Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

maxwin, maxwin giriş

casibom

jojobet

avrupabet

elitbahis

casival

celtabet

avrupabet

betlivo

parmabet

betnis

parmabet

betmarino

realbahis

lordcasino

lordcasino

aresbet

betra

gallerbahis

gobahis

hazbet

zirvebet giriş

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

betmarino

lordcasino

pusulabet, pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu

pasacasino

interbahis

casinofast giris

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Jojobet

Jojobet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

grandpashabet

jojobet

holiganbet

jojobet

bets10 sorunsuz giriş

betsat

jojobet

tambet

ultrabet

jojobet

piabellacasino

setrabet

pulibet

jojobet

timebet

jojobet

kulisbet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

mavibet giriş

megabahis giriş

megabahis

mavibet

piabellacasino

holiganbet giriş

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

holiganbet

mavibet giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet

jojobet giriş

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10

meritbet

dinamobet giriş

casibom

casibom

jojobet

casibom

casibom

grandpashabet

grandpashabet

jojobet

jojobet

jojobet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

imajbet

royalbet

perabet

betface

betface

piabellacasino giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casinoroyal giriş

perabet

meritking

betpark

vdcasino

Featured Kitaifa

CHONGOLO AYATAKA MABARAZA YA MADIWANI NCHINI KUFANYA KAZI ZA KUJADILI MASLAHI YA WANANCHI

Written by Alex Sonna
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa – Itikadi na Uenezi, Ndugu Sophia Mjema,Akizungumza  na Wananchi wa Kinole wakati msafara  wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Daniel Chongolo , ukiwa njiani kwenda Kata ya Tegetelo, kukagua Mradi wa Maji wa Morong’anya, Kulia ni katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa – Oganaizesheni Ndugu Issa Haji Ussi (Gavu.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa – Itikadi na Uenezi, Ndugu Sophia Mjema,Akizungumza  na Wananchi wa Kinole wakati msafara wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Daniel Chongolo , ukiwa njiani kwenda Kata ya Tegetelo, kukagua Mradi wa Maji wa Morong’anya.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa – Itikadi na Uenezi, Ndugu Sophia Mjema,Akishihirikiana na akina mama ntilie kupika chakula katika Kibanda cha Rehema Shomali,wakati msafara Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Daniel Chongolo ,Uliposimama kuzungumza na wananchi na Kushiriki shughuli za kijamii ukiwa njiani kwenda Kata ya Tegetelo, kukagua Mradi wa Maji wa Morong’anya.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo, katikati mwenye kofia  akipata chakula  na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Sofia Mjema, Katibu wa NEC Oganaizesheni Issa Haji Gavu, Mbunge wa jimbo la Morogoro Kusini Mashariki Tale Tale pamoja na wananchi wengine katika mgahawa wa mama lishe katika Kibanda cha Rehema Shomali kata ya Kinole Mororgoro Vijijini akiendelea na ziara yake mkoani humo. Leo tarehe 3 Februari, 2023.(Picha Zote  na Fahadi Siraji CCM)
***********************
 
KATIBU mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo ameyataka mabaraza ya madiwani nchini kufanya kazi za kujadili maslai ya wananchi na sio kurumbana kwa maslai yao binafsi.
 
Katibu mkuu Chongolo alisema hayo  jana  wakati akizungumza na  wanachama wa CCM katika kijiji cha Kinole, jimbo la  Morogoro kusini Mashariki ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya siku tisa Mkoani Morogoro yenye lengo la kuimarisha chama na kukagua miradi ya maendeleo.
 
“Madiwani kazi yenu ni kujadili hoja zenye tija na sio kuvutana bila sababu za msingi” alisema.
 
Alisema amepata taarifa kutoka kwa mbunge wa jimbo hilo Hamis Tale kuwa Serikali ilipeleka fedha za kituo  cha afya cha Kinole lakini fedha hizo ziliondolewa baada ya kutokea marumbano wapi kituo hicho kijengwe.
 
“Naenda kuziwekea msisitizo fedha hizo zirudishwe ndani ya miezi miwili  fedha zitakuwa zimefika “alisema..
 
Akizungumzia elimu Chongolo aliwataka wazazi katika wilaya ya Morogoro vijijini kuacha tabia za kuwafundisha watoto mambo ya wakubwa kabla ya umri wao.
 
“Zamani mtoto wa kike akimaliza darasa la saba anachezwa ngoma kisha anaolewa, acheni kuwafanya watoto wa kike mahari”alisema
 
Pia aliwataka  wazazi hao kuacha kuwageuza    watoto kike kuwa  wafanyakazi wa ndani na badala yake wawapeleke shule ili waweze kuhudunia familia zao kwa tija.
 
Kwa upande wa Afya, katibu huyo aliwataka kuacha kujitibu kwa waganga wa jadi na badala yake watumie huduma za vituo vya afya.
 
“Serikali imewekeza fedha nyingi katika vituo vya afya na hospitali hakuna sababu ya kwenda kutibiwa kwa waganga wa jadi”alisema.
 
Awali katibu wa shina namba 2  Shomari Mkude  alisema katika vikao vyao vya shina hujadili  kuhusu masuala ya kilimo  na kumuhakikishia Chongolo wanatarajia kuvuna mazao ya kutosha ifikapo mwezi Aprili na hivyo hawatakuwa na njaa.
 
Pia katibu huyo wa tawi alisema wanamshukuru Rais Dk Samia Suluhu Hassan kwa kuwaletea madarasa mapya ya kutosha hali itakayowafanya wanafunzi kusoma vizuri .
 
Katibu huyo wa tawi  alitaka kujua kuhusu ujenzi wa barabara ya kutoka Bigwa hadi Kisaki kwa kiwango cha lami unaanza lini.
 
Akijibu hoja hiyo meneja wa wakala. wa barabara mkoa wa Morogoro Alinanuswe Kyamba alisema Machi 8 watafungua zabuni ya barabara hiyo ambapo kufikia mwezi mwaka huu mkandarasi atakuwa ameanza kazi.
 
Kwa Upande wake Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa Oganaizesheni, Issa Haji Gavu amewasisitiza Wana CCM na wananchi kwa ujumla kuendelea kuzalisha chakula cha kutosha ili kuwa na uhakika wa chakula.

About the author

Alex Sonna