Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

mislibet

pokerklas

jojobet giriş

marsbahis

tarafbet

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

jojobet güncel giriş

pokerklas

royalbet giriş

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

betpark giriş

trendbet

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10

bets10

Milanobet

casibom giriş

cratosroyalbet

galabet giriş

İkimisli

onwin

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

mobilbahis

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

artemisbet

kavbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

grandpashabet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

grandpashabet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

jojobet

vdcasino giriş

zirvebet

kavbet giriş

goldenbahis giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

artemisbet giriş

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

mobilbahis

marsbahis giriş

kingroyal

jojobet

jojobet

trust score weak 3

pusulabet

ikimisli

stake giriş

jojobet güncel

jojobet adres

casibom

realbahis

ikimisli

queenbet

jojobet

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

mobilbahis

jojobet giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

galabet giriş

galabet

betpas

1xbet giriş

holiganbet giriş

restbet

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

dizipal

casibom

interbahis, interbahis giriş

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

superbetin

meritking

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

royalbet

cratosroyalbet

stake

bets10 güncel giriş adresi

tempobet

jojobet giriş

perabet

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

piabet

alobet, alobet giriş

google

piabet

piabet

marsbahis

dental implants turkey

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

holiganbet

jojobet güncel giriş

turkey dental implants

dental implants turkey

betturkey

sonbahis

amgbahis

esbet

casinowon

mercurecasino

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino giriş

ikimisli

queenbet

jojobet

holiganbet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

casibom giriş

casibom

mavibet

meritking giriş

meritking

marsbahis

betsmove

betsmove

mavibet

holiganbet giriş

jojobet

goldenbahis

holiganbet

galabet

holiganbet

mislibet

casibom

tambet

Hacklink panel

betturkey

meritking

google giir

Marsbahis

madridbet

realbahis

casibom giriş

royalbet

jojobet giriş

royalbet

casibom giriş

casibom giriş

casibom

merit

bahsegel

bahsegel giriş

galabet

galabet giriş

sahabet

meritking giriş

meritking

truvabet

betgaranti

betoffice

piabet

Bet365 Giriş

ilbet

ilbet giriş

turkey dental implants

roketbet 2026

vdcasino

casibom

deneme bonusu

jojobet

galabet

robinbet

stresser

free stresser

ip stresser

stresser test

free ip stresser

runtobet

runtobet giriş

1xbet

pokerklas

betine

jojobet

betvole

betvole

betkolik

betkolik

betplay

betplay

aresbet

aresbet

alfabahis

alfabahis

gobahis

gobahis

livebahis

livebahis

atlasbet

atlasbet

ultrabet

ultrabet

marsbahis

marsbahis

marsbahis

marsbahis

marsbahis

coinbar

coinbar

elitcasino

elitcasino

bahisfair

bahisfair

gonebet

gonebet

betovis

betovis

Featured Kitaifa

MADIWANI, WATAALAMU CHEMBA WATAKIWA KUACHA MIGOGORO

Written by Alex Sonna

KATIBU  Msaidizi -Kanda ya Kati,Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Bi.Jasmin Awadhi Bakari,akizungumza wakati wa mafunzo kwa Madiwani,Wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri ya Chemba yaliyoandaliwa na Ofisi ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma leo Februari 16,2023 wilayani Chemba Mkoani Dodoma.

MWENYEKITI wa Halmashauri ya Chemba, Sambala Said,akizungumza wakati akifungua mafunzo kwa Madiwani,Wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri ya Chemba yaliyoandaliwa na Ofisi ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma leo Februari 16,2023 wilayani Chemba Mkoani Dodoma.

KATIBU  Msaidizi -Kanda ya Kati,Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Bi.Jasmin Awadhi Bakari,akizungumza wakati wa mafunzo kwa Madiwani,Wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri ya Chemba yaliyoandaliwa na Ofisi ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma leo Februari 16,2023 wilayani Chemba Mkoani Dodoma.

SEHEMU ya Washiriki wakifatilia mada mbalimbali wakati wa  mafunzo kwa Madiwani,Wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri ya Chemba yaliyoandaliwa na Ofisi ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma leo Februari 16,2023 wilayani Chemba Mkoani Dodoma.

AFISA kutoka Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Modesta Mtui,akitoa mada kwa  Madiwani,Wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri ya Chemba wakati wa mafunzo  yaliyoandaliwa na Ofisi ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma leo Februari 16,2023 wilayani Chemba Mkoani Dodoma.

Na.Alex Sonna-CHEMBA

MADIWANI na wataalamu katika Halmashauri ya Chemba wametakiwa kuacha migogoro na badala yake  washirikiane  katika uendaji kazi wao  ili kuwaletea maendeleo wakazi wa Halmshauri hiyo.

Hayo yameelezwa leo Februari 16,2023 wilayani Chemba  na Katibu  Msaidizi -Kanda ya Kati,Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Bi.Jasmin Awadhi Bakari, wakati akifungua mafunzo kwa Madiwani na Wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri hiyo yaliyoandaliwa na Ofisi ya Sekretarieti ya Maadili ya viongozi wa Umma.

Bi.Jasmin amesema kuwa katika siku za hivi karibuni kumekuwa na mvutano kati ya madiwani na wataalamu katika Halmashauri mbalimbali.

“Tukaona ili tuweze kuisaidia serikali  tuwakumbushe wanatakiwa kufanya nini  tunawasisitiza  kufanya kazi kwa pamoja  wajue yanaeleweka lengo lao ni nini dira yao ni nini

“Wanatakiwa kufanya kazi kwa pamoja  ili watende kwa kuwatimizia mahitaji wananchi,wakiwa hawana maeleano itakuwa ngumu ndio maana tukaona tufanye mafunzo haya,”amesema Jasmin.

Aidha amesema mafunzo kama hayo wameyafanya pia  mkoani Singida katika  wilayani za  Itigi na Kalambo na wanaendelea na wilaya zingine.

“Tumekuja kutoa mafunzo Halmashauri Chemba ikiwa ni moja kati ya Halmashauri 15 tunazozisimamia katika Halmashauri ya Chemba lengo kubwa  ni kukumbushana na kuwakumbusha viongozi na watumishi katika uwajibikaji wa pamoja.

“Tunawajibu wa kuwasimamia  na wanafanya kazi kwa kushirikiana  kwa pamoja ili kufikia malengo kubwa ni kuwapatia maendeleo,”amesema 

Kuhusu mmomonyoko  wa maadili kwa viongozi wa kanda ya kati Kamesema kuwa amesema sio mkubwa na wamekuwa wakiwakumbusha umuhimu wa kufuata maadili katika utendaji kazi wao wa kila siku.

“Binadamu ameumbwa kukumbushwa na ni mtu wa kujisahau sasa ili kuisaidia serikali ndio maana tunatoa mafunzo ya mara kwa mara ili fedha zisiende mahakamani ziende kwenye miradi ya wananchi,”amesema Jasmin.

Kwa upande wake,Mwenyekiti wa Halmashauri ya Chemba, Sambala Said, amesema kuwa lengo la mafunzo hayo ni kuwajengea uwezo katika utendaji kazi wao.

Amesema kiongozi ni lazima afuate maadili ya utendaji kazi kwani yeye anamilikiwa na umma hivyo ni lazima ahakikishe anavaa vizuri pamoja na matendo yake yanakuwa mazuri.

“Ndio maana kila mwaka anatakiwa  atoe tamko la kukiri mali anazomiliki yeye na familia yake ili kumfanya kiongozi kuwa kioo cha jamii.

“Kuna baadhi wanakosa maadili na tumekuwa tukishuhudia kiongozi wa umma kutaka jambo lake, mfano kuomba rushwa ya fedha na ngono,”amesema Bw.Said

Amesema mafunzo hayo ni muhimu na yanatengeneza ramani ya kujua viongozi wa uuma anatakiwa aishi vipi na jamii inayomzunguka.

Hata hivyo ametoa wito kwa viongozi wa umma kuhakikisha wanafuata wajibu wao pamoja na kuyafanyia kazi mafunzo wanayofundishwa.

About the author

Alex Sonna