marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

pusulabet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

imajbet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

gameofbet

Marsbahis

marsbahis

perabet giriş

perabet giriş

imajbet

grandbahis giriş

imajbet

grandbahis

imajbet giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

matbet, matbet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

meritking giriş

deneme bonusu

holiganbet

holiganbet

deneme bonus veren siteler

holiganbet

deneme bonusu

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

supertotobet

supertotobet giriş

ultrabet

pusulabet

grandpashabet giriş

jojobet

casibom

marsbahis

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

vaycasino

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

kralbet

imajbet

jojobet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

zirvebet

perabet

efesbet

pokerklas

perabet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

perabet

สล็อตเว็บตรง

madridbet

casibom giriş

jojobet

deneme bonusu

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

ligobet giriş

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

milanobet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

sorgu paneli

marsbahis, marsbahis giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet

casibom

betsat

betsat giriş

deneme bonusu veren siteler

tipobet giriş

romabet

kralbet

ligobet

bets10 güncel giriş adresi

bets10

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

casibom

Featured Kitaifa

NAIBU WAZIRI KIRUSWA ATAKA WACHIMBAJI KUJIFUNZA NZEGA

Written by Alex Sonna

Na Asteria Muhozya – NZEGA

Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa amewataka Wachimbaji Wadogo wa Madini nchini kujifunza kutoka kwa wachimbaji wa Wilaya ya Nzega kutokana na uthubutu walioufanya kuanzisha maabara za kisasa za kupima mchanga wa madini kabla ya kuchenjuliwa ikiwemo kuanzisha viwanda vya kuchenjua dhahabu.

Dkt. Kiruswa ameyasema hayo kwa nyakati tofauti katika ziara yake Wilayani Nzega ambapo ametembelea Kiwanda cha Kati cha Kuchenjua Dhahabu cha Savanna Reef kinachomilikiwa na Mtanzania Pirbaksh Rasulbaksh na Kampuni ya Kasala Gold Mine yenye kiwanda cha kuchenjua dhahabu inayomilikiwa na Mtanzania Daudi Mwita, huku kampuni zote zikiwa zimeanzisha maabara za kupima mchanga wa madini kupata usahihi wa viwango vya dhahabu kabla ya kuchenjuliwa.

Hatua ya kuanzishwa kwa maabara hizo inafuatia malalamiko ya kuibiwa kaboni kwenye viwanda cha kuchenjua dhahabu kutoka kwa wachimbaji, hivyo ofisi ya Madini mkoani humo ikaweka utaratibu wa kuhakikisha mchanga wa dhahabu unapimwa maabara kabla ya kuchenjuliwa.

 Akizungumza katika kiwanda cha Savanna Reef, Naibu Waziri amesema tayari kiwanda hicho kimenunua mtambo wa kuchoronga miamba na kipo katika mpango wa kuanzisha mgodi wa uchimbaji madini. Kufuatia hali hiyo, amewataka wachimbaji wengine kujifunza kiwandani hapo kuhusu namna bora ya utunzaji wa mazingira, uchenjuaji wa kisasa na namna ya kuanzisha migodi.

‘’ Nimeona, alichokifanya ni kikubwa na amefika katika hatua kubwa. Kama Serikali niko hapa kuwapa moyo wanaofanya vizuri, ninawapongeza mkoa wa Tabora kwa maendeleo haya na ninapenda kuwaona wengine wakijifunza kupitia hapa,’’.

Aidha, amemtaka mwekezaji wa Savvana Reef kuwasiliana na Ofisi ya Afisa Madini Mkazi Mkoa wa Tabora kwa ajili ya kupatiwa utaratibu wa kushughulikia masuala yanayohusu  wajibu wa kampuni kwa jamii.  Pamoja na hayo, awali, mwekezaji huyo amemwomba Naibu Waziri kuifikiria kampuni hiyo kwa kuipatia eneo linalomilikiwa na Serikali kwa ajili ya kuchimba madini . Akijibu ombi hilo, Naibu Waziri amemweleza mwekezaji huyo kuwasilisha maombi kwa njia ya maandishi.

Pia, Naibu Waziri Dkt. Biteko amempongeza Daudi Mwita kwa kuanzisha maabara hiyo na kuwataka wachimbaji kuitumia kupima madini yao kabla ya kuchenjuliwa  na kutoa wito kwa mikoa jirani kuitumia maabara hiyo.

Amesema Dira ya Wizara ni kukuza uchimbaji mdogo, hivyo kutokana na uthubutu uliooneshwa na watanzania hao ni dhahiri kuwa kupitia dira hiyo itasaidia kuwakuza wachimbaji wengine.

Katika hatua nyingine, Chama Cha Wachimbaji wa Madini Mkoa wa Tabora (TABOREMA) kimeikumbusha Wizara kuhusu ombi la kuanzishwa kwa  Benki ya Madini lililotolewa  na Shirikisho la Vyama Vya Wachimbaji wa  Madini Tanzania (FEMATA) wakati wa Mkutano wa Nne (4) Kimataifa wa Uwekezaji katika Sekta ya Madini uliofanyika mwezi Februari, 2022.

Akiwasilisha taarifa kwa niaba ya Chama hicho kwa Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven, Joseph Mabondo amesema licha ya jitihada kubwa zilizofanywa na Wizara za kuwaunganisha  wachimbaji na Taasisi za Fedha, bado baadhi ya benki zinasita kutoa mikopo kwa wachimbaji wadogo hivyo uwepo wa benki hiyo utawasaidia wachimbaji kupata mikopo ambayo watarejesha kwa utaratibu.

Aidha, katika ziara hiyo, wachimbaji  wamemwomba Naibu Waziri kusaidia tatizo la ukosefu wa nishati ya umeme katika maeneo ya migodi ikiwemo miundombinu ya barabara na kueleza kuwa, ukosefu wa umeme unasababisha gharama za uendeshaji kuwa kubwa na hivyo kupelekea kupungua kwa uzalishaji.

Kwa upande wake, Afisa Madini Mkazi Mkoa wa Tabora Mayingi Makolobela licha ya kupongeza ushirikiano anaopatiwa na wadau wa madini mkoani humo, amezuia kuwepo kwa watoto wadogo katika maeneo yenye shughuli za migodi badala yake ametaka watoto hao kupatiwa haki yao ya msingi ya kuwa shuleni kipindi wazazi wanapofanya shughuli zao za madini.

Pia, amesisitiza kwa mdau yoyote anayehitaji kupata taarifa zinazohusu biashara ya madini kufika katika Ofisi hiyo kwa ajili ya kupatiwa taratibu badala ya kufanya shughuli zao kinyume na taratibu zilizowekwa.

Awali, kabla ya kuanza ziara hiyo, Naibu Waziri Dkt. Kiruswa amekutana na Mkuu wa Wilaya ya Nzega Kamishna Msaidizi wa Polisi Advera Buhimba ambapo amemweleza malengo ya ziara hiyo. Pia, Dkt.Kiruswa amekutana na wafanyabiashara wa Madini katika Soko la Madini Nzega ambapo wamewasilisha changamoto zao.

About the author

Alex Sonna