Featured Kitaifa

MAKAMU WA RAIS AKIWASILI UKEREWE NA KUMTEMBELEA MSEKWA

Written by mzalendoeditor

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akisafiri kwa Kivuko cha Mv Musoma kutoka  Kisorya -Bunda mkoani Mara kuelekea Nansio Ukerewe kwaajili ya Ziara ya Kikazi Wilayani hum

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akiwasili Wilayani Ukerewe mkoani Mwanza kwaajili ya Ziara ya Kikazi Wilayani humo

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akiwasili nyumbani kwa Spika wa Bunge Mstaafu Mheshimiwa Pius Msekwa Wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza kwa lengo la kumjulia hali

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akiwa katika Picha ya pamoja na Spika wa Bunge Mstaafu Mheshimiwa Pius Msekwa na mkewe Mama Anna Abdallah alipowatembelea nyumbani kwao Ukerewe mkoani Mwanza kwa lengo la kuwajulia hali leo tarehe 25 Novemba 2022.

About the author

mzalendoeditor