Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

rekabet

matbet

maxwin, maxwin giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

cratosroyalbet

redwin

holiganbet

casinofast giris

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Jojobet

Jojobet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

lisanslı casino siteleri

jojobet

holiganbet

jojobet

betpark

maxwin

jojobet

marsbahis

ultrabet giriş

lunabet

jojobet

setrabet

jojobet güncel

holiganbet giriş

timebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

piabellacasino

ultrabet

piabellacasino

piabellacasino

kulisbet

betlike

artemisbet

piabellacasino

jojobet giriş

mavibet

mavibet giriş

artemisbet

hdabla

doeda

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

pusulabet

jojobet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

meritking giriş

pusulabet, pusulabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

maxwin giriş

matbet

dinamobet giriş

casibom

casibom

betkolik

goldenbahis

casibom

goldenbahis

casibom

kalebet

berlinbet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

luxbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

jojobet

royalbet

jojobet

betface

betface

pashagaming

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

avrupabet giriş

betsat

betpark giriş

vdcasino

jojobet

casibom

betsat

Gorabet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

Featured Kitaifa

MTATURU ANUSA HARUFU YA UPIGAJI NTUNTU

Written by Alex Sonna

MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu ameonyesha kutoridhishwa na mwenendo wa ujenzi wa kituo cha afya cha Ntuntu kilichopo wilaya ya Ikungi Mkoani Singida ambacho hakijakamilika huku fedha zilizopelekwa zikiwa zimeisha.

Kutokana na hilo ametoa maombi matatu kwa serikali ikiwemo kwa Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI),Angellah Kairuki kufika kutupia jicho kituo hicho.

Aidha,amemuomba Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi kumtoa msimamizi wa mradi huo kutokana na kushindwa kutekeleza kazi aliyokabidhiwa.

Akizungumza Novemba 21,2022,baada ya kukagua kituo hicho ambacho kwa sasa ujenzi wake umesimama,Mtaturu ameishauri Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU),kufika ili kuchunguza mwenendo mzima wa ujenzi ulivyokuwa.

Mtaturu alisema April mwaka huu serikali ilipeleka Sh Milioni 250 kwa ajili ya awamu ya pili ya ujenzi ambayo ilianza Juni mwaka huu na ilitakiwa ukamilike Octoba Mwaka huu lakini haukukamilika na kiasi cha fedha kilichopelekwa kiliisha.

“Huyu msimamizi wa mradi yeye mwenyewe anasimamia na yeye mwenyewe amejipa tenda hapa unategemea hizo fedha zisiliwe kwa kweli kwa maana ya utaratibu huyu msimamizi amekosa sifa, amempa tenda mke wake ya kusambaza vifaa,hatuwezi kukubali,hatusemi watu wasipewe tenda lakini wewe kama ni sehemu ya maslahi huwezi simamia mradi vizuri,

“Nimuombe DC,niwaombe TAKUKURU mje hapa,haiwezekani kiasi hicho hicho cha fedha kimepelekwa kituo cha Iglasoni Jimbo la Singida Magharibi kimekamilisha ujenzi ilhali kule miundombinu yake sio rafiki,barabara sio nzuri,mchanga hakuna maeneo ya jirani tofauti na eneo hili,”amesisitiza.

Amesema kilichotokea ni ubabaishaji wa kutoshirikisha kamati ya ujenzi katika mchakato mzima jambo ambalo limeleta sintofahamu kwa wananchi.

“Wananchi wenzangu nimekuja kuwahakikishia ,yoyote aliyechezea fedha za mama Samia hatabaki salama,mbunge nitasema hapa nitaenda kupiga kelele mpaka bungeni kuhakikisha thamani ya fedha inaonekana,tunataka wananchi wa Ntuntu wapate huduma kama alivyolenga Rais wetu,wananchi kuweni na amani,wanasema chelewa ufike maadam tumegundua tatizo mapema naomba niwahakikishie kilio hiki nimefikisha kwa wakubwa,”amesema.

Ameongeza,“Mimi mbunge wenu nilienda bungeni kuomba fedha kwa ajili ya kituo hiki,na namshukuru Mh Rais alisikia kilio chetu akaleta Milioni 500 hapa ili kupunguza tatizo la kutembea umbali mrefu kufuata huduma, tulijua kituo kikijengwa hapa watu wa Misughaa,Mang’onyi,Lighwa wapo jirani watakuja kupata huduma badala ya kutembea kwenda Makiungu,lakini dhamira hii imekwamishwa na watu wachache,”amebainisha.

Mtaturu amesema kama viongozi hawawezi kuruhusu watu wachache warudishe nyuma juhudi za Rais Samia,“Tunampongeza na kumshukuru Rais wetu kwa kazi kubwa anayotufanyia,kumpongeza mtu ni kumtia moyo.

About the author

Alex Sonna