Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

Hacklink panel

betturkey

nerobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

nakitbahis giriş

marsbahis

marsbahis

kendin tasarla mousepad

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

pusulabet

betlivo

betra

piabellacasino giriş

marsbahis

slot siteleri

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

grandpashabet giriş

betpark

betpark

vdcasino

jojobet

Jojobet

tipobet

Redwin

deneme bonusu

bahis siteleri

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

jojobet

tubidy

nakitbahis

Girne Escort

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Jojobet

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

casibom

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

jojobet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

grandpashabet

Hacking Forum

modabet

vdcasino giriş

casibom

lunabet

Featured Kitaifa

ZALISHENI VIFARANGA VYA KUKU KWA KUZINGATIA UBORA NA MAHITAJI YALIYOPO – NZUNDA  

Written by Alex Sonna

 

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo), Bw. Tixon Nzunda akifungua kikao cha Wadau wa Tasnia ya Kuku kilichojadili hali ya upatikanaji na bei ya vifaranga na vyakula vya kuku pamoja na kushuka kwa soko na bei ya kuku wa nyama hapa nchini ambapo amewasihi kuongeza uzalishaji wa vifaranga kwa kuzingatia ubora. Kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Uzalishaji na Maendeleo ya Masoko, Bw. Stephen Michael na kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Huduma za Mifugo, Prof. Hezron Nonga. Kikao hicho cha wadau kilifanyika  Jijini Dodoma.

Mkurugenzi wa Idara ya Huduma za Mifugo, Prof. Hezron Nonga akielezea hali halisi ya tasnia ya kuku wakati wa kikao kilichojadili hali ya upatikanaji na bei ya vifaranga na vyakula vya kuku pamoja na kushuka kwa soko na bei ya kuku wa nyama hapa nchini. Kikao hicho cha wadau kilifanyika  Jijini Dodoma.

Mkurugenzi wa Idara ya Uzalishaji na Maendeleo ya Masoko, Bw. Stephen Michael akifafanua jambo wakati wa kikao kilichojadili hali ya upatikanaji na bei ya vifaranga na vyakula vya kuku pamoja na kushuka kwa soko na bei ya kuku wa nyama hapa nchini. Kikao hicho cha wadau kilifanyika Jijini Dodoma.

Baadhi ya Wadau wa Tasnia ya Kuku na Viongozi na Wataalam kutoka Sekta ya Mifugo wakifuatilia mada kuhusu hali ya Tasnia ya kuku ilipokuwa ikiwasilishwa wakati wa kikao kilichojadili hali ya upatikanaji na bei ya vifaranga na vyakula vya kuku pamoja na kushuka kwa soko na bei ya kuku wa nyama hapa nchini kilichofanyika Jijini Dodoma.

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo), Bw. Tixon Nzunda akiwa kwenye picha ya pamoja na Wadau wa Tasnia ya Kuku mara baada kufungua kikao kilichojadili hali ya upatikanaji na bei ya vifaranga na vyakula vya kuku pamoja na kushuka kwa soko na bei ya kuku wa nyama hapa nchini. Kikao hicho cha wadau kilifanyika  Jijini Dodoma.

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo), Bw. Tixon Nzunda akiwa kwenye picha ya pamoja na Viongozi na Wataalam kutoka Sekta ya Mifugo mara baada kufungua kikao kilichojadili hali ya upatikanaji na bei ya vifaranga na vyakula vya kuku pamoja na kushuka kwa soko na bei ya kuku wa nyama hapa nchini. Kikao hicho cha wadau kimefanyika Jijini Dodoma.

………………………….

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayesimamia Sekta ya Mifugo amewataka wazalishaji wa vifaranga vya kuku hapa nchini kuzalishaji vifaranga hivyo kwa kuzingatia ubora wa kitaifa na kimataifa na mahitaji yaliyopo.

 

Nzunda ameyasema hayo wakati akifungua kikao cha Wadau wa Tasnia ya Kuku kilichofanyika Jijini Dodoma, kikao ambacho kilijadili hali ya upatikanaji na bei ya vifaranga na vyakula vya kuku pamoja na kushuka kwa soko na bei ya kuku wa nyama hapa nchini.

 

Wazalishaji wa vifaranga vya kuku wametakiwa kujipanga vizuri ili kuhakikisha wanazalisha vifaranga vya kutosha ili kukidhi mahitaji ya soko la ndani ya nchi na kuanza kuangalia uwezekano wa kuuza vifaranga wanavyozalisha kwenye masoko ya nje ya nchi.

 

“Anzeni sasa kuzalisha vifaranga vya kuku kuliangalia na mahitaji ya soko la ndani na nje ya nchi, na ili muweze kulifanya hilo ni lazima mhakikishe vifaranga mnavyozalisha vina kuwa na ubora wa Kitaifa na kimataifa,” alisema

 

Katika kikao hicho majadiliano ya kina yalifanyika kuhusu wajibu wa wazalishaji wa vifaranga, serikali na wadau kwenye mnyororo wa thamani katika kuzingatia ubora, viwango na katika kuhakikisha kunakuwepo na uzalishaji wenye tija.

 

Pia kikao hicho kilijadili namna ya kupunguza gharama za uzalishaji wa kuku hasa wa nyama kama msingi mmoja wapo wa kuwawezesha wafugaji wadogo na walaji kumudu gharama. Vilevile wadau wamejadili kuhusu gharama kubwa za utengenezaji wa chakula cha kuku ili kuona ni namna ya kuweza kuzipunguza na hivyo kumsaidia mfugaji kupunguza gharama za ufugaji.

 

Nzunda alisema kuwa Wizara inaendesha vikao hivyo kwa kuwashirikisha wadau kwa ajili ya kutatua changamoto zinazoikabili tasnia ya kuku na kwa kufanya hivyo Wizara inatekeleza mpango wa mabadiliko wa Sekta ya Mifugo wenye lengo la kutatua changamoto zilizopo kwenye sekta, kuongeza uzalishaji na kuongeza mchango wa sekta ya mifugo kwenye pato la taifa.

 

Aidha, Nzunda amewasisitiza wazalishaji hao kupitia kampuni zao kuwa na mpango mkakati wa mawasiliano wa kampuni ambao utawasaidia katika kuwasiliana na wadau wao kwa kutoa taarifa sahihi kwa wakati. Vilevile kampuni hizo zimeshauriwa kuwa na mkataba wa huduma kwa mteja katika kuhakikisha huduma zinatolewa kwa wakati.

 

Naye Mkurugenzi wa Idara ya Huduma za Mifugo, Prof. Hezron Nonga amesema kuwa katika kukabiliana na tatizo la soko wadau wameshauri kuwepo na minada na machinjio ya kuku ambayo itasaidia katika eneo la soko kwa kuwa kuku watauzwa mnadani lakini pia watachinjwa katika machinjio bora, hivyo kutakuwa na usalama wa nyama na kuku wataweza kuhifadhiwa vizuri.

 

Pia Prof. Nonga amewahamasisha wananchi kutumia nyama ya kuku kwa wingi kwa kuwa ni nyama salama kiafya na kwa kuwa kuku ambao wanafugwa hapa nchini hawana tatizo lolote kutokana na ubora wa chakula wanachotumia. Aidha, amewahakikishia wadau hao kuwa serikali inaendelea kudhibiti uingizwaji wa kuku hapa nchini usiofuata taratibu na kudhibiti magonjwa.

 

Tariq Machibya ambaye ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Mr. Kuku Farmers amesema kuwa wafugaji wa kuku wanatakiwa kupatiwa elimu juu ya namna kifaranga anavyopatikana na utaratibu wa upataji wa vifaranga.  Hii itawasaidia wafugaji kwa kutoa oda kwa wakati na wazalishaji kuzalisha vifaranga kwa wakati na hivyo kuondoa malalamiko yanayotolewa kutokana na kukosekana kwa vifaranga. Hivyo ameshauri njia mbalimbali za utoaji elimu zitumike na wazalishaji wa vifaranga pamoja na serikali ikiwemo ya matumizi ya mitandao ya kijamii.

 

Pia amewashauri wazalishaji wengine kuanza kulima nafaka ambazo zinatumika katika kutengenezea chakula cha kuku ili kupunguza gharama. Vilevile amewasihi vijana kuona na kutumia fursa ya uwekezaji kupitia tasnia ya kuku, kwa kuwa bidhaa hiyo inatumika kila siku hivyo soko lake ni la uhakika.

 

Katibu wa Chama cha Wadau wa Kuku, Manase Mrindwa ameishukuru serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa namna ambavyo imekuwa ikishirikiana na wadau hao katika kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili. Aidha, ameiomba wizara kuendelea kuwasaidia wadau hao kupitia vyama vyao ili tasnia ya kuku iweze kuwa imara hapa nchini.

 

Kikao hicho cha Wadau wa Tasnia ya Kuku ni muendelezo wa vikao ambavyo vimekuwa vikijadili maendeleo ya tasnia hiyo kwa lengo la kutatua changamoto zinazoikabili tasnia hiyo. Katika kikao hicho wadau wameweza kutoka na maazimio zaidi ya 12 ambayo yakitekelezwa yatasaidia kupunguza au kuondoa baadhi ya changamoto zilizopo.

About the author

Alex Sonna