marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

holiganbet

grandpashabet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

padişahbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

palacebet

marsbahis

royalbet

artemisbet

kavbet

parmabet

mislibet

imajbet giriş

artemisbet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

markajbet güncel giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

holiganbet

kingroyal giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

casinomilyon

taksimbet

jojobet güncel giriş

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

Grandpashabet Güncel Adres

vdcasino

betvole

İkimisli

Featured Kitaifa

WAZIRI CHANA APIGA MARUFUKU UINGIZAJI MIFUGO HIFADHI ZA MISITU NCHINI

Written by Alex Sonna

WAZIRI wa Maliasili na Utalii Balozi Dk. Pindi Chana,akizungumza wakati wa zoezi la kupanda miti Katika Eneo la Swaswa Bwawani kata ya Ipagala  jijini Dodoma leo Januari 11, 2023 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59, ya Mapinduzi ya Zanzibar Januari 12, mwaka huu .

WAZIRI wa Maliasili na Utalii Balozi Dk. Pindi Chana,akipata maelezo ya mchoro kutoka kwa Mkurugenzi wa jiji la Dodoma Bw.Joseph Mafuru kabla ya kuanza kupanda miti katika kata ya Ipagala  jijini Dodoma leo Januari 11, 2023 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59, ya Mapinduzi ya Zanzibar Januari 12, mwaka huu.

WAZIRI wa Maliasili na Utalii Balozi Dk. Pindi Chana,akisalimiana na wanafunzi pamoja na wananchi  kabla ya kuanza kupanda miti katika Eneo la Swaswa Bwawani kata ya Ipagala  jijini Dodoma leo Januari 11, 2023 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59, ya Mapinduzi ya Zanzibar Januari 12, mwaka huu.

WAZIRI wa Maliasili na Utalii Balozi Dk. Pindi Chana, akipanda miti Katika Eneo la Swaswa Bwawani kata ya Ipagala  jijini Dodoma leo Januari 11, 2023 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59, ya Mapinduzi ya Zanzibar Januari 12, mwaka huu .

WAZIRI wa Maliasili na Utalii Balozi Dk. Pindi Chana,akiwasaidia Wanafunzi kuweka udongo wakati wakipanda  miti Katika Eneo la Swaswa Bwawani kata ya Ipagala  jijini Dodoma leo Januari 11, 2023 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59, ya Mapinduzi ya Zanzibar Januari 12, mwaka huu .

Naibu Katibu mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Abdallah Mitawi, akipanda miti Katika Eneo la Swaswa Bwawani kata ya Ipagala  jijini Dodoma leo Januari 11, 2023 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59, ya Mapinduzi ya Zanzibar Januari 12, mwaka huu .

Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Fatma Mganga,akipanda miti Katika Eneo la Swaswa Bwawani kata ya Ipagala  jijini Dodoma leo Januari 11, 2023 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59, ya Mapinduzi ya Zanzibar Januari 12, mwaka huu .

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mhe. Jabir Shekimweri,akipanda miti Katika Eneo la Swaswa Bwawani kata ya Ipagala  jijini Dodoma leo Januari 11, 2023 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59, ya Mapinduzi ya Zanzibar Januari 12, mwaka huu .

Diwani wa kata ya Ipagala  Mhe.Dotto Gombo,akipanda miti Katika Eneo la Swaswa Bwawani kata ya Ipagala  jijini Dodoma leo Januari 11, 2023 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59, ya Mapinduzi ya Zanzibar Januari 12, mwaka huu .

Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji safi na usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) Mhandisi Aron Joseph,akipanda miti Katika Eneo la Swaswa Bwawani kata ya Ipagala  jijini Dodoma leo Januari 11, 2023 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59, ya Mapinduzi ya Zanzibar Januari 12, mwaka huu .

Mkurugenzi wa Idara ya Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Andrew Komba, akipanda miti Katika Eneo la Swaswa Bwawani kata ya Ipagala  jijini Dodoma leo Januari 11, 2023 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59, ya Mapinduzi ya Zanzibar Januari 12, mwaka huu .

Mkurugenzi wa jiji la Dodoma Joseph Mafuru,akipanda miti Katika Eneo la Swaswa Bwawani kata ya Ipagala  jijini Dodoma leo Januari 11, 2023 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59, ya Mapinduzi ya Zanzibar Januari 12, mwaka huu .

WAZIRI wa Maliasili na Utalii Balozi Dk. Pindi Chana,akizungumza wakati wa zoezi la kupanda miti Katika Eneo la Swaswa Bwawani kata ya Ipagala  jijini Dodoma leo Januari 11, 2023 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59, ya Mapinduzi ya Zanzibar Januari 12, mwaka huu .

Naibu Katibu mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Abdallah Mitawi, akizungumza wakati wa zoezi la kupanda miti Katika Eneo la Swaswa Bwawani kata ya Ipagala  jijini Dodoma leo Januari 11, 2023 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59, ya Mapinduzi ya Zanzibar Januari 12, mwaka huu .

Diwani wa kata ya Ipagala  Mhe.Dotto Gombo,akizungumza wakati wa zoezi la kupanda miti Katika Eneo la Swaswa Bwawani kata ya Ipagala  jijini Dodoma leo Januari 11, 2023 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59, ya Mapinduzi ya Zanzibar Januari 12, mwaka huu.

…………………….

Na Alex Sonna-DODOMA

WAZIRI wa Maliasili na Utalii Balozi Dk.Pindi Chana,amepiga marufuku uingizaji wa mifugo kwenye hifadhi za misitu na maeneo mbalimbali yaliyopandwa miti ili kuepuka uharibifu wa mazingira nchini.

Marufuku hiyo imetolewa leo Januari 11,2023 wakati wa  zoezi la upandaji miti katika eneo la Swaswa Kata ya Ipagala jijini Dodoma ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar yatakayofanyika Januari 12, mwaka huu.

Dkt.Chana amesema kuwa, uharibifu wa mazingira unasababishwa na wananchi kuingiza mifugo yao katika hifadhi za Misitu.

“Tuanatakiwa kuilinda na kuitunza misitu kwa sheria zetu ni marufuku mtu yeyote kuingiza mifugo katika misitu hii tuliyonayo ili tuilinde itupatie mvua na kuondokana na athari za mabadiliko tabianchi”amesema Dkt.Chana

Amesema kuwa  kama watu watandelea kuharibu mazingira ukame utaendelea kuisumbua nchi na kushindwa kufikia malengo yake ambayo imejiwekea katika miradi mbalimbali.

“Hata bwawa la kufua umeme la mto rufiji kupitia mradi wa Mwalimu Nyerere tutashinda kulijaza maji kama ambavyo tumejiwekea kwakuwa hatutakuwa na mvua za kutosha za kujaza maji katika mradi huu”ameeleza

 Aidha amepiga marufuku tabia ya wakulima nchini kuandaa mashamba kwa kuchoma moto badala yake watumie njia mbadala ili kuendelea kutunza hifadhi Misitu.

“Uchomaji moto misitu siyo jambo sahihi wananchi tunapaswa kutafuta namana nyingine ya kuandaa mashamba siyo kuchoma moto kwakuwa tunaathiri sana misitu yetu ambayo inantupatia mvua na kuondokana na ukame ambao umekuwa ukitutesa katika sekta ya maji na umeme”amesema

Kwa upande wake Naibu Katibu mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Abdallah Mitawi,a mesema kuwa katika madhimisho ya Mapinduzi  Matukufu ya Zanzibar wanatarajia kupata miti 5,300 kwa muda wa siku tatu zilizopangwa.

Naye Diwani wa Kata ya Ipagala, Gombo Dotto amesema kuwa Mtu atakayeingiza mifugo yake katika eneo ilipopandwa miti  asahau kupata mifugo yake  kwani itakamatwa na sheria itafuata mkondo wake .

About the author

Alex Sonna