slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

marsbahis

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

matbet

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

pusulabet

imajbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betasus

pusulabet giriş

matbet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

holiganbet

marsbahis

artemisbet giriş

imajbet giriş

goldenbahis

goldenbahis giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

gobahis, gobahis giriş

noktabet, noktabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betorbet, betorbet giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

matbet giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

capitolbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

lunabet

artemisbet

kavbet

kavbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

cratosroyalbet

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

kavbet giriş

imajbet

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

madridbet

holiganbet giriş

jojobet

trust score weak 3

celtabet

bets10 giriş

deneme bonusu

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

deneme bonusu 2026

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

matbet, matbet giriş

matbet, matbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

meritking

royalbet

Goldenbahis

deneme bonusu veren siteler

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

holiganbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler 2026

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

deneme bonusu

sekabet

pusulabet

holiganbet

marsbahis

imajbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet güncel giriş

Featured Kitaifa

PADRI MGANGA:”MISAADA YA WAHISANI ISIWE CHANZO CHA KURUHUSU VITENDO VYA USHOGA NA USAGAJI, AWATAHADHARISHA WAKRISTO JUU YA INJILI ZA MAFANIKIO

Written by Alex Sonna

Na Ndahani Lugunya,Kongwa.

Mratibu wa Idara ya Elimu Jimbo Kuu Katoliki la Dodoma Padri Chrisant Mganga,amewaomba Viongozi wa Serikali na wa Kijamii katika Mataifa ya kiafrika,kutokukubali kuruhusu vitendo vinavyopingana na mpango wa uumbaji wa Mungu ikiwemo Ushoga na Usagaji kwa kisingizo cha haki za Binadamu.

Amesema hayo hivi karibuni wakati akizungumza kwenye Mahafali ya 7 ya Kidato cha Nne ya Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mt.Crala iliyopo Parokia ya Mt.Theresia wa Mtoto Yesu-Mlali,Dekania ya Mt Fransisko wa Asisi-Kongwa Jimbo Kuu Katoliki la Dodoma.

Padri Mganga amesema kwamba kwa bahati mbaya kwa sasa wapo baadhi ya Viongozi katika nchi za Kiafrika wamerubuniwa na kuruhusu vitendo vya ushoga na usagaji katika Matifa yao,kwa sharti la misaada wanayopokea kutoka katika mataifa hayo ambayo yamehalalisha vitendo hivyo.

“Tunawaomba Viongozi wetu wawe na hofu ya Mungu.kuna mambo ya ushoga ambayo yanaendelea mitaani na kwenye taasisi zetu tunajifanya kama hayapo hivi lakini yapo yanatumomonyoa na yanatumaliza.

Usagaji upo hatutaki kusema lakini yapo yanaendelea kwa siri na nimitandao kuna watu wanaofanya hayo kwa kigezo cha haki za binadamu wanatengeneza mitandao na watoto wetu wanaingia humo.Wakatoliki  tuwe makini katika taasisi zetu tusiwe na maskendo kama hayo.

Nawaomba kila mmoja ajitambue katika nafasi yake tuondokane na maskendo ambayo yanatuaibisha katika Taifa,Serikali,Kanisa na katika jamii kwa ujumla.kila mmoja mmoja achukue hatua ya kuangalia tunavyoenenda na tujitahidi kuwa na hofu ya Mungu,” amesema Padri Mganga.

Amesema kamwe Wakristo Wakatoliki na watu wote wenye mapenzi mema wasiyape nafasi mambo yanayoharibu utamaduni na maadili ya kiafrika,lakini kubwa zaidi mambo hayo yanapingana na mpango wa uumbaji na uadilifu wa Mwenyezi  Mungu.

“Wanatumia kivuli cha nyota za kijani na haki za binadamu kutimiza azima yao na pasipo kujua watu wetu wananaswa na mambo hayo.Kanisa Katoliki linakataa kuhusu matumizi ya vidonge na vipandikizi vya kuzuia mimba lakini watu wanachangamkia na hayo ndiyo yanawaharibu na wengine wanatetea kabisa kwamba hii ni haki yangu,” amesema. 

Hata hivyo amewaomba Wakristo na watu wote wenye mapenzi mema kuendelea kuwaombea Viongozi wa Serikali ili wasichukue kila kitu kutoka katika Mataifa ya nje kwa kisingizio cha haki za Binadamu,ambapo matokeo yake ni kuharibika kwa jamii na hapatakuwa na njia ya kutoka katika janga hilo.

“Tujitahidi kuwa na hofu ya Mungu.Viongozi wetu tuwaombee wa Serikali ili wasichukue kila kitu kutoka huko nje kwa kisingizio cha haki za binadamu halafu jamii yetu inaharibika tukabaki kila mmoja analalamika hatujui cha kufanya,” Amesema Padri Mganga.

Hata hivyo Padri Mganga ameongeza kuwa vitendo viovu vinavyotokea katika jamii ya sasa ni kwa sababu ya uzembe wa malezi na maadili.

“Yanayoendelea sasa hivi ukisikia Baba kazaa na mtoto wake wa kumzaa.Mama ameolewa na mtoto wake.mtawa amevunja ndoa ya mtu au Padri amefanya mambo ya ajabu kwa watoto ni kwa sababu ya uzembe wa malezi na maadili.

Kwahiyo lazima tuambiane ukweli na tuyafanyie kazi kamwe tusibweteke na kuendelea kufurahi na kuambiana maneno matamu haya mengine ambayo yanatumaliza tunanyamazia.naomba tuyaongelee na tuyafanyie kazi  ili jamii iweze kubadilika kuanzia kwenye familia taasisi zetu na jamii nzima ya watanzania,” amesema.

Katika hatua nyingine ametoa wito kwa Wakristo Wakatoliki kujitahidi kukwepa mafundisho ya Injili ya mafaniko  yanayohubiriwa kila kukicha.

Amesema kwa sasa kumeibuka utitiri wa Makanisa na wahubiri wa kila aina wanaojivisha vyeo na kutangazia watu Injili ya mafanikio,na kufanya kundi kubwa la watu kukimbilia mafundisho hayo jambo linakwenda kinyume na mafundisho ya Kristo Yesu.

“Kuna kitu kinaitwa Injili ya mafanikio.sasa hivi  kuna madhehebu yanaibuka kila mahali watu wanaanzisha makanisa na wanajipa na vyeo.kwa sasa hadi wasanii wa nyimbo za kidunia wengine wamekuwa na makanisa yao na tunawafahamu.watu wanatafuta namna ya kuishi.

Kwa hiyo makanisa yanatangaza Injili ya mafanikio yaani kama ni mwanafunzi unaambiwa hata usipo soma wewe siku ya mtihani utafanya vizuri na utafaulu.wapo pia wanaodanganywa kwamba kama hujaolewa na ukienda kusali kwao kuna upepo wa kisulisuli utapa mume.

Kama ulikuwa umetoa mimba kizazi kikaharibika ukienda kusali kwao au ukiwe kwenye runinga unaambiwa nakuombea shika hapo panapouma kama ni kwenye kizazi shika hapo mimi nakuombea na baada ya kuombewa hapo hapo unapona na kizazi kinarudi.tambua kwamba ukishaharibu kizazi  hakiwezi kurudi na hakuwezi kutokea muujiza hapo,” amesema Padri Mganga.

Kutokana na hilo Padri Mganga amewataka Vijana kukwepa mafundisho ya namna hiyo yanayoweza kuja kuwaletea madhara badae,huku akiwahimiza kufauta mafundisho sahihi wanayofundishwa.

“Mtalia miaka yote juu ya vidonda vya tumbo kwa sababu ya kwenda kudanganywa huko.msiende jitahidini kukwepa Injili za mafanikio.unambiwa kama hauna gari ukienda kusali unapewa.kuna vitambaa vya upako na mafuta ya upako na mkienda huko mnapewa hayo mafuta na vitambaa.tujitahidi kukwepa vile ambavyo vinatuharibu imani yetu na tujitahidi kufuata yale ambayo ni ya msingi tunayofundishwa,” amesisitiza Padri Mganga.

Amewataka Wakatoliki na Wakristo wote kwa ujumla kuchuja mafundisho sahihi yanayotolewa na wahubiri wa sasa wanaozuka kila kukicha,kwani wengi wao wapo kimaslahi na si kwa ajili ya kuongoa roho za watu,huku akikazia suala la malezi adilifu kwa vijana mintarafu mafundisho ya Kanisa.

About the author

Alex Sonna