marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

holiganbet

grandpashabet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

padişahbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

palacebet

marsbahis

royalbet

artemisbet

kavbet

parmabet

mislibet

imajbet giriş

artemisbet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

markajbet güncel giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

holiganbet

kingroyal giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

casinomilyon

taksimbet

jojobet güncel giriş

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

Grandpashabet Güncel Adres

vdcasino

betvole

İkimisli

Featured Kitaifa

WAZIRI DKT. NCHEMBA AMUAHIDI USHIRIKIANO KATIBU MKUU MPYA WIZARA YA FEDHA

Written by Alex Sonna

Katibu Mkuu mpya wa Wizara ya Fedha na Mipango na Mlipaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Natu El-Maamry Mwamba akipokelewa na Mtumishi wa wizara hiyo, Bi. Janeth Mwamwanga, wizarani hapo jijini Dodoma baada ya kuteuliwa na kuapishwa na Raisi wa Jaamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk Samia Suluhu Hassan, wanaoshuhudia ni Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba na Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Bi. Jenifa Omolo.

Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba akimtambulisha Katibu Mkuu mpya wa wizara hiyo na Mlipaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Natu El-Maamry Mwamba kwa Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Bi. Jenifa Omolo, wakati wa kumkaribisha Katibu Mkuu huyo katika ofisi za wizara jijini Dodoma.

Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba akizungumza na watumishi wa wizara hiyo wakati wa kumkaribisha Katibu Mkuu mpya na Mlipaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Natu El-Maamry Mwamba, jijini Dodoma.

Katibu Mkuu mpya wa Wizara ya Fedha na Mipango na Mlipaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Natu El-Maamry Mwamba akizungumza na watumishi wa wizara hiyo  baada ya kukaribishwa katika ofisi za wizara hiyo jijini Dodoma.

Meza kuu ikiongozwa na Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba na Katibu Mkuu mpya wa wizara hiyo na Mlipaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Natu El-Maamry Mwamba wakiwa kwenye picha ya pamoja na manaibu Katibu Mkuu na wakuu wa idara na vitengo vya wizara hiyo mara baada ya mapokezi ya Katibu Mkuu huyo, jijini Dodoma.

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Wizara ya Fedha na Mipango, Dodoma)

***********************

Farida Ramadhani na Haika Mamuya, Dodoma

Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba amemhakikishia Katibu Mkuu mpya na Mlipaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Natu El -Maamry Mwamba kwamba Wafanyakazi wa Wizara hiyo watampa ushirikiano wa karibu ili aweze kutekeleza majukumu yake ya kusimamia uchumi wa nchi kwa mafanikio.

Dkt. Nchemba alitoa kauli hiyo wakati wa kikao cha kumkaribisha Dkt. Mwamba katika ofisi za Wizara hiyo jijini Dodoma baada ya kuapishwa na Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ikulu, Chamwino, Dodoma.

“Karibu sana!, uko na timu nzuri, nikuhakikishie kuwa watumishi wote wanafanya kazi kitaalamu na hii ni ishara kwamba ni wabobezi katika majukumu wanayofanya” alifafanua Dkt. Nchemba.

Naye Katibu Mkuu mpya wa wizara hiyo na Mlipaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Natu El -Maamry Mwamba, aliushukuru uongozi wa Wizara na watumishi kwa kumkaribisha.

Aidha, alisema kuwa teknolojia inabadilika kila wakati hivyo aliwashauri watumishi kujenga tabia ya kujiongezea uwezo wa mambo mbalimbali katika kazi zao ili kuongeza ufanisi na kwenda na wakati.

“Sio kwa mantiki ya kusoma shahada ya uzamili au shahada ya uzamivu, ila kuna zile stadi na vitu kwa kuwa dunia inabadilika kila wakati na kwenda na wakati ni vizuri zaidi” alibainisha Dkt. Mwamba.

Kwa upande wao Manaibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Bi. Jenifa Omolo na Bw. Lawrence Mafuru, walisema watampa ushirikiano kwa kushirikiana na wataalam mbalimbali ili kuhakikisha majukumu muhimu ya wizara yanafanyika kwa ufanisi na weledi.

Nao Mhasibu Mkuu wa Serikali, Bw. Leonard Mkude na Mkaguzi wa Ndani Mkuu wa Serikali, Bw. Athuman Mbutuka walisema kuwa wanaimani na uzoefu na uwezo mkubwa wa kiutendaji aliona nao Katibu Mkuu Mpya wa Wizara hiyo, Dkt. Natu El-Maamry Mwamba na kwamba ataisaidia nchi kusimamia sera za uchumi ipasavyo.

Dkt. Natu Mwamba, anachukua nafasi iliyoachwa na aliyekuwa Katibu Mkuu na Mlipaji Mkuu wa Serikali, Bw. Emmanuel Tutuba, ambaye ameteuliwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania.

About the author

Alex Sonna