slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

google algoritma hack

escort sapanca

holiganbet

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

vdcasino

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

teosbet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

interbahis

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

istanbulbahis

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

holiganbet giriş

jokerbet

jokerbet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis giriş

imajbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu

Hacklink Panel

palacebet

vdcasino giriş

bets10 giriş

interbahis

mavibet

imajbet

interbahis giriş

klasbahis

interbahis giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

casibom giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet giriş

slot siteler

deneme bonusu 2026

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

primebahis

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

timebet

meritking

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

marsbahis

jojobet giriş

matbet

sekabet

pusulabet

vdcasino giriş

kingroyal

betist

Featured Kitaifa

SUALA LA KUPUNGUZA VIFO VYA WAJAWAZITO NA WATOTO SIO JUKUMU LA WIZARA YA AFYA PEKEE.

Written by Alex Sonna

Balozi Batilda Burian Mkuu wa Mkoa wa Tabora akizungumza na wataalam wa Afya kanda ya Magharibi katika ufunguzi wa kikao hicho cha kujadili mikakati ya kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na watoto wachanga kwa mikoa ya Tabora,Katavi,na Kigoma.

IMG_0058.JPG

Afisa Programu  Wizara ya Afya,Idara ya Afya ya Uzazi ,Mama na Mtoto  Jackline Ndanshau akizungumza na wataalam wa Afya kanda ya Magharibi katika ufunguzi wa kikao hicho cha kujadili mikakati ya kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na watoto wachanga kwa mikoa ya Tabora,Katavi,na Kigoma

IMG_0076.JPG

Mganga Mkuu Mkoa wa Kigoma Dkt.Jesca Lebba akizungumza na wataalam wa Afya kanda ya Magharibi katika ufunguzi wa kikao hicho cha kujadili mikakati ya kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na watoto wachanga kwa mikoa ya Tabora,Katavi,na Kigoma.

IMG_0183.JPG

Mkunga Mbobezi  kutoka Idara ya Huduma za Uuguzi na Ukunga ,Wizara ya Afya Aziza Machenje akichangia mada namna ya kufanya mikakati ya kupunguza vifo vitokanavyo na Uzazi na Watoto wachanga.

IMG_0145.JPG

Mganga Mkuu Mkoa wa Tabora  na Mwenyekiti wa Huduma ya Afya ya Uzazi na Mtoto Kanda ya Magharibi Dkt.Honoratha Rutatinisibwa akichangia mada katika kupunguza vifo vitokanavyo na Uzazi na Watoto wachanga.

IMG_0061.JPG

Katibu tawala Mkoa wa Tabora Dkt.John Mboya akishiriki katika kikao hicho cha kujadili mikakati ya kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na watoto wachanga kwa mikoa ya Tabora,Katavi,na Kigoma.

IMG_0118.JPG

Afisa Programu ya Saratani ya Uzazi ,Wizara ya Afya,Joachim Masunga akiwasilisha mada katika kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na watoto wachanga.

IMG_0120.JPG

IMG_0124.JPG

IMG_0053.JPG

Sehemi ya washiriki wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Tabora Balozi Batilda Burian wakati  akizungumza na wataalam wa Afya kanda ya Magharibi katika ufunguzi wa kikao hicho cha kujadili mikakati ya kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na watoto wachanga kwa mikoa ya Tabora,Katavi,na Kigoma.

IMG_0091.JPG

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Balozi Batilda Burian akiwa katika picha ya pamoja na  wataalam wa Afya kanda ya Magharibi katika ufunguzi wa kikao hicho cha kujadili mikakati ya kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na watoto wachanga kwa mikoa ya Tabora,Katavi,na Kigoma.

…………………………………..

Na.Faustine Gimu,Elimu ya Afya kwa Umma,Tabora

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Balozi  Dkt.Batilda  Burian amesema suala la kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na watoto wachanga sio jukumu la wizara ya Afya pekee hivyo ni muhimu kila sekta kuweka mikakati ya pamoja.

Balozi Burian  amebainisha hayo mkoani Tabora katika ufunguzi wa kikao cha watalaam wa Afya Kanda ya Magharibi inayounda mikoa Tabora ,Katavi na Kigoma cha kujadili mikakati ya kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na watoto wachanga katika kanda hiyo.

“Maelekezo ya Wizara ya Afya ni kuhakikisha kila halmashauri inaweka mikakati ya kupunguza vifo vya akina mama wajawazito na watoto wachanga hivyo suala hili ni mtambuka sio tu la Wizara ya Afya ni la sekta zote ,sisi viongozi ni kuhakikisha kuwa tunasimamia masuala haya ya Afya ya msingi na afya ya uzazi na watoto ili vifo hivi vipungue ,sababu zinazochangia vifo ni kutokana na kupoteza damu nyingi kabla ya kujifungua na baada ya kujifungua ,sasa tunafanyaje watu wa kilimo wanafanyaje,katika bustani zao wanakuwa na mbogamboga ,rozela inayosaidia kuongeza damu”amesema.

Katika hatua nyingine Mkuu huyo wa Mkoa ameagiza vituo vyote vya kutolea huduma katika mkoan wa Tabora vyenye TV  kuweka jumbe zenye maudhui ya Afya ili mwananchi anaposubiri kupatiwa huduma anapata ujumbe sahihi wa Afya  badala ya kusikiliza muziki .

Kuhusu takwimu za vifo vitokanavyo na uzazi katika Kanda ya Magharibi yenye mikoa ya Tabora, Kigoma na Katavi kwa miaka mitatu mfululizo Balozi Dkt.Burian amesema  Mwaka 2019 akina mama wajawazito 210 walipoteza maisha; ambapo, Kigoma vilikuwa vifo 100, Tabora 62 na Katavi 48.

Mwaka 2020 akina mama 235 walipoteza Maisha; ambapo Kigoma vilikuwa vifo 119, Tabora 58 na Katavi 58, na Mwaka 2021 akina mama 174 walipoteza Maisha; ambapo Kigoma vilikuwa vifo 75, Tabora vifo 58 na Katavi vifo 41.

Ametaja sababu kubwa zilizosababisha vifo vya  wajawazito ni pamoja na Kutokwa damu nyingi baada ya kujifungua,Kifafa cha mimba, Kupasuka mfuko wa Uzazi,Kutokwa na damu nyingi kabla ya kujifungua, Upungufu mkubwa wa damu,Uambukizo wakati na baada ya kujifungua huku hali ya vifo  Mwaka 2020 vitokanavyo na uzazi  kitaifa vilikuwa 1,640 na Mwaka 2021 vilikuwa 1,588.

 

Takwimu za vifo vya watoto wachanga kuanzia siku 0-28 katika Kanda ya Magharibi kwa mwaka 2021  ni watoto wachanga 2,539 walipoteza maisha; ambapo Kigoma vilikuwa ni vifo 1,026, Tabora vifo 954, na Katavi vifo 559  kushindwa kupumua, watoto kuzaliwa  njiti,uambukizi kwa watoto wachanga,na kuzaliwa na uzito pungufu.

Katika kiwango cha mimba za utotoni kanda ya Magharibi Balozi.Dkt.Burian amesema Mkoa wa Katavi ni 25.2%, Tabora 17% na Kigoma 11.9% na hudhurio la kwanza la wajawazito chini ya wiki kumi na mbili kwa mkoa wa Tabora ni 34.4%, Katavi 41% na Kigoma 54.9% na kiwango cha utumiaji wa njia za kisasa za uzazi wa mpango kwa mkoa wa Katavi ni 41%,Kigoma 46.4%,na Tabora ni 60.1%

Hivyo,Mkuu huyo wa Mkoa ametoa maagizo ya Kuongeza uwajibikaji katika usimamizi na utekelezaji wa mipango mikakati itakayoandaliwa ili kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na watoto wachanga, kudhibiti mimba na ndoa za utotoni, elimu ya Afya itolewe kwenye jamii kupitia njia mbalimbali za mikusanyiko ya watu, mashuleni, makanisani na misikitini, vyombo vya habari  na wanaowapa mimba watoto wa shule sheria ichukue mkondo wake ili kudhibiti vitendo  hivyo.

Maagizo mengine ni Mikoa ihakikishe Halmashauri zinakusanya damu ili vituo vya kutolea huduma za Afya hasa Hospitali na Vituo vya Afya viweze kuwa na damu ya kutosha kwa ajili ya kuokoa  maisha ya wajawazito na watoto chini miaka mitano na wagonjwa wengine.

Afisa Programu  Wizara ya Afya,Idara ya Afya ya Uzazi ,Mama na Mtoto  Jackline Ndanshau amesema lengo la kikao hicho kilichoandaliwa na Wizara ya Afya ni kujadili mikakati ya kupunguza vifo vya uzazi na watoto wachanga na kupokea taarifa ya mwaka mzima .

Mganga Mkuu Mkoa wa Kigoma Dkt.Jesca Lebba amehimiza umuhimu wa ushirikishwaji katika ngazi mbalimbali za uongozi kujadili kupunguza vifo vya mama na mtoto.

About the author

Alex Sonna