Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

jojobet

avrupabet

elitbahis

casival

celtabet

avrupabet

betlivo

parmabet

betnis

parmabet

betmarino

realbahis

lordcasino

lordcasino

aresbet

betra

gallerbahis

gobahis

hazbet

matbet giriş

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

betmarino

kulisbet

maxwin, maxwin giriş

maxwin, maxwin giriş

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu

paşacasino

interbahis

casinofast giris

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Jojobet

pusulabet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

deneme bonusu veren siteler

jojobet

holiganbet

jojobet

betpark

meritking

jojobet

grandpashabet

atlasbet giriş

lunabet

artemisbet giriş

setrabet

betpas

jojobet

timebet

jojobet

kavbet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

holiganbet güncel giriş

holiganbet

holiganbet giriş

mavibet giriş

piabellacasino

holiganbet giriş

holiganbet

mavibet giriş

artemisbet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet

jojobet giriş

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

betpark güncel

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

grandpashabet

maxwin

dinamobet giriş

ultrabet

casibom

betkolik

jojobet

casibom

jojobet

kalebet

casibom

casibom

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

holiganbet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

imajbet

royalbet

perabet

betface

betface

piabellacasino giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

avrupabet

jojobet

betpark

meritking giriş

vdcasino

jojobet

kingroyal

Featured Kitaifa

SERIKALI YASHAURIWA KUONGEZA BAJETI YA USIMAMIZI WA USALAMA NA AFYA NCHINI

Written by Alex Sonna

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana Ajira na Wenye Ulemavu), Prof. Joyce Ndalichako (aliyesimama) akimkaribisha Mtendaji Mkuu wa OSHA, Bi Khadija Mwenda (hayupo pichani) ili atoe mada kuhusu Muundo na Majukumu ya OSHA mbele ya Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii katika Ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma. Kulia kwake ni Naibu Waziri wake, Patrobas Katambi na kushoto kwake ni Katibu Mkuu wa Ofisi yake, Prof. Jamal Adam Katundu.

Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii wakifuatilia mada kutoka kwa Mtendaji Mkuu wa OSHA, Bi. Khadija Mwenda (hayupo pichani) aliyewasilisha mada inayohusu kuhusu Muundo na Majukumu ya OSHA.

Mtendaji Mkuu wa OSHA, Bi. Khadija Mwenda akiwasilisha mada kuhusu Muundo na Majukumu ya OSHA mbele ya Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii.

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii, Fatuma Toufiq akiongoza majadiliano ya wajumbe wa Kamati hiyo mara baada ya Mtendaji Mkuu wa OSHA, Bi. Khadija Mwenda kuhitimisha mada aliyowasilisha katika kikao cha Kamati hiyo.

Mtendaji Mkuu wa OSHA, Bi. Khadija Mwenda akijibu hoja mbalimbali zilizoibuliwa na Wajumbe wa Kamati Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii kuhusu masuala mbali mbali yanayohusu usalama na afya katika maeneo ya kazi nchini.

Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii, Athumani Maige, akiuliza swali kutokana na mada ya Muundo na Majukumu ya OSHA iliyowasilishwa na Mtendaji Mkuu wa OSHA, Bi. Khadija Mwenda, katika Kikao cha Kamati hiyo Bungeni jijini Dodoma.

Na Mwandishi Wetu

Kamati ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imeishauri serikali kuongeza bajeti ya usimamizi wa masuala ya usalama na afya ili kuuwezesha Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kuzuia ajali, magonjwa na uharibifu wa mali katika shughuli za uzalishaji hususan miradi mikubwa ya maendeleo jambo ambalo litaongeza kasi ya ukuaji wa uchumi nchini.

Ushauri huo umetolewa mara baada ya OSHA kuwasilisha randama ya bajeti ya mwaka wa fedha 2023/2024 pamoja na taarifa ya muundo na majukumu yake mbele ya Kamati hiyo Bungeni Jijini Dodoma. Kamati ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii ndiyo inayoisimamia Ofisi ya Waziri Mkuu na Taasisi chini yake ikiwemo OSHA kwasasa.

Akizungumza mara baada ya kuhitimisha kikao hicho, Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Riziki Saidi Lulida, amesema OSHA ina jukumu kubwa la kusimamia mifumo ya kuzuia ajali na magonjwa katika maeneo ya kazi hivyo kupelekea shughuli za uchumi kufanyika kwa ufanisi mkubwa zaidi.

Kiongozi huyo wa Kamati ameongeza kuwa kutokana na jukumu hilo zito la OSHA, serikali haina budi kutenga bajeti ya kutosha ili kuiwezesha OSHA kufanya kazi yake ipasavyo hususan katika miradi mikubwa ya mafuta na gesi ambayo inahitaji kushughulikiwa kwa umakini mkubwa ili kuepuka madhara makubwa yanayoweza kutokea endapo ajali zitatokea katika maeneo husika.

“Uwepo wa OSHA ni mkakati wa maendeleo ya wafanyakazi na usalama wa nchi lakini watu wengi wanakwepa kutekeleza taratibu za usalama na afya kwenye maeneo ya kazi. Hivyo, sisi tunaishauri serikali isimame imara na iwape OSHA bajeti ya kutosha ili waweze kufanya kazi ya kuisaidia nchi katika eneo la usalama wa wafanyakazi katika viwanda vyetu, Taasisi zetu, mabomba yetu ya mafuta na gesi, mashirika ya umma na makampuni binafsi,” ameeleza Mbunge Lulida.

Aidha, Kamati hiyo imebainisha kwamba OSHA imeleta mabadiliko makubwa katika usimamizi wa masuala ya usalama na afya katika shughuli mbali mbali za uzalishaji mali ikiwemo sekta ya mafuta na gesi.

“Mafanikio ya OSHA ni makubwa sana endapo tukiangalia tulikotoka ambapo wafanyakazi walikuwa hawajui haki zao za msingi kuhusiana na masuala ya usalama na afya mahali pa kazi. Mathalani katika vituo vingi vya mafuta tulikuwa tunaona vijana wakitoa huduma bila kuzingatia matumizi sahihi ya vifaa kinga kama vile viatu maalum vya usalama (safety boots) badala yake walikuwa wanavaa ndala au lakini sasa hali imebadilika na vituo vingi wanazingatia taratibu muhimu za usalama na afya,” amesema Mariamu Kisangi, Mjumbe wa Kamati.

“Uwasilishaji wa leo wa OSHA umetufanya tuelewe kuwa Taasisi hii ina kazi kubwa sana, majukumu yake ni mazuri na inatekeleza majukumu yake kwa weledi na viwango vya hali ya juu. Taasisi hii inaishauri serikali vizuri kuhusiana na masuala ya usalama na afya na ni chombo ambacho waajiri na wafanyakazi wanakitegemea sana,” ameeleza Athumani Almas Maige ambaye ni Mjumbe Kamati.

Kwa upande wake Mtendaji Mkuu wa OSHA, Khadija Mwenda, amesema wamefarijika kuona kwamba wawakilishi hao wa wananchi wanatambua kazi kubwa inayofanywa na OSHA katika kusimamia uzingatiaji wa taratibu za usalama na afya kwenye maeneo ya kazi nchini.

OSHA ikiwa ni miongoni mwa Taasisi chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu yenye jukumu la kusimamia utekelezaji wa Sheria Na. 5 ya Afya na Usalama Mahali pa Kazi, ilipata fursa ya kuwasilisha randama ya bajeti yake ya mwaka wa fedha ujao (2023/2024) pamoja na kueleza majukumu yake kwa Kamati hiyo ambayo ni mpya kwao kutoka Kamati ya Katiba na Sheria iliyokuwa ikiwasimamia hapo awali.

About the author

Alex Sonna