marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

sapanca escort

escort bayan

imajbet

vdcasino

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

ultrabet giriş

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

bahiscasino

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

imajbet

grandbahis

betpipo giriş

imajbet

betpipo

grandbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

ultrabet, ultrabet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

superbetin

trimology review

celtabet

meritking giriş

meritking

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

starzbet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

starzbet

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

casibom

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

trendbet giriş

Milanobet

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

padişahbet giriş

padişahbet

holiganbet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

ifşa

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

bahiscasino

vdcasino

vaycasino giriş

perabet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

elitbahis

สล็อตเว็บตรง

zirvebet

superbetin

jojobet

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

vipslot

bahis siteleri

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

eminevim

tipobet

tipobet giriş

galabet, galabet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

Featured Kitaifa

RAIS SAMIA ATOA MAAGIZO KWA MAWAKILI WA SERIKALI

Written by Alex Sonna

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi mbalimbali pamoja na Mawakili wa Serikali kabla ya kuzindua Chama cha Mawakili wa Serikali, nembo na Mfumo rasmi wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali katika hafla iliyofanyika leo Septemba 29,2022  Jijini Dodoma.

…………………………

Na Alex Sonna-DODOMA

RAIS  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewaagiza mawakili wa serikali nchini kusisimamia haki kwa kusikiliza matatizo ya wananchi na kuyatatua kwa kufuata misingi na miongozo ya sheria na kumaliza baadhi ya kesi bila kuzifikisha mahakamani.

Rais Samia ametoa agizo hilo leo Septemba 29,2022  jijini Dodoma wakati akizindua chama cha mawakili wa serikali,nembo ya ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali pamoja na mfumo rasmi wa ofisi hiyo katika mkutano mkuu wa mawakili wa serikali ambapo amewasisitiza mawakili wa serikali kutenda haki kwa kufuata miongozo ya sheria.

Rais Samia amewaagiza kusimamia haki wanapochezesha vifungu vya sheria wasiwanyime wanaostahili kupata haki.

“ Ninyi ni engineer(Wahandisi) wa kucheza na vifungu vya sheria, mtu anakosa mnacheza na vifungu anaachiwa au asiyenakosa akatiwa hatiani, sasa hiyo engineering haiwapeleki pazuri fanyeni yale yatakayowasimamisha kwenye haki.”amesema Rais Samia

Aidha Rais Samia amemuagiza AG kuweka muda maalum wa mwisho wa kujisajili Mawakili wa serikali kwenye rejista na kwa wale ambao muda utapita bila kujisajili hawatatambulika.

Kwa upande wake Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria, Dk.Damas Ndumbaro amesema kuwa Mawakili hao ndio watekelezaji wa majukumu na askari na wapiganaji katika mfumo wa utoaji haki, masuala ya mikataba na usuluhishi wa migogoro.

Naye, Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Dk. Eliezer Feleshi, amesema sababu za Serikali kupoteza kesi nyingi za madai ni kukosa ushirikiano wa dhati kwa baadhi ya maofisa wa Serikali hasa wakati wa kutoa ushahidi mahakamani. 

 ”Kukosekana kwa ushirikiano wa ushahidi kwa baadhi ya maafisa wa serikali ni moja ya changamoto inayosababisha serikali kushindwa kesi mbalimbali”amesema Dk.Feleshi 

Awali Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Shaaban Ramadhan Abdalla, amesema wamekuwa wakishirikiana na Ofisi ya AG kushughulikia kesi na migogoro mbalimbali ya kimataifa kwa kuweka mbele uzalendo na utaifa.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitembelea mabanda mbalimbali likiwemo la Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kujionea shughuli mbalimbali pamoja na huduma zitolewazo na Ofisi hizo kabla ya kuhutubia na kuzindua Rasmi Chama cha Mawakili wa Serikali, nembo na Mfumo rasmi wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi mbalimbali pamoja na Mawakili wa Serikali kabla ya kuzindua Chama cha Mawakili wa Serikali, nembo na Mfumo rasmi wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali katika hafla iliyofanyika leo Septemba 29,2022  Jijini Dodoma.

Viongozi mbalimbali pamoja na Mawakili wa Serikali wakisikiliza hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan  (hayupo pichani) wakati akizungumza na Viongozi mbalimbali pamoja na Mawakili wa Serikali kabla ya kuzindua Chama cha Mawakili wa Serikali, nembo na Mfumo rasmi wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali katika hafla iliyofanyika leo Septemba 29,2022  Jijini Dodoma.

Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria, Dk.Damas Ndumbaro,akizungumza wakati wa Mkutano wa Mkuu Cha ma cha Mawakili wa Serikali pamoja na uzinduzi wa mfumo,Nembo na Chama cha Mawakili wa Serikali hafla iliyofanyika leo Septemba 29,2022 jijini Dodoma.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Dk. Eliezer Feleshi,akitoa taarifa wakati wa Mkutano wa Mkuu Cha ma cha Mawakili wa Serikali pamoja na uzinduzi wa mfumo,Nembo na Chama cha Mawakili wa Serikali hafla iliyofanyika leo Septemba 29,2022 jijini Dodoma.

Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Shaaban Ramadhan Abdalla, akizungumza wakati wa Mkutano wa Mkuu Cha ma cha Mawakili wa Serikali pamoja na uzinduzi wa mfumo,Nembo na Chama cha Mawakili wa Serikali hafla iliyofanyika leo Septemba 29,2022 jijini Dodoma.

Mwanasheria Mkuu Mstaafu, Andrew Chenge,akizungumza wakati wa Mkutano wa Mkuu Cha ma cha Mawakili wa Serikali pamoja na uzinduzi wa mfumo,Nembo na Chama cha Mawakili wa Serikali hafla iliyofanyika leo Septemba 29,2022 jijini Dodoma.

Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Hamis Juma,akizungumza wakati wa Mkutano wa Mkuu Cha ma cha Mawakili wa Serikali pamoja na uzinduzi wa mfumo,Nembo na Chama cha Mawakili wa Serikali hafla iliyofanyika leo Septemba 29,2022 jijini Dodoma.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule,akitoa salamu za Mkoa wakati wa Mkutano wa Mkuu Cha ma cha Mawakili wa Serikali pamoja na uzinduzi wa mfumo,Nembo na Chama cha Mawakili wa Serikali hafla iliyofanyika leo Septemba 29,2022 jijini Dodoma.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akibonyeza Kitufe kwenye laptop kuzindua mfumo rasmi wa Kieletroniki wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (OAGMIS), nembo  ya Ofisi hiyo pamoja na Chama cha Mawakili wa Serikali katika Mkutano Mkuu wa Mawakili wa Serikali uliofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma.

About the author

Alex Sonna