marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

sapanca escort

sapanca escort

vdcasino

vdcasino

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

milanobet

grandpashabet

casibom

dizipal

1xbet giriş

1xbet

tambet

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

perabet giriş

imajbet

grandbahis giriş

imajbet

grandbahis

imajbet giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

ultrabet, ultrabet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

starzbet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

aaa

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

bets10

Milanobet

jojobet

cratosroyalbet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

alobet

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

padişahbet

holiganbet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

cratosroyalbet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

ngsbahis

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

esbet

vdcasino

bets10 giriş

perabet

efesbet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

perabet

สล็อตเว็บตรง

zirvebet

casibom giriş

jojobet

bets10

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

slot siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

sorgu paneli

galabet, galabet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

roketbet, roketbet giriş

betsat

holiganbet

betsat

betsat giriş

deneme bonusu veren siteler

tipobet giriş

casibom

kralbet

en iyi slot siteleri

casinoroyal

bets10 güncel giriş adresi

Featured Kitaifa

MAMA ONGEA NA MWANAO, STRONG WOMEN WAPIGA KAMBI TABORA KAMPENI YA SAMIA NIVISHE VIATU 2022

Written by Alex Sonna

Wanafunzi wa Shule ya Msingi Ikongolo Kata ya Ikongolo,Wilaya ya
Uyui wakifurahia viatu walivokabidhiwa na Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao na Strong Women.

……………………….


Na Mwandishi Wetu, Tabora

MKUU
wa Mkoa wa Tabora Dk.Batilda Buriani ameipokea kwa mikono miwili
Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao pamoja na Strong Women ambao wamefika
kwenye mkoa huo kwa ajili ya Kampeni ya Samia Nivishe Viatu 2022.

Lengo
kuu la Kampeni ya Samia Nivishe Viatu ni kwamba kila mtoto mwanafunzi
mwenye uhitaji anavaa kiatu cha Samia Suluhu na kampeni hiyo itafanyika
katika mikoa yote nchini kulingana na ratiba.

Akizungumza mbele
ya Mwenyekiti wa Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao Steven Mengele maarufu
Steve Nyerere pamoja na wawakilishi wa Stong Women, Dk.Batilda amesema
kinachofanywa na taasisi hiyo kinadhihirisha sanaa ni kioo cha jamii.

“Ninyi
mmeangalia kupitia kazi mnazofanya za sanaa mkajua changamoto zilizoko
kwenye jamii na mkaguswa lakini mmeenda mbali zaidi kwa kuona jinsi gani
mtamshika mkono Mama Samia ili awafikie watanzania wenye matatizo.

“Na
mngeweza kupata viatu vya mtumba lakini mkasema mtanunua viatu vipya
ili mtoto wa kijijini kabisa ajue jinsi gani Mama Samia alivyokuwa na
mapenzi na Watanzania na mkasema basi mtapeleka viatu vipya.Niseme tu
kwa jinsi ambavyo mmefanya Mwenyezi Mungu akawazidishe riziki pale
mlipotoa , akawang’arishie nyota zenu katika kazi,”amesema Dk.Buriani.

Aidha
amesema kinachofanywa na taasisi ya Mama Ongea na Mwanao pamoja na
Strong Women ni funzo kubwa na wamefika Tabora kwenye mkoa wenye uhitaji
mkubwa.

“Tunavyokwenda huko vijijini tunaona changamoto kubwa na
tunasema tuone jinsi gani tutaweza kufanya mmoja mmoja lakini ninyi
mmekuja kikundi, mkiwa na maono makubwa ya kusambaza viatu hivi Tanzania
nzima, kwa hiyo mmeacha alama na tutatafuta wadau ili kuongeza nguvu
kwenye hili mnalolifanya.

“Niseme tu tumefurahi sana,
tumefarijika sana , tunashukuru na kwa hakika Mama Samia amewavisha
watoto wa Tabora kupitia ninyi wenzetu wa Mama Ongea na Mwanao kwa
kushirikiana na Strong Women na kweli mmeongea na wenetu hapa
Tabora,”amesisitiza Dk.Buriani.

Awali Mwenyekiti wa Taasisi ya
Mama Ongea na Mwanao Steve Nyerere alimueleza Dk.Buriani wamefika kwenye
mkoa huo na watakwenda vijijini kugawa viatu kwa wanafunzi wenye
uhitaji.

“Kwasababu hatutaki kukabidhi kiatu kwa Mwalimu Mkuu
kunakuwa na changamoto kidogo, hivyo sisi wenyewe ndio tunamvisha mtoto
kiatu na anaondoka nacho.Viatu vyenyewe ni hivi hapa mfano
wake(akaonesha) tukasema tuje tukuoneshe uvione ili tuendelee na kampeni
yetu kwenye mkoa wako,
Kwa hiyo Mimi na Wenzangu baada ya kupata
ridhaa yako Mkuu wa Mkoa tutaelekea katika Kata ya Ikongolo,Wilaya ya
Uyui katika shule ya Msingi Ikongolo kuwapelekea Wanafunzi wenye uhitaji
wa viatu vya Mama samia” alisema Steve.

Wanafunzi wa Shule ya Msingi Ikongolo Kata ya Ikongolo,Wilaya ya
Uyui wakifurahia viatu walivokabidhiwa na Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao na Strong Women.

MKUU
wa Mkoa wa Tabora Dk.Batilda Buriani akizungumza wakati akiikaribisha
Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao chini ya Mwenyekiti wake Steven Mengere
almaarufu Steve Nyerere wakiwa sambamba na Strong Women ambao walifika
kwenye mkoa huo kwa ajili ya Kampeni ya kutekeleza kampeni yao ya ‘Samia
Nivishe Viatu2022’.Pichani kulia ni Mwenyekiti wa taasisi ya Mama Ongea
na Mwanao
Steven Mengere almaarufu Steve Nyerere

 MKUU
wa Mkoa wa Tabora Dk.Batilda Buriani akiwa ameambatana na
Mwenyekiti wa taasisi ya Mama Ongea na Mwanao Steven Mengere almaarufu Steve Nyerere mara baada ya kuwasili ofisi za Mkuu wa Mkoa mkoani Tabora kwa ajili ya kutekeleza kampeni yao ya ‘Samia Nivishe Viatu2022’.

About the author

Alex Sonna