafla hiyo ya uzinduzi wa tawi hilo.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi waandamizi wa chama na serikali pamoja na maofisa wa  benki ya NBC wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Bw  Theobald Sabi (wan ne kushoto) wakati wa hafla hiyo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Bw  Theobald Sabi (Katikati walioketi) akiwa kwenye picha ya pamoja na wafanyakazi wa benki hiyo wakati wa hafla hiyo.

 

We did it! Ndivyo wanavyoonekana kusema wafanyakazi wa benki ya NBC wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Bw  Theobald Sabi (katikati) ikiwa ni ishara ya kujipongeza kwa kufanikisha uzinduzi wa tawi la benki hiyo Mkoani Simiyu.

Muonekano wa tawi jipya la benki ya NBC Mkoa wa Simiyu.

Hafla hiyo ilipambwa na burudani kutoka vikundi mbalimbali  vya Sanaa kutoka mkoa wa Simiyu

Na.Mwandishi Wetu-SIMIYU

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezindua tawi jipya la Benki ya NBC mkoa wa Simiyu huku akiipa changamoto benki hiyo kuhakikisha inafungua zaidi fursa za kiuchumi na uzalishaji mkoa huo hususani kupitia sekta za biashara, kilimo na ufugaji.

Akizungumza mara tu baada ya kuzindua tawi hilo jipya  mkoani humo mwishoni mwa wiki, Waziri Mkuu Majaliwa aliekuwa ameambatana na viongozi waandamizi wa serikali na chama wa mkoa huo  aliuomba uongozi wa benki hiyo kuhakikisha inakuwa mstari wa mbele kuwasaidia wakazi wa mkoa huo kuondoakana na changamoto kubwa inayowakabili ya ukosefu wa mitaji.

 “Mkurugenzi  wa NBC pamoja na menejimenti yako mmefanya kazi nzuri sana kuleta huduma huduma zenu mkoani Simiyu. Huu ni mkoa unaoongoza kwa uzalishaji wa zao la pamba nchini huku pia wakazi wake wakijihusisha na shughuliza biashara na ufugaji. Ila kwa muda mrefu wakazi hawa wamekuwa wakikabiliwa na changamoto ya mitaji kwa ajili ya shughuli zao. Nimefurahi kusikia kwamba NBC mmekuja mkiwa na nia ya kumaliza changamoto hiyo nami nawasihi wana Simiyu benki hii iwe kimbilio lenu,’’ alisema.

Pamoja na changamoto ya ukosefu wa mitaji, Waziri Mkuu Majaliwa alibainisha kuwa wakazi hao wamekuwa wakikabiliwa na hofu ya kuchukua mikopo kwenye taasisi za kifedha  kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ukubwa wa riba. Alisema serikali tayari imekaa na taasisi za fedha nchini ikiwemo benki ya NBC ili kuona namna ya kupunguza riba hizo.

Kwa mujibu wa Waziri Mkuu Majaliwa ujio wa benki hiyo mkoani humo umekuja wakati muafaka kwa kuwa serikali imejipanga kukabiliana na changamoto zinazokwamisha ukuaji  na uendeshaji wa biashara mkoani humo licha ya uwekezaji mkubwa uliofanywa katika maeneo mbalimbali  ikiwemo uboreshwaji wa barabara kuu na kituo kikubwa cha mabasi ambacho kwasasa hakitumiki licha ya kugharimu fedha kiasi cha sh bilioni 7.

Awali akizungumzia tawi hilo jipya, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Bw  Theobald Sabi alisema hatua hiyo inalenga kupanua wigo wa benki hiyo wa kutoa huduma zake katika mikoa yote ya Tanzania ili kuwafikia watanzania wengi zaidi ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono juhudi za serikali za kuwajumuisha watanzania wengi zaidi kwenye mfumo rasmi wa fedha.

“Mkoa wa Simiyu ni kiungo muhimu sana katika uchumi wa kanda hii ya ziwa na taifa zima kwa ujumla. Hivyo uwepo wa mfumo rasmi wa kibenki, kupitia tawi hili la Benki ya NBC hapa Bariadi, utasaidia sana kuchochea kasi ya ukuaji wa uchumi kwa kufungua fursa mpya za kifedha. Hapo awali, wateja wetu walikuwa wakipta huduma kupitia mtandao wetu wa Wakala ambapo hapa Simiyu tuna zaidi ya mawakala 30.’’ alisema

Bw Sabi alibainisha kuwa benki hiyo ipo tayari kuhudumia makundi yote ya jamii ikiwemo taasisi za serikali, watumishi wa serikali, wafanyabiashara na   wanafunzi.

“Sambamba na hilo, tawi hili pia linakusanya maduhuli serikali kupitia Mfumo wa Ukusanyaji wa Fedha za Umma (GePG) na kodi kwa niaba ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Hivyo nawaomba  sana wananchi wa mkoa wa Simiyu na maeneo ya Jirani kulitumia tawi vyema tawi hili ili  kujiletea maendeleo ya kiuchumi.’’ Alisema.

 

Ikiwa ni benki ya tatu kwa ukubwa nchini ikiwa inamiliki mali (Assets) zenye thamani ya TZS 1.52 trilioni na amana (Deposits) zenye thamani ya TZS 1.96 trilioni na wafanyakazi wapatao 977, benki ya NBC inajivunia mtandao mkubwa wa huduma unaojumuisha matawi 48, mashine za kutolea fedha (ATMS) 180, NBC Wakala zaidi ya elfu tisa huku ikiwa imewekeza zaidi huduma zake kupitia simu za mikononi “NBC Kiganjani” na Huduma za mtandao wa internet .

About the author

Alex Sonna