Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

maxwin, maxwin giriş

casibom

jojobet

avrupabet

elitbahis

casival

celtabet

avrupabet

betlivo

parmabet

betnis

parmabet

betmarino

realbahis

lordcasino

lordcasino

aresbet

betra

gallerbahis

gobahis

hazbet

matbet giriş

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

betmarino

lordcasino

pusulabet, pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu

casibom

interbahis

casinofast giris

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Jojobet

Jojobet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

grandpashabet

jojobet

holiganbet

jojobet

betsat sınırsız giriş

betsat giriş 2027

jojobet

tambet

ultrabet

jojobet

piabellacasino

setrabet

pulibet

jojobet

timebet

jojobet

kulisbet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

mavibet giriş

megabahis giriş

megabahis

mavibet

piabellacasino

holiganbet giriş

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

holiganbet

mavibet giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet

jojobet giriş

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

betpark

dinamobet giriş

casibom

casibom

jojobet

casibom

casibom

grandpashabet

grandpashabet

jojobet

jojobet

jojobet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

imajbet

royalbet

perabet

betface

betface

piabellacasino giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casinoroyal giriş

perabet

holiganbet

maxwin

vdcasino

Featured Kitaifa

SUALA LA KUPUNGUZA VIFO VYA WAJAWAZITO NA WATOTO SIO JUKUMU LA WIZARA YA AFYA PEKEE.

Written by Alex Sonna

Balozi Batilda Burian Mkuu wa Mkoa wa Tabora akizungumza na wataalam wa Afya kanda ya Magharibi katika ufunguzi wa kikao hicho cha kujadili mikakati ya kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na watoto wachanga kwa mikoa ya Tabora,Katavi,na Kigoma.

IMG_0058.JPG

Afisa Programu  Wizara ya Afya,Idara ya Afya ya Uzazi ,Mama na Mtoto  Jackline Ndanshau akizungumza na wataalam wa Afya kanda ya Magharibi katika ufunguzi wa kikao hicho cha kujadili mikakati ya kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na watoto wachanga kwa mikoa ya Tabora,Katavi,na Kigoma

IMG_0076.JPG

Mganga Mkuu Mkoa wa Kigoma Dkt.Jesca Lebba akizungumza na wataalam wa Afya kanda ya Magharibi katika ufunguzi wa kikao hicho cha kujadili mikakati ya kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na watoto wachanga kwa mikoa ya Tabora,Katavi,na Kigoma.

IMG_0183.JPG

Mkunga Mbobezi  kutoka Idara ya Huduma za Uuguzi na Ukunga ,Wizara ya Afya Aziza Machenje akichangia mada namna ya kufanya mikakati ya kupunguza vifo vitokanavyo na Uzazi na Watoto wachanga.

IMG_0145.JPG

Mganga Mkuu Mkoa wa Tabora  na Mwenyekiti wa Huduma ya Afya ya Uzazi na Mtoto Kanda ya Magharibi Dkt.Honoratha Rutatinisibwa akichangia mada katika kupunguza vifo vitokanavyo na Uzazi na Watoto wachanga.

IMG_0061.JPG

Katibu tawala Mkoa wa Tabora Dkt.John Mboya akishiriki katika kikao hicho cha kujadili mikakati ya kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na watoto wachanga kwa mikoa ya Tabora,Katavi,na Kigoma.

IMG_0118.JPG

Afisa Programu ya Saratani ya Uzazi ,Wizara ya Afya,Joachim Masunga akiwasilisha mada katika kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na watoto wachanga.

IMG_0120.JPG

IMG_0124.JPG

IMG_0053.JPG

Sehemi ya washiriki wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Tabora Balozi Batilda Burian wakati  akizungumza na wataalam wa Afya kanda ya Magharibi katika ufunguzi wa kikao hicho cha kujadili mikakati ya kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na watoto wachanga kwa mikoa ya Tabora,Katavi,na Kigoma.

IMG_0091.JPG

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Balozi Batilda Burian akiwa katika picha ya pamoja na  wataalam wa Afya kanda ya Magharibi katika ufunguzi wa kikao hicho cha kujadili mikakati ya kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na watoto wachanga kwa mikoa ya Tabora,Katavi,na Kigoma.

…………………………………..

Na.Faustine Gimu,Elimu ya Afya kwa Umma,Tabora

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Balozi  Dkt.Batilda  Burian amesema suala la kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na watoto wachanga sio jukumu la wizara ya Afya pekee hivyo ni muhimu kila sekta kuweka mikakati ya pamoja.

Balozi Burian  amebainisha hayo mkoani Tabora katika ufunguzi wa kikao cha watalaam wa Afya Kanda ya Magharibi inayounda mikoa Tabora ,Katavi na Kigoma cha kujadili mikakati ya kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na watoto wachanga katika kanda hiyo.

“Maelekezo ya Wizara ya Afya ni kuhakikisha kila halmashauri inaweka mikakati ya kupunguza vifo vya akina mama wajawazito na watoto wachanga hivyo suala hili ni mtambuka sio tu la Wizara ya Afya ni la sekta zote ,sisi viongozi ni kuhakikisha kuwa tunasimamia masuala haya ya Afya ya msingi na afya ya uzazi na watoto ili vifo hivi vipungue ,sababu zinazochangia vifo ni kutokana na kupoteza damu nyingi kabla ya kujifungua na baada ya kujifungua ,sasa tunafanyaje watu wa kilimo wanafanyaje,katika bustani zao wanakuwa na mbogamboga ,rozela inayosaidia kuongeza damu”amesema.

Katika hatua nyingine Mkuu huyo wa Mkoa ameagiza vituo vyote vya kutolea huduma katika mkoan wa Tabora vyenye TV  kuweka jumbe zenye maudhui ya Afya ili mwananchi anaposubiri kupatiwa huduma anapata ujumbe sahihi wa Afya  badala ya kusikiliza muziki .

Kuhusu takwimu za vifo vitokanavyo na uzazi katika Kanda ya Magharibi yenye mikoa ya Tabora, Kigoma na Katavi kwa miaka mitatu mfululizo Balozi Dkt.Burian amesema  Mwaka 2019 akina mama wajawazito 210 walipoteza maisha; ambapo, Kigoma vilikuwa vifo 100, Tabora 62 na Katavi 48.

Mwaka 2020 akina mama 235 walipoteza Maisha; ambapo Kigoma vilikuwa vifo 119, Tabora 58 na Katavi 58, na Mwaka 2021 akina mama 174 walipoteza Maisha; ambapo Kigoma vilikuwa vifo 75, Tabora vifo 58 na Katavi vifo 41.

Ametaja sababu kubwa zilizosababisha vifo vya  wajawazito ni pamoja na Kutokwa damu nyingi baada ya kujifungua,Kifafa cha mimba, Kupasuka mfuko wa Uzazi,Kutokwa na damu nyingi kabla ya kujifungua, Upungufu mkubwa wa damu,Uambukizo wakati na baada ya kujifungua huku hali ya vifo  Mwaka 2020 vitokanavyo na uzazi  kitaifa vilikuwa 1,640 na Mwaka 2021 vilikuwa 1,588.

 

Takwimu za vifo vya watoto wachanga kuanzia siku 0-28 katika Kanda ya Magharibi kwa mwaka 2021  ni watoto wachanga 2,539 walipoteza maisha; ambapo Kigoma vilikuwa ni vifo 1,026, Tabora vifo 954, na Katavi vifo 559  kushindwa kupumua, watoto kuzaliwa  njiti,uambukizi kwa watoto wachanga,na kuzaliwa na uzito pungufu.

Katika kiwango cha mimba za utotoni kanda ya Magharibi Balozi.Dkt.Burian amesema Mkoa wa Katavi ni 25.2%, Tabora 17% na Kigoma 11.9% na hudhurio la kwanza la wajawazito chini ya wiki kumi na mbili kwa mkoa wa Tabora ni 34.4%, Katavi 41% na Kigoma 54.9% na kiwango cha utumiaji wa njia za kisasa za uzazi wa mpango kwa mkoa wa Katavi ni 41%,Kigoma 46.4%,na Tabora ni 60.1%

Hivyo,Mkuu huyo wa Mkoa ametoa maagizo ya Kuongeza uwajibikaji katika usimamizi na utekelezaji wa mipango mikakati itakayoandaliwa ili kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na watoto wachanga, kudhibiti mimba na ndoa za utotoni, elimu ya Afya itolewe kwenye jamii kupitia njia mbalimbali za mikusanyiko ya watu, mashuleni, makanisani na misikitini, vyombo vya habari  na wanaowapa mimba watoto wa shule sheria ichukue mkondo wake ili kudhibiti vitendo  hivyo.

Maagizo mengine ni Mikoa ihakikishe Halmashauri zinakusanya damu ili vituo vya kutolea huduma za Afya hasa Hospitali na Vituo vya Afya viweze kuwa na damu ya kutosha kwa ajili ya kuokoa  maisha ya wajawazito na watoto chini miaka mitano na wagonjwa wengine.

Afisa Programu  Wizara ya Afya,Idara ya Afya ya Uzazi ,Mama na Mtoto  Jackline Ndanshau amesema lengo la kikao hicho kilichoandaliwa na Wizara ya Afya ni kujadili mikakati ya kupunguza vifo vya uzazi na watoto wachanga na kupokea taarifa ya mwaka mzima .

Mganga Mkuu Mkoa wa Kigoma Dkt.Jesca Lebba amehimiza umuhimu wa ushirikishwaji katika ngazi mbalimbali za uongozi kujadili kupunguza vifo vya mama na mtoto.

About the author

Alex Sonna