slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

marsbahis

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

matbet

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

pusulabet

imajbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betasus

pusulabet giriş

matbet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

holiganbet

marsbahis

artemisbet giriş

imajbet giriş

goldenbahis

goldenbahis giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

gobahis, gobahis giriş

noktabet, noktabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betorbet, betorbet giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

matbet giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

capitolbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

lunabet

artemisbet

kavbet

kavbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

cratosroyalbet

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

kavbet giriş

imajbet

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

madridbet

holiganbet

jojobet

trust score weak 3

celtabet

bets10 giriş

deneme bonusu

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

deneme bonusu 2026

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

matbet, matbet giriş

matbet, matbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

meritking

royalbet

Goldenbahis

deneme bonusu veren siteler

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

holiganbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler 2026

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

deneme bonusu

sekabet

pusulabet

holiganbet

marsbahis

imajbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet güncel giriş

Featured Kitaifa

WAZAZI WAPENI WATOTO ELIMU YA MAKUZI,AFYA YA UZAZI-MRAJIS

Written by Alex Sonna

 

MRAJISI wa Asasi za Kiraia Zanzibar, Ahmed Abdulla (wa pili kushoto) akimkabidhi mmoja ya wanafunzi wa skuli ya St. Paul Kiungani wakati wa zoezi la ugawaji wa taulo za kike kwa wanafunzi zilizotolewa na taasisi ya Women and Children Support Association (WCWSA) kwa kushirikiana na wadau wengine skulini hapo jana.

MMOJA ya wanafunzi wa skuli ya sekondari St. Monica akitoa maelezo ya ufahamu wake juu ya masuala ya hedhi salama wakati wa zoezi la ugawaji wa taulo za kike kwa wanafunzi zilizotolewa na taasisi ya Women and Children Support Association (WCWSA) kwa kushirikiana na wadau wengine lilifanyika katika skuli ya St. Paul Kiungani mjini Unguja.

Baadhi ya wadau wa shirika la Women and Children Welfare Support Association (WCWSA), wakiwa na mgeni rasmi Mrajisi wa Asasi za Kiraia Zanzibar, Ahmed Abdulla, baada ya uzunduzi wa zoezi la ugawaji taulo za kike kwa wanafunzi wa skuli za St. Paul na St. Monica, lililofanyika Kiungani Kilimani mjini Unguja

…………………………..

NA MWANDISHI WETU

WAZAZI wametakiwa kutofumbia macho elimu ya kujitambua, makuzi na afya ya uzazi kwa watoto wao ili kuwalinda na changamoto mbali mbali zinazojitokeza katika jamii.

Wito huo umetolewa na Mrajisi wa Asasi za Kiraia Zanzibar, Ahmed Abdallah, alipokua akizindua zoezi la ugawaji wa taulo za kike na elimu ya hedhi salama kwa wanafunzi wa skuli za St. Paul na St. Monica, lililofanyika Kiungani mjini unguja.

Alieleza kuwa ukimya uliopo kwa baadhi ya wazazi juu ya masuala ya mabadiliko ya kimaumbile ya watoto wao, hupelekea madhara yakiwemo ya kiafya jambo linaloweza kudhibitiwa kwa kujenga ukaribu na kuwapa elimu kulingana na umri na nafasi ya mtoto.

Aidha alipongeza juhudi zinazochukuliwa na asasi za kiraia ikiwemo ya Women and Children Welfare Support Association (WCWSA), Holding Hands Foundation na WAJAMAMA kwa kutoa elimu inayohusu hedhi salama na kugawa taulo hizo kwa wanafunzi jambo litakaloongeza ufanisi wao masomoni.

“Tukiacha watoto wetu wajifunze au wafundishane wenyewe kwa wenyewe tunaweza kuwa na jamii yenye uelewa potofu juu ya hii dhana, hivyo nazishukuru taasisi zilizojipa wajibu wa kuisaidia serikali kutimiza lengo la kuimarisha ustawi wa jamii na maendeleo ya nchi yetu,” alieleza Ahmed.

Aliongeza kuwa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) inathamini mchango unaotolewa na Asasi za Kiraia ambao alisema unaziba pengo la kiutekelezaji wa majukumu ya serikali na kuzitaka kufanya kazi kulingana na malengo ya kuanzishwa kwao na mahitaji ya jamii.

“Natoa wito kwa Asasi za Kiraia kuendelea kutimiza wajibu wao kwa kuzingatia sheria za nchi, lakini pia mila na desturi za watu wa Zanzibar na ofisi yangu ipo tayari wakati wote kuzisaidia,” alifafanua Mrajis.

Awali Katibu wa Kanisa la Anglican Zanzibar, Padri Stanley Lichinga, alipongeza usimamizi na ufuatiliaji unaofanywa na ofisi ya mrajisi kwa mashirika yasiyo ya kiserikali kwani yamekua msaada mkubwa kwa jamii.

Aidha aliitaka jamii hasa wanaume kuwa karibu na watoto wao wa kike kuwasikiliza na kuwapa njia za kujilinda dhidi ya changamoto mbali mbali zilizomo katika jamii.

“Zamani tulikua na mambo ya kimila ambayo yaliwawezesha wasichana wanapokua wakubwa kupata uelewa juu ya masuala ya makuzi yao lakini sasa hayapo sasa pamoja na hizi asasi kubeba wajibu huo, wazazi hasa wanaume tunapaswa kuwa sehemu ya darasa kwa watoto wetu wote,” alieleza Padri Lichinga.

Akizungumzia zoezi hilo, Afisa Miradi wa WCWSA, Ester Mwakarobo, alieleza kuwa zoezi hilo ni endelevu na kwamba litafanyika katika skuli nyengine za Unguja na pemba.

Aliongeza kuwa katika mpango kazi wa shirika hilo, mbali ya kutoa elimu ya kuhusu hedhi salama na kugawa taulo za kike, pia lina mpango wa kusaidia upatikanaji wa huduma muhimu katika skuli zikiwemo za maji safi na salama na chakula kwa wanafunzi.

“WCWSA imejikita zaidi kukabiliana na changamoto zinazowagusa watoto na wanawake na ndio maana katika mpango kazi wetu tunatarajia kuzifikia skuli na kutoa chakula angalau mlo mmoja ili kuhamasisha watoto kupenda kusoma na kuongeza ufaulu,” alieleza Mwakalobo.

Nae Mwenyekiti wa Holding Hands Foundation, Florence Robert, aliahidi kuwa wataendelea kutoa elimu juu ya usafi na hedhi salama kwa wasichana na wanawake ili kuwa na jamii salama dhidi ya maradhi yanayotokana naafya ya uzazi.

Aliongeza kuwa kwa kushirikiana na wadau mbali mbali, shirika lake limeifikia jamii hasa wenye mahitaji maalum kwa kuwaunganisha na wafadhili waliowapatia misaada inayowaondolea changamoto wanazopitia.

Nae mmoja ya wadau waliosaidia upatikanaji wa vifaa hivyo, Sasha Sarafin kutoka Sasha Tours alitoa rai kwa serikali kutenga bajeti ya taulo za kike na elimu ya afya kwa wasichana walioko skuli ili kuwaongezea hali ya kujiamini na kufanya vyema kwenye masomo yao.

“Kwa muda mrefu taasisi za kiraia zimekua zikishirikiana na serikali kutoa elimu juu ya masuala haya baada ya kuona wanawake na wasichana wengi hawana elimu ya kutosha juu ya matumizi ya vifaa vya kujihifadhia wanapokua kwenye siku zao lakini hiyo haitosh, mamlaka lazima zitenge fedha,” alieleza Sasha.

Katika tukio hilo mashirika mbali mbali yalitoa elimu ya kujitambua, usafi na hedhi salama iliyoambatana na ugawaji wa taulo za kike pamoja na namna bora ya kuzitumia bila ya kuwaathiri na kuathiri mazingira.

About the author

Alex Sonna