marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sapanca escort

escort sapanca

holiganbet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

palacebet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

interbahis

klasbahis

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

kingroyal

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

superbetin

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

casibom giriş

jokerbet

jokerbet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis giriş

imajbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

porno izle

Hacklink Panel

teosbet

vdcasino

bets10 giriş

interbahis

goldenbahis

imajbet

interbahis giriş

klasbahis

interbahis giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

deneme bonusu 2026

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

ilbet

ilbet giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

marsbahis

deneme bonusu veren siteler

primebahis

alobet, alobet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

timebet

tarafbet

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

padişahbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

meritking

betoffice

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

marsbahis

matbet

sekabet giriş

imajbet

Featured Kitaifa

MRADI WA BILIONI 12 WA MAJITAKA WASAINIWA JIJINI MWANZA

Written by Alex Sonna

 

Mkataba wa upanuzi wa mfumo wa majita ukisainiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa MWAUWASA, Mhandisi Leonard Msenyele (kushoto) na Katibu Mtendaji wa LVBC, Dkt. Masinde Bwire (kulia). Wanaoshuhudia ni viongozi wa Wizara ya Maji na MWAUWASA.

Mkurugenzi Mtendaji wa MWAUWASA, Mhandisi Leonard Msenyele (kushoto) akibadilishana mkataba na Katibu Mtendaji wa LVBC, Dkt. Masinde Bwire mara baada ya kusaini.

Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Usambazaji Maji na Usafi wa Mazingira, Mhandisi Charles Mafie (kushoto) akizungumza kwa niaba ya Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Anthony Sanga wakati wa hafla ya utiaji saini mkataba wa upanuzi wa mfumo wa majitaka

Wawakilishi wa LVBC, Wizara ya Maji, Bodi na Menejimenti ya MWAUWASA mara baada ya kushuhudia utiaji saini wa mkataba wa upanuzi wa mfumo wa majitaka. 

……………………….

Na Mohamed Saif

Serikali kupitia Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) imesaini mkataba wa shilingi bilioni 12.7 na Kamisheni ya Bonde la Ziwa Victoria (‘LVBC’) kwa ajili ya upanuzi wa mfumo wa majitaka utakaonufaisha wakazi 7,360 Jijini Mwanza.

Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Usambazaji Maji na Usafi wa Mazingira, Mhandisi Charles Mafie akimuwakilisha Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Anthony Sanga kwenye hafla ya utiaji saini Novemba 23, 2022 alipongeza jitihada za LVBC kwenye utunzaji wa Ziwa Victoria.

Mhandisi Mafie alisema wananchi wanahitaji maji safi na salama na kwamba jitihada za makusudi za utunzaji wa vyanzo vya maji zisipofanyika, maji salama hayotapatikana.

“Kwa mkataba huu na program hii kwa Mwanza tunakwenda kuhakikisha kwamba Ziwa Victoria linakwenda kulindwa na sio suala la maji pekee kwani Ziwa likichafuka maana yake hata samaki hatutapata kwahiyo hapa tunazungumzia suala la lishe pia,” amesema Mhandisi Mafie.

Hata hivyo aliisisitiza LVBC kutazama namna ya kutanua program hiyo na kuifikisha kwenye miji mingine inayozunguka Ziwa Victoria ikiwemo mji wa Musoma na Bukoba ili kusiwe na uchafuzi kutoka kwenye maeneo yote yanayozunguka Ziwa.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa MWAUWASA, Mhandisi Leonard Msenyele amebainisha kuwa utanufaisha wakazi wa Kata za Igogo, Kitangiri, Kirumba, Pasiansi na Nyamanoro.

Amebainisha kuwa lengo la Serikali ni kuhakikisha maji ya Ziwa Victoria yanaendelea kuwa salama na kwamba jitihada, mikakati na hatua mbalimbali zinaendelea kuchukuliwa ikiwa ni pamoja na uwepo wa mradi huo.

“Tunaishukuru sana Serikali yetu kwa kutuletea mradi huu, sisi pia kama taasisi tutanufaika kwani kulinda uchafuzi wa Ziwa maana itasaidia kupunguza gharama ya kutibu maji kabla ya kuyapeleka kwa wananchi,” amesema Mhandisi Msenyele.

Mhandisi Msenyele ameihakikishia Serikali kuwa MWAUWASA itasimamia vyema utekelezaji wa mradi na kwamba kila kipengele kwenye mkataba kitasimamiwa kwa weledi na kwa kuzingatia miiko ya kitaaluma ili kuleta tija iliyokusudiwa.

“Serikali kupitia Wizara ya Maji, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Wizara ya Fedha na Mipango imetuamini kusimamia mradi huu, tunaahidi kutekeleza kwa uaminifu mkubwa ili manufaa yaliyokusudiwa yapatikane,” amesema Mhandisi Msenyele.

Naye Katibu Mtendaji, Kamisheni ya Bonde la Ziwa Victoria (LVBC), Dkt. Masinde Bwire amesema chimbuko la mradi unatokana na mradi wa kwanza wa Uhifadhi wa Mazingira ya Ziwa Victoria (‘LVEMP’) ambao haukuweza kutatua changamoto zote kwa wakati huo ikiwemo ya uchafuzi wa Ziwa.

“Mradi huu umeainisha changamoto zilizoshindwa kutatuliwa na mradi wa kwanza (LVEMP) kwani hadi sasa uchafuzi wa Ziwa Victoria bado ni mkubwa kutoka kwenye miji inayozunguka ikiwemo Mwanza, Kampala, Kisumu, Musoma na Bukoba,” anabainisha Dkt. Bwire.

Amesema jukumu kubwa la LVBC ni kusimamia matumizi endelevu ya Rasilimali za Maji na rasilimali zingine ndani ya ukanda wa Ziwa Victoria na kwamba ni wajibu wao kutafuta fedha kwa kushirikiana na Serikali za Jumuia sambamba na wadau wa mazingira na maendeleo.

“Kwa sasa tumefanikiwa kupata kiasi cha shilingi za Kitanzania Bilioni 12.7 kwa ajili ya mradi huu ambao unatekelezwa kupitia Mpango Jumuishi wa Usimamizi wa Rasilimali za Maji katika Bonde la Ziwa Victoria (‘LVB IWRMP’) na usimamizi wake utakuwa chini ya MWAUWASA,” amesema Dkt. Bwire

Amesema utakamilika mwishoni mwa Mwaka 2025 na kwamba jitihada za kutafuta fedha zaidi kutoka kwa wadau zinaendelea kwani uchafuzi wa Ziwa Victoria bado ni mkubwa.

“Rai yetu kwa Mamlaka za Miji inayozunguka Ziwa Victoria ni kuendelea kuhimiza usafi wa mazingira na kufanya matumizi endelevu ya Rasilimali za Maji na vyanzo vya maji,” amesisitiza Dkt. Bwire.

About the author

Alex Sonna