Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

avrupabet

vipslot

betcool

betlivo

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

kareasbet

hazbet

betra

meritking giriş

marsbahis

meritking

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

meritking telegram

meritking giriş

betra

gobahis

casival

casival

betcool

avrupabet

celtabet

jojobet

Hacklink panel

norabahis

kingroyal

Google

holiganbet

marsbahis

luxbet

hepbet

millibahis giriş

gobahis

vipslot

betface

elitbahis giriş

betcool

primebahis

betturkey

betturkey giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

betlike

holiganbet

jojobet

betpark giriş

holiganbet

betpark

uyuşturucu satın al

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

aresbet, aresbet giriş

betewin

jojobet

vipslot

betnis

betmarino giriş

aresbet

aresbet

avrupabet giriş

betface

luxbet

betmarino

casival giriş

betlivo giriş

realbahis

gallerbahis

gallerbahis

aresbet giriş

parmabet

betnis

elitbahis

vaycasino giriş

betra giriş

celtabet giriş

parmabet giriş

vipslot giriş

hazbet giriş

elitbahis

luxbet giriş

hepbet

lordcasino

parmabet

lordcasino

kareasbet

betcool giriş

realbahis

meritking giriş

meritking

alobet, alobet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

slot siteleri

pasacasino

kingroyal

https://sjconsultors.com/

parmabet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

mariobet

madridbet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

jojobet

Meritking

holiganbet

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

betsat

jojobet giriş

marsbahis

sweet bonanza

realko

coinbar giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

goldenbahis

meritking giriş

meritking güncel giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

betlivo

millibahis

millibahis

celtabet

millibahis

parmabet giriş

mavibet giriş

coinbar

coinbar

mislibet giriş

mavibet

parmabet giriş

parmabet

bahiscasino

mavibet

mavibet giriş

coinbar giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

romabet

meritking

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

jojobet

marsbahis

betsat

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

betsat giriş

sekabet güncel giriş

grandpashabet

casibom

ultrabet

casibom

casibom

casibom

grandpashabet

casibom

grandpashabet

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

marsbahis

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

pusulabet

marsbahis

Featured Kitaifa

NAIBU WAZIRI KIRUSWA ATAKA WACHIMBAJI KUJIFUNZA NZEGA

Written by Alex Sonna

Na Asteria Muhozya – NZEGA

Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa amewataka Wachimbaji Wadogo wa Madini nchini kujifunza kutoka kwa wachimbaji wa Wilaya ya Nzega kutokana na uthubutu walioufanya kuanzisha maabara za kisasa za kupima mchanga wa madini kabla ya kuchenjuliwa ikiwemo kuanzisha viwanda vya kuchenjua dhahabu.

Dkt. Kiruswa ameyasema hayo kwa nyakati tofauti katika ziara yake Wilayani Nzega ambapo ametembelea Kiwanda cha Kati cha Kuchenjua Dhahabu cha Savanna Reef kinachomilikiwa na Mtanzania Pirbaksh Rasulbaksh na Kampuni ya Kasala Gold Mine yenye kiwanda cha kuchenjua dhahabu inayomilikiwa na Mtanzania Daudi Mwita, huku kampuni zote zikiwa zimeanzisha maabara za kupima mchanga wa madini kupata usahihi wa viwango vya dhahabu kabla ya kuchenjuliwa.

Hatua ya kuanzishwa kwa maabara hizo inafuatia malalamiko ya kuibiwa kaboni kwenye viwanda cha kuchenjua dhahabu kutoka kwa wachimbaji, hivyo ofisi ya Madini mkoani humo ikaweka utaratibu wa kuhakikisha mchanga wa dhahabu unapimwa maabara kabla ya kuchenjuliwa.

 Akizungumza katika kiwanda cha Savanna Reef, Naibu Waziri amesema tayari kiwanda hicho kimenunua mtambo wa kuchoronga miamba na kipo katika mpango wa kuanzisha mgodi wa uchimbaji madini. Kufuatia hali hiyo, amewataka wachimbaji wengine kujifunza kiwandani hapo kuhusu namna bora ya utunzaji wa mazingira, uchenjuaji wa kisasa na namna ya kuanzisha migodi.

‘’ Nimeona, alichokifanya ni kikubwa na amefika katika hatua kubwa. Kama Serikali niko hapa kuwapa moyo wanaofanya vizuri, ninawapongeza mkoa wa Tabora kwa maendeleo haya na ninapenda kuwaona wengine wakijifunza kupitia hapa,’’.

Aidha, amemtaka mwekezaji wa Savvana Reef kuwasiliana na Ofisi ya Afisa Madini Mkazi Mkoa wa Tabora kwa ajili ya kupatiwa utaratibu wa kushughulikia masuala yanayohusu  wajibu wa kampuni kwa jamii.  Pamoja na hayo, awali, mwekezaji huyo amemwomba Naibu Waziri kuifikiria kampuni hiyo kwa kuipatia eneo linalomilikiwa na Serikali kwa ajili ya kuchimba madini . Akijibu ombi hilo, Naibu Waziri amemweleza mwekezaji huyo kuwasilisha maombi kwa njia ya maandishi.

Pia, Naibu Waziri Dkt. Biteko amempongeza Daudi Mwita kwa kuanzisha maabara hiyo na kuwataka wachimbaji kuitumia kupima madini yao kabla ya kuchenjuliwa  na kutoa wito kwa mikoa jirani kuitumia maabara hiyo.

Amesema Dira ya Wizara ni kukuza uchimbaji mdogo, hivyo kutokana na uthubutu uliooneshwa na watanzania hao ni dhahiri kuwa kupitia dira hiyo itasaidia kuwakuza wachimbaji wengine.

Katika hatua nyingine, Chama Cha Wachimbaji wa Madini Mkoa wa Tabora (TABOREMA) kimeikumbusha Wizara kuhusu ombi la kuanzishwa kwa  Benki ya Madini lililotolewa  na Shirikisho la Vyama Vya Wachimbaji wa  Madini Tanzania (FEMATA) wakati wa Mkutano wa Nne (4) Kimataifa wa Uwekezaji katika Sekta ya Madini uliofanyika mwezi Februari, 2022.

Akiwasilisha taarifa kwa niaba ya Chama hicho kwa Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven, Joseph Mabondo amesema licha ya jitihada kubwa zilizofanywa na Wizara za kuwaunganisha  wachimbaji na Taasisi za Fedha, bado baadhi ya benki zinasita kutoa mikopo kwa wachimbaji wadogo hivyo uwepo wa benki hiyo utawasaidia wachimbaji kupata mikopo ambayo watarejesha kwa utaratibu.

Aidha, katika ziara hiyo, wachimbaji  wamemwomba Naibu Waziri kusaidia tatizo la ukosefu wa nishati ya umeme katika maeneo ya migodi ikiwemo miundombinu ya barabara na kueleza kuwa, ukosefu wa umeme unasababisha gharama za uendeshaji kuwa kubwa na hivyo kupelekea kupungua kwa uzalishaji.

Kwa upande wake, Afisa Madini Mkazi Mkoa wa Tabora Mayingi Makolobela licha ya kupongeza ushirikiano anaopatiwa na wadau wa madini mkoani humo, amezuia kuwepo kwa watoto wadogo katika maeneo yenye shughuli za migodi badala yake ametaka watoto hao kupatiwa haki yao ya msingi ya kuwa shuleni kipindi wazazi wanapofanya shughuli zao za madini.

Pia, amesisitiza kwa mdau yoyote anayehitaji kupata taarifa zinazohusu biashara ya madini kufika katika Ofisi hiyo kwa ajili ya kupatiwa taratibu badala ya kufanya shughuli zao kinyume na taratibu zilizowekwa.

Awali, kabla ya kuanza ziara hiyo, Naibu Waziri Dkt. Kiruswa amekutana na Mkuu wa Wilaya ya Nzega Kamishna Msaidizi wa Polisi Advera Buhimba ambapo amemweleza malengo ya ziara hiyo. Pia, Dkt.Kiruswa amekutana na wafanyabiashara wa Madini katika Soko la Madini Nzega ambapo wamewasilisha changamoto zao.

About the author

Alex Sonna