Featured Kitaifa

RAIS DK.MWINYI ATETA NA UONGOZI BARAZA LA HABARI TANZANIA (MCT) IKULU ZANZIBAR

Written by mzalendoeditor

 

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Uongozi wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) ukiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya (MCT) Ndg. Yussuf Khamis Yussuf (kulia kwa Rais) na Katibu Mtendaji wa (MCT) Ndg.Kajubi Mukajanga, walipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) Ndg. Kajubi Mukajanga akisoma Waraka wa Bodi ya Baraza la Habari Tanzania.(MCT) wakati wa mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 22-12-2022, walipofika Ikulu kwa mazungumzo na kujitambulisha.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa Waraka wa Bodi ya Baraza la Habari Tanzania (MCT) na Katibu Mtendaji wa (MCT) Kajubi Mukajanga, wakati wa mazungumzo yake na Uongozi wa Baraza la Habari Tanzania yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar 

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Uongozi wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) ukiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya (MCT) Ndg.Yussuf Khamis Yuusuf (kulia kwa Rais) na Katibu Mtendaji wa (MCT) Ndg. Kajubi Mukajanga, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mkuu wa Ofisi ya Baraza la Habari Tanzania (MCT) kwa upande wa Zanzibar Bi.Shifaa Hassan, akitowa maelezo ya Machapisho ya Vitabu mbalimbali vinavyotolewa na (MCT) kabla ya kukabidhiwa, baada ya kumalizika kwa mazungumzo yake na Uongozi wa (MCT) walipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo 22-12-2022 kwa ajili ya mazungumzo na kujitambulisha.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa kitabu cha  “A History of Zanzibar Media” na Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Baraza la Habari Tanzania (MCT) Ndg.Yussuf Khamis Yussuf, baada ya kumaliza mazungumzo yake na Uongozi wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa kitabu cha “Mwongozo wa Vyombo vya Habari wa Kuandika Habari za Watoto” na Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Baraza la Habari Tanzania (MCT) Ndg.Yussuf Khamis Yussuf, baada ya kumaliza mazungumzo yake na Uongozi wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar 

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa kitabu cha “State of The Media in Tanzania”, na Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Baraza la Habari Tanzania (MCT) Ndg.Yussuf Khamis Yussuf, baada ya kumaliza mazungumzo yake na Uongozi wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa kitabu cha “ Training Manual on Gender and the Media”, na Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Baraza la Habari Tanzania (MCT) Ndg.Yussuf Khamis Yussuf, baada ya kumaliza mazungumzo yake na Uongozi wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Bi. Edda Sanga akitowa neno la shukrani kwa niaba ya Uongozi wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) baada ya kumalizika kwa mazungumzo yake na Uongozi wa (MCT) yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar 

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Uongozi wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) baada ya kumaliza mazungumzo yake na Uongozi huo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 22-12-2022.(Picha na Ikulu)

About the author

mzalendoeditor