Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

jojobet

avrupabet

elitbahis

casival

celtabet

avrupabet

betlivo

parmabet

betnis

parmabet

betmarino

realbahis

lordcasino

lordcasino

aresbet

betra

gallerbahis

gobahis

hazbet

matbet giriş

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

betmarino

kulisbet

maxwin, maxwin giriş

maxwin, maxwin giriş

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu

paşacasino

interbahis

casinofast giris

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Jojobet

pusulabet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

deneme bonusu veren siteler

jojobet

holiganbet

jojobet

betpark

meritking

jojobet

grandpashabet

atlasbet giriş

lunabet

artemisbet giriş

setrabet

betpas

jojobet

timebet

jojobet

kavbet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

holiganbet güncel giriş

holiganbet

holiganbet giriş

mavibet giriş

piabellacasino

holiganbet giriş

holiganbet

mavibet giriş

artemisbet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet

jojobet giriş

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

betpark güncel

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

grandpashabet

maxwin

dinamobet giriş

ultrabet

casibom

betkolik

jojobet

casibom

jojobet

kalebet

casibom

casibom

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

holiganbet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

imajbet

royalbet

perabet

betface

betface

piabellacasino giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

avrupabet

jojobet

betpark

meritking giriş

vdcasino

jojobet

kingroyal

Featured Kitaifa

SERIKALI KUENDELEA KUWAJENGEA VIJANA MAZINGIRA WEZESHI NCHINI

Written by Alex Sonna

 

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi akizungumza na uongozi na wanafunzi wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini wakati wa hafla ya kuwakaribisha wanafunzi wapya wa mwaka wa masomo 2022/2023, jijini Dodoma.

Sehemu ya wanafunzi wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini wakisikiliza maelezo ya Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi (hayupo pichani) wakati wa hafla ya kuwakaribisha wanafunzi wapya wa mwaka wa masomo 2022/2023.

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi akimkabidhi cheti cha pongezi Mkuu wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini, Prof. Hosen Mayaya ikiwa ni sehemu ya kutambua mchango wake katika malezi ya wanafunzi wa chuo hicho.

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Mhe. Patrobasi Katambi akiwa ameshika kombe pamoja na Mkuu wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini, Prof. Hosen Mayaya (kulia) mara baada ya kukabidhiwa na vijana wa chuo hicho walioshiriki mashindano ya SHIMIVUTA.

Mkuu wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini, Prof. Hosen Mayaya akieleza jambo wakati wa hafla hiyo.

Rais wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (MISO), Bi. Sayuni Mmari akizungumza wakati wa hafla ya kuwakaribisha wanafunzi wapya wa mwaka wa masomo 2022/2023, Dodoma.

……………………………….

Na: OWM – KVAU -DODOMA

Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeendelea kutoa kipaumbele na kuweka mikakati mbalimbali ya kuwajenga vijana mazingira wezeshi yatakayo wawezesha kushiriki kikamilifu katika ujenzi wa taifa na kuwasaidia kujikwamua kiuchumi.

Hayo yameelezwa na Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi wakati wa hafla ya kuwakaribisha wanafunzi wapya wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini kwa mwaka wa masomo 2022/2023 katika ukumbi wa Mwl. Nyerere uliopo chuoni hapo jijini Dodoma.

Mheshimiwa Katambi amesema, dhamira ya Serikali ni kuwapatia vijana elimu bora na thabiti inayoendana na mazingira yao na kuhakikisha elimu hiyo inawasaidia katika kuhudumia taifa na kuwapatia maarifa yatakayo wawezesha kujiongoza.

“Vijana ndio nguvu kazi ya taifa na Serikali ina matarajio makubwa na kundi hilo kwa kuwa ndio watakaoleta mapinduzi ya ukuaji wa uchumi wa nchi,” amesema

“Endeleeni kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa anayoifanya katika Taifa letu ya kuhakikisha masuala ya vijana yanapewa kipaumbele,”

Ameongeza kuwa, Serikali imeendelea kuweka mikakati endelevu yenye malengo ya kuwezesha vijana ikiwemo kuwapatia mikopo yenye riba nafuu ambayo hutolewa na Mfuko wa Maendeleo ya Vijana unaoratibiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu, vilevile mikopo inayotolewa na halmashauri mbalimbali zilizopo nchini kupitia mapato ya ndani (4% kwa vijana, 4% wanawake na 2% Watu wenye Ulemavu) ambayo imewezesha vijana kuanzisha na kuendeleza miradi mbalimbali inayowaingizia kipato.

Ameeleza kuwa jitihada nyingine zilizofanyika ni pamoja na kuwezesha vijana kupitia Programu ya Taifa ya Kukuza Ujuzi ambayo kupitia mafunzo tarajari (Internship) yanayoratibiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu kupitia Kitengo cha Huduma za Ajira (TaESA) imewezesha wahitimu wa ngazi mbalimbali za elimu kushiriki mafunzo ya uzoefu wa kazi na baadhi ya vijana wameajiriwa na makampuni mbalimbali. Pia, amesema kitengo hicho kimeweza kuwaunganisha vijana na fursa za ajira nje ya nchi ikiwemo wakati wa kombe la dunia.

Vile vile, ameeleza namna vijana nchini walivyoweza kunufaika na fursa mbalimbali za ajira kupitia miradi ya kimakakati inayoendelea kutekelezwa nchini.

Aidha, Naibu Waziri Katambi amewataka vijana hao kutambua wajibu walionao na kuwa na tabia njema ili waweze kufanikiwa sambamba na kutimiza malengo yao.

Naye, Mkuu wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini, Prof. Hosen Mayaya, ameshukuru Serikali kwa kuendelea kuwezesha sekta ya elimu nchini ambayo imekuwa na mchango mkubwa katika kukomboa taifa.

Kwa upande wake, Rais wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (MISO), Bi. Sayuni Mmari ameeleza kuwa wanafunzi wa chuo hicho wataendelea kuunga mkono jitihada zinazofanywa na serikali.

About the author

Alex Sonna