marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sakarya escort

izmit escort

matbet

vdcasino

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

betgaranti

kavbet

marsbahis

perabet giriş

kavbet

mavibet giriş

mavibet giriş

imajbet

mavibet

pashagaming

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betkolik, betkolik giriş

jojobet

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

bettilt

trimology review

celtabet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betosfer

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

aaa

Madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

betixir giriş

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

meritking

galabet

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

casibom

lunabet

lunabet giriş

imajbet

bahiscasino

perabet

lunabet

kavbet

artemisbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Deneme Bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

sahabet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

grandpashabet

Hacklink Panel

betplay

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

artemisbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

imajbet

สล็อตเว็บตรง

bets10 giriş

bettilt giriş

holiganbet giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

Holiganbet

hitbet

kavbet

kavbet

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

dinamobet

netbahis

1xbet giriş

vipslot

galabet giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

norabahis

galabet

avşa kiralık daire

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

deneme bonusu

tophillbet

Featured Kitaifa

TAASISI ZA WIZARA YA FEDHA ZAHIMIZWA KUWASILIANA KIMKAKATI

Written by Alex Sonna

Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu (sehemu ya rasilimali watu), Bw. Benjamin Chilumba, akifungua Kongamano la Siku mbili la  Wakuu wa Vitengo vya Mawasiliano wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Fedha na Mipango kwa niaba ya  Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Bi. Jenifa Omolo, linalofanyika mkoani Morogoro.

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Benny Mwaipaja akisema jambo wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Siku mbili la Wakuu wa Vitengo vya Mawasiliano wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Fedha na Mipango linalofanyika mkoani Morogoro.

 Baadhi ya Wakuu wa Vitengo vya Mawasiliano wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Fedha na Mipango wakisiliza kwa umakini mada mbalimbali wakati Kongamano la Siku mbili la Wakuu wa Vitengo vya Mawasiliano wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Fedha na Mipango linalofanyika mkoani Morogoro.

Baadhi ya Wakuu wa Vitengo vya Mawasiliano wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Fedha na Mipango wakisiliza kwa umakini mada mbalimbali wakati Kongamano la Siku mbili la Wakuu wa Vitengo vya Mawasiliano wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Fedha na Mipango linalofanyika mkoani Morogoro.

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Bw. Innocent Primus Mungy akitoa mada kwa   jambo wakati wa kongamano la Siku mbili la Wakuu wa Vitengo vya Mawasiliano wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Fedha na Mipango linalofanyika mkoani Morogoro.

Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu, Bw. Benjamin S. Chilumba (katikati waliokaa), Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Benny Mwaipaja (wapili kushoto waliokaa), Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Bw. Innocent Primus Mungy (wapili kulia waliokaa) wakiwa katika picha ya pamoja na Wakuu wa Vitengo vya Mawasiliano wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Fedha na Mipango wakati wa Kongamano la Siku mbili linalofanyika mkoani Morogoro.

 

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini-Wizara ya Fedha na Mipango-Morogoro)

……………………………………..

Na. Saidina Msangi, WFM, Morogoro

Wakuu wa Vitengo vya Mawasiliano wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Fedha na Mipango wametakiwa kuwasiliana kimkakati ili kufikisha taarifa zinazohusiana na Wizara pamoja na Taasisi zake kwa wananchi kwa kuzingatia viwango na kwa wakati.

Rai hiyo imetolewa na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Bi. Jenifa Omolo, ambaye aliwakilishwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu (sehemu ya rasilimali watu), Bw. Benjamini Chilumba, katika ufunguzi wa kongamano la Wakuu wa Vitengo vya Mawasiliano wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Fedha na Mipango, lililofanyika mkoani Morogoro.

Alisema kuwa kongamano hilo litatoa fursa kwa washiriki kujadili changamoto zinazowakabili ili kuzipatia ufumbuzi utakaoongeza utendaji kazi na ufanisi katika majukumu ya kila siku kwa maendeleo ya Wizara  na Taifa kwa ujumla.

Alisema kuwa ushiriki katika kongamano hilo ni ishara njema kwa ustawi wa Wizara na Taasisi zake katika kukuza na kuimarisha Mawasiliano kwa Umma na kuwa michango, ushauri na mapendekezo yatakayotolewa  kupitia majadiliano yatafanyiwa kazi ili kuboresha zaidi Kongamano lijalo pamoja na kuendeleza mahusiano mazuri ya kimawasiliano kati ya Wizara na Taasisi zake.

‘‘Ninawaagiza Wakuu wa vitengo vya mawasiliano wote kuendelea kutumia jukwaa hili kujadili na kubadilishana uzoefu wa masuala mbalimbali ya Mawasiliano ya Umma na usambazaji wa taarifa kwa wadau wetu, ni matumaini yangu kuwa siku za usoni kongamano hili litakuwa ni miongoni mwa makongamano bora na makubwa zaidi nchini’’, alisema Bw. Chilumba.

Alitoa rai kuwa kongamano hilo ambalo ni la kwanza kufanyika katika siku zijazo lishirikishe wadau wengi zaidi wa mawasiliano ili kuweza kupata mawazo tofauti na kujenga mahusiano mazuri na wadau hao kwa lengo la kuitangaza Wizara, Taasisi zake na Serikali kwa jumla.

Awali Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Benny Mwaipaja, alisema kuwa kutokana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia sekta ya mawasiliano imebadilika hivyo kongamano hilo litatoa fursa kwa washiriki kujadili, kujenga ukaribu na kukumbushana mambo muhimu ya mawasiliano na wadau ndani na nje ya taasisi za wizara.

‘‘Mawasiliano ya kimkakati yatatuwezesha sisi kama Wizara na Taasisi zake kutoa taarifa sahihi, kwa wakati na zilizochambuliwa vizuri’’, alisisitiza Bw. Mwaipaja.

Alisema kwa kuzingatia mabadiliko katika sekta ya mawasiliano kongamano hilo litasaidia kubadilishana mawazo na kujipanga kimkakati namna ya kutoa taarifa za Wizara na taasisi zake kwa umma.

 

Mada mbalimbali zilitolewa na wataalamu wa masuala ya Mawasiliano ili kuwajengea uwezo Wakuu wa Vitengo vya Mawasiliano katika utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku ikiwemo jinsi ya kufanya mawasiliano ya umma kimkakati na njia bora ya matumizi ya mtandao ya jamii katika kufikisha taarifa za Serikali na Taasisi zake umma.

Kongamano hilo lilihudhuriwa na wakuu wa vitengo vya mawasiliano vya taasisi zilizo chini ya Wizara ya Fedha na Mipango ikiwemo, Wakala wa Huduma ya Ununuzi Serikalini (GPSA), Mfuko wa  Self Microfinance, Bodi ya Wataalamu wa Ugavi na Ununuzi Tanzania (PSPTB), Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP), Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA, Ofisi ya  Msajili wa Hazina (TR), Chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika (EASTC), Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), Taasisi ya Uhasibu Tanzania  (TIA),  Taasisi ya Uhasibu Arusha (AII), Mfuko wa Uwekezaji wa UTT, Hazina Saccoss, Mamlaka ya Rufaa ya Zabuni za Umma (PPAA) na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA).

About the author

Alex Sonna