marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

pusulabet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

grandpashabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

sonbahis

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

imajbet

klasbahis

savoybetting giriş

goldenbahis

savoybetting

klasbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

matbet, matbet giriş

betcio, betcio giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

ligobet

Madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

casibom

marsbahis

jojobet giriş

jojobet

alobet

alobet giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

jojobet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

bets10 giriş

imajbet giriş

milanobet

imajbet

perabet giriş

perabet

ngsbahis

kralbet giriş

milanobet giriş

สล็อตเว็บตรง

bets10

casibom giriş

jojobet

deneme bonusu

kingroyal

trust score weak 3

jojobet

slot siteler

casino siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betsat

betsat giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu veren siteler

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

marsbahis, marsbahis giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

superbetin

madridbet

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

tipobet giriş

romabet

piabellacasino

güvenli casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

Featured Kitaifa

DKT.JINGU AIPONGEZA IDARA YA MAENDELEO YA JAMII  KUANZA MCHAKATO WA MAPITIO YA MITAALA KWA WAKATI

Written by Alex Sonna

 

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. John Jingu,akizungumza wakati  akifungua Warsha ya Mapitio ya Mitaala ya programu ya uhandisi ujenzi na Maendeleo ya Jamii iliyofanyika leo Machi 27,2023 jijini Dodoma.

Sehemu ya Wajumbe na Washiriki wakifatilia hotuba ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. John Jingu, wakati  akifungua Warsha ya Mapitio ya Mitaala ya programu ya uhandisi ujenzi na Maendeleo ya Jamii iliyofanyika leo Machi 27,2023 jijini Dodoma.

Mkurugenzi Msaidizi sehemu ya Vyuo vya Maendeleo ya Jamii Bi Neema Mwakilembe,akitoa taarifa  wakati wa Warsha ya Mapitio ya mitaala ya uhandisi ujenzi na Maendeleo ya Jamii  iliyofanyika leo Machi 27,2023 jijini Dodoma.

Afisa Maendeleo ya Jamii Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Bi.Happy Hiza,akielezea umuhimu wa semina baada ya kumaliza  Warsha ya Mapitio ya mitaala ya uhandisi ujenzi na Maendeleo ya Jamii  iliyofanyika leo Machi 27,2023 jijini Dodoma.

Mkufunzi Chuo cha Maendeleo ya Jamii Monduli Bw.Boniphace Daniel,akizungumza na waandishi wa habari baada ya kumaliza Warsha ya Mapitio ya mitaala ya uhandisi ujenzi na Maendeleo ya Jamii  iliyofanyika leo Machi 27,2023 jijini Dodoma.

Na.Alex Sonna-DODOMA

IDARA  ya Maendeleo ya Jamii imepongezwa kwa kuanza mchakato wa mapitio ya mitaala ya programu za Maendeleo ya Jamii na Uhandisi Ujenzi na Maendeleo ya Jamii kwa wakati.

Pongezi hizo zimetolewa leo Machi 27,2023 jijini Dodoma na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. John Jingu,wakati akifungua Warsha ya Mapitio ya mitaala ya uhandisi ujenzi na Maendeleo ya Jamii.

Dkt.Jingu amesema kuwa hatua hii itasaidia vijana wananojiunga na Vyuo vyetu pamoja na vyuo vyote vitakavyotumia mitaala hii wapate mafunzo yanayoendana na mazingira ya sasa.

” Niwashukuru NACTVET kwa jinsi ambavyo mmekuwa mstari wa mbele katika kutoa miongozo mbalimbali ya kuoboresha mafunzo. Vilevile ninawashukuru washiriki wote mliofika hapa kwa ajili ya kutoa maoni kwenye mitaala hii.”amesema Dkt.Jingu

Aidha Dkt.Jingu amewataka kuhakikisha mitaala watakayotumia kutoa mafunzo inaakisi hali halisi ya mazingira ya jamii yetu, na mahitaji ya nchi na Dunia kiujumla

”Mitaala ni lazima izingatie jamii imebadilika kiasi gani kufuatia mabadiliko ya kiteknolojia, kisiasa na kiuchumi yanatokea Duniania na hata nchini kwetu”amesema Dkt Jingu

 Dkt amesema kada ya Maendeleo ya Jamii inatazamiwa kuwa itachangia katika kuisukuma jamii mbele iwapo itazingatia uhalisia

“Kama jamii tunataka maendelea na maendeleo maana yake ni kwenda mbele kwahiyo mitaala hii itakua ni nyenzo muhimu kutufikisha huko niwaaombe tutekeleze vizuri tujidhatiti tuweke nguvu zetu, Akili zetu zote, Maarifa yetu yote ili likitoea hili na uhakika miaka mitano ijayo jinsi kada ya Maendeleo ya Jamii itakavyokua inasukuma Maendeleo Mbele” amesema Dkt. Jingu

Hata hivyo amewaagiza kuwa na mahusiano ya karibu baina ya wadau wa mitaala na vyuo hasa katika maeneo yao ili kuwezesha Taasisi hizo kuvuna wanafunzi ambao wana picha ya hali halisi ilivyo katika jamii.

“Nyie mkienda kule mnawasaidia kuwapa picha ya hali halisi ilivyo inawezekana mkiachia walimu waliopo pale wanawapa kwa nadharia ili baada ya hapo tutoke na mtu aliekamilia anauzoefu kupitia maarifa ambayo tunawagaia lakini vilevile ana nadharia ambazo zinahitajika,” amesema Dkt Jingu

Awali Mkurugenzi Msaidizi wa sehemu ya Vyuo vya Maendeleo ya Jamii, kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Bi Neema Ndoboka amesema  jumla ya  washiriki 80 wameshiriki warsha hiyo.

”Mitaala ambayo inapitiwa ni Maendeleo ya jamii na Ufundi kwa ngazi ya cheti mpaka diploma ambayo iliandaliwa tangu mwaka 2018”amesema Bi.Neema

Naye mmoja wa washiriki Afisa Maendeleo ya Jamii Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Bi.Happy Hiza,amesema kuwa ni wakati sasa Mitaala kujumuisha Taaluma za kuwashawishi wananchi kushiriki katika utekelezaji wa Miradi ya serikali.

About the author

Alex Sonna