Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

tarafbet

holiganbet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

bets10

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

Featured Kitaifa

RC SENYAMULE:BARABARA ZA MZUNGUKO ZA AINA YAKE SULUHU YA MSONGAMANO DODOMA

Written by Alex Sonna

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule akikagua maendeleo ya ujenzi wa Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Msalato ambao ujenzi wake umefikia asilimia 11.7 na utakapokamilika utaruhusu ndege 13 kutua kwa wakati mmoja na utahudumia abiria Milioni 1.5 kwa kutumia mageti 8. Mhe. Senyamule amemtaka Mkandarasi wa ujenzi kufanya kazi usiku na mchana ili kukamilisha kazi hiyo kwa wakati.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule akikagua maendeleo ya ujenzi wa barabara za mzunguko katika Jiji la Dodoma Lot 1 kutoka Nala-Veyula-Mtumba-Ihumwa yenye urefu wa kilometa 52.3 ambao ujenzi wake umefikia asilimia 21.3 na unatarajia kukamilika Desemba 2024. Mradi huo unagharimu kiasi cha Shilingi Bilioni 100.8. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mhe. Jabir Shekimweri

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule ametoa rai kwa wakandarasi wanaotekeleza ujenzi wa miradi ya kimkakati katika jiji la Dodoma kuzingatia ubora na viwango katika kukamilisha miradi kwa wakati.

Mhe. Senyamule ameyasema hayo leo Februari 15, 2023 wakati wa ziara ya kikazi ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa miradi hiyo ikiwa ni pamoja na ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Msalato, barabara ya mzunguko LOT 1 inayotoka Nala-Veyula-Mtumba-Ihumwa yenye urefu wa kilometa 52.3 na LOT 2 yenye urefu wa Kilometa 60 inayotoka Dry pot Ihumwa, Ngo’ngo’na, Matumbulu, Bihawana – Nala.

“Mradi huu ni wa aina yake barani Afrika tunampongeza sana Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutoa fedha za kukamilisha ujenzi wa kilometa 112.3 km za barabara za mzunguko ndani ya Mkoa wa Dodoma” Amefafanua Mhe. Senyamule.

“Sisi tunataka miradi yetu ikamilike ndani ya muda, sote tunafahamu miradi hii muhimu inatakiwa kukamilika 2024 au mapema 2025 kama mkataba unavyoonyesha. Dhamira ya serikali ni kusogeza huduma kwa wananchi na kuhikisha utekelezaji wa miradi hii unanufaisha wananchi ikiwa ni pamoja na kuzingatia utoaji wa huduma kwa jamii (CSR) kwa kuzingatia Sheria, Taratibu na miongozo iliyopo.

Hatutamani sana tunaanza vizuri tunafika mahali tunaanza kutoa sababu nyingi, changamoto zitatueni lakini zisipelekee kuongeza muda wa mradi kukamilika’’ Alisisitiza Mhe Senyamule.

Akiwa katika eneo la ujenzi wa uwanja wa ndege wa Msalato unaojengwa na Mkandarasi kutoka China Mhe Senyamule amemtaka Mkandarasi huyo kuongeza kasi ya ujenzi wa jengo la abira ili liweze kukamilika kwa wakati na kwenda sambamba na ujenzi wa njia za kuruka na kutua ndege.

“Hii miradi inabidi iende sambamba, hatuwezi kukamilisha mradi mmoja nakuanza kuutumia maana yote inategemeana, hakuna mkwamo wowote fedha za ujenzi zipo, sisi tunahakikisha kazi inaendana na kasi, lazima wakandarasi wajue matamanio ya Serikali, fanyeni kazi usiku na mchana” Amesisitiza Mhe. Senyamule.

– Advertisement –

Mradi wa Ujenzi wa uwanja wa ndege wa Msalato Lot 1 sehemu ya kwanza utagharimu kiasi cha shilingi Bilioni 165 na Lot 1 sehemu ya 2 utagharimu kiasi cha Shilingi Bilioni 199

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mhe. Jabir Shekimweri ametoa rai kwa Mkandarasi huyo kuhakikisha anazingatia Mpango wa Usimamizi wa Mazingira ili miundombinu inayojengwa hususan madaraja yaweze kupitisha maji kikamilifu bila kuathiri wananchi na mazingira kwa upande wa pili.

Katika ziara ya siku moja ya kutembelea miradi ya kimkakati ndani ya Mkoa wa Dodoma, Mhe. Mkuu wa Mkoa alimbatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa na Wilaya.

About the author

Alex Sonna