Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

casibom giriş

pokerklas

royalbet

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

betpark giriş

casibom giriş

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

türk ifşa

casibom

İkimisli

onwin

grandpashabet

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

mobilbahis

casibom

mislibet giriş

jasminbet giriş

imajbet

mislibet

kavbet

perabet

artemisbet

mislibet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

teosbet

vdcasino giriş

zirvebet

mislibet giriş

nerobet

jojobet

nerobet

jojobet giriş

kavbet giriş

Meritking

jojobet

สล็อตเว็บตรง

bets10

pusulabet

jojobet

marsbahis

holiganbet

trust score weak 3

holiganbet

ikimisli

tipobet

betpas

jasminbet

jojobet

jojobet adres

jojobet giris

jojobet adres

jojobet

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

casibom giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

betpas

1xbet giriş

holiganbet giriş

restbet

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

film izle

casibom

interbahis, interbahis giriş

betgar, betgar giriş

monobahis, monobahis giriş

superbetin

meritking

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

roketbet

jojobet

ligobet giriş

bets10 güncel giriş adresi

sahabet

jojobet

perabet

ilbet

deneme bonusu

casibom güncel giriş

sweet bonanza siteleri

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

piabet

kulisbet, kulisbet giriş

google

primebahis

primebahis

marsbahis

atlasbet

Doctors | Akdeniz University Hospital

deneme bonusu veren siteler

casino siteleri

casibom güncel giriş

casibom giriş

sweet bonanza

casibom

betflix giriş

betflix

betturkey

grandpashabet

sonbahis

holiganbet

mercurecasino

amgbahis

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet adres

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet adres

meritking giriş

meritking giriş

meritking

marsbahis

meritking

marsbahis giriş

marsbahis giriş

meritking

jojobet

jojobet giris

jojobet telegram

jojobet telegram

jojobet

jojobet telegram

jojobet giriş

betplay

Hacklink panel

betturkey

holiganbet

google giir

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet telegram

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet güncel

jojobet giriş

jojobet giriş

primebahis

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

sahabet

meritking giriş

marsbahis

betpas

betgaranti

betoffice

primebahis

Bet365 Giriş

betturkey

betturkey giriş

atlasbet giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

betpas giriş

kralbet

tarafbet

betpark giriş

betpark

betpark

betpark güncel giriş

betpark giriş

runtobet

runtobet giriş

1xbet

marsbahis, marsbahis giriş

betine

jojobet

jojobet giris

jojobet güncel giriş

betkolik

jojobet telegram

jojobet güncel giriş

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

jojobet güncel

jojobet giriş

jojobet adres

jojobet adres

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet güncel

jojobet güncel

jojobet adres

jojobet giriş

jojobet giris

marsbahis

jojobet giris

marsbahis

jojobet güncel

jojobet güncel

jojobet telegram

jojobet güncel giriş

jojobet giris

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

bahisfair

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

jojobet adres

jojobet güncel giriş

goldenbahis

goldenbahis

pokerklas, pokerklas giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

jojobet giriş

deneme bonusu

casibom

jojobet

https://sjconsultors.com/

kavbet

Featured Kitaifa

TBS YAENDESHA MAFUNZO YA AWALI UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA USHIRIKIANO BAINA YA MAAFISA BIASHARA NA AFYA MKOANI DODOMA

Written by Alex Sonna

KATIBU  Tawala wa Mkoa wa Dodoma Dk.Fatma Mganga,akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mafunzo kwa Watumishi wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa yaliyowalenga Watumishi kutoka Idara ya Afya na Idara ya Biashara Ofisi ya Rais Tamisemi na kuhudhuriwa na  Maafisa biashara kutoka Mkoa wa Dodoma na Halmshauri zote yaliyofanyika leo Septemba 20,2022 jijini Dodoma.

……………………………….

Na Alex Sonna-DODOMA
SERIKALI imesema  inathamini suala la usalama wa chakula kwani ndio mhimili mkubwa wa afya ya watanzania na ukuaji wa uchumi.
Hayo yameelezwa leo Septemba 20 Jijini Dodoma na Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma,Dk Fatma Mganga wakati akifungua mafunzo kwa  watumishi wa Tawala za Mikoa na  Serikali za Mitaa yaliyoandaliwa na Shirika la Viwango Tanzania (TBS).
Dk Mganga amesema Serikali ya awamu ya sita inathamini suala la usalama wa chakula kwani ndio mhimili mkubwa wa Afya ya watanzania na ukuaji wa uchumi.
” Nimetonywa kwamba, kupitia mafunzo haya mtajengewa uwezo kuhusu sheria na Kanuni ya Viwango, Mwongozo wa Utekelezaji wa Majukumu ya ushirikiano baina ya TBS na Halmashauri, ukaguzi, uchukuaji sampuli na uteketezaji na utaratibu wa usombaji na usajili wa maeneo yanayotumika kuuza vyakula.
“Ni matumaini yangu kuwa mafunzo haya yataongeza umahiri wetu katika kusimamia usalama wa chakula na hivyo mtaweka mikakati madhubuti ya kusimamia maeneo yenu na kuhakikisha hakuna changamoto yoyote,”amesema Dk.Mganga.
Aidha, Sheria ya Afya ya Jamii ya mwaka 2009 na kanuni zake, sheria ya usimamizi wa usalama wa chakula na kanuni zake, pamoja na sheria ndogo za halmashauri zenu zitumike vizuri kuhakikisha maeneo yetu yanakuwa salama.
“Nichukue fursa hii kutoa pongezi nyingi kwa Serikali kukasimu baadhi ya majukumu kwa Wataalam wetu wa Halmashauri ambao wapo karibu zaidi na wadau,”amesema Katibu Tawala huyo.
Amesema kupanuliwa kwa wigo huo kutasaidia sana kufichuo vitendo viovu vilivyokuwa vinafanywa na watu wenye tamaa ya kujitajirisha kwa kuuza bidhaa ambazo hazikidhi viwango vinavyotakiwa au bidhaa zenye viambata sumu.
Amesema  sheria hiyo sasa inaenda kuwaongezea  nguvu ya usimamizi wakishirikiana na TBS na hivyo kupunguza au kuondoa changamoto zilizopo sasa.
“Niwaase mkatekeleze majukumu hayo kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na taratibu ambazo zitafafanuliwa katika mafunzo haya.
“Sitavumilia mtaalam ambaye atafanya kinyume na kutumia mamlaka mnayokasimiwa kusumbua wazalishaji ambao wanajitahidi kuzingatia miogozo iliyopo.
“Tutumie muda wetu mwingi kuelimisha zaidi kabla ya kuchukua hatua za kuadhibu,”amesema Dk.Mganga
Aidha, amewataka kuhakikisha wakirudi  katika vituo vyao vya kazi wanatumia  mafunzo hayo vizuri.
“Hii ndio njia muafaka itakayowezesha kuhakikisha watumiaji wanapata bidhaa salama,”amesema Katibu Tawala huyo.
Kwa upande wake Meneja wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Kanda ya Kati,Nickonia Mwabuka amesema lengo Kuu la mafunzo hayo ni kuwapa walengwa kujua sheria,kanuni na taratibu zinazohusu utekelezaji wa majukumu baina ya Tamisemi na TBS.
Amesema mafunzo hayo yamewalenga watumishi wa idara ya afya na biashara katika Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi).
 “TBS imeekuwa ikifanya shughuli za ukaguzi na udhibiti kwa kushirikiana na watumishi kutoka katika Ofisi za Halmashauri hivyo naamini mafunzo haya yataleta ufanisi katika maeneo yao ya kazi,”amesema
Bw.Mwbuka  amesema TBS inatambua mchango wa wafanyakazi katika Ofisi mbalimbali hivyo itaendelea kutoa mafunzo kwa watumishi hao.

 

KATIBU  Tawala wa Mkoa wa Dodoma Dk.Fatma Mganga,akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mafunzo kwa Watumishi wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa yaliyowalenga Watumishi kutoka Idara ya Afya na Idara ya Biashara Ofisi ya Rais Tamisemi na kuhudhuriwa na  Maafisa biashara kutoka Mkoa wa Dodoma na Halmshauri zote yaliyofanyika leo Septemba 20,2022 jijini Dodoma.

KATIBU  Tawala wa Mkoa wa Dodoma Dk.Fatma Mganga,akisisitiza jambo kwa washiriki (hawapo pichani)  wakati wa Mafunzo yaliyowalenga Watumishi kutoka Idara ya Afya na Idara ya Biashara Ofisi ya Rais Tamisemi na kuhudhuriwa na  Maafisa biashara kutoka Mkoa wa Dodoma na Halmshauri zote yaliyofanyika leo Septemba 20,2022 jijini Dodoma.

SEHEMU ya washiriki wakimsikiliza Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma Dk.Fatma Mganga,(hayupo pichani)  wakati wa Mafunzo yaliyowalenga Watumishi kutoka Idara ya Afya na Idara ya Biashara Ofisi ya Rais Tamisemi na kuhudhuriwa na  Maafisa biashara kutoka Mkoa wa Dodoma na Halmshauri zote yaliyofanyika leo Septemba 20,2022 jijini Dodoma.

KATIBU Tawala Msaidizi Uchumi na Uzalishaji Mkoa wa Dodoma Bi.Aziza Mumba,akizungumza wakati wa  Mafunzo kwa Watumishi wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa yaliyowalenga Watumishi kutoka Idara ya Afya na Idara ya Biashara Ofisi ya Rais Tamisemi na kuhudhuriwa na  Maafisa biashara kutoka Mkoa wa Dodoma na Halmshauri zote yaliyofanyika leo Septemba 20,2022 jijini Dodoma.

MENEJA wa Kanda ya Kati wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Bw.Nickonia Mwabuka,akitoa taarifa ya ufunguzi wa Mafunzo kwa Watumishi wa Tawala za Mikoa na Serikali kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa TBS Dkt.Athuman Ngenya yaliyofanyika leo Septemba 20,2022 jijini Dodoma.

Mratibu Huduma za Afya na Usafi TAMISEMI Selemani Yondu,akitoa neno la shukrani kwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma Dk.Fatma Mganga,mara baada ya kufungua Mafunzo kwa Watumishi wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa yaliyowalenga Watumishi kutoka Idara ya Afya na Idara ya Biashara Ofisi ya Rais Tamisemi na kuhudhuriwa na  Maafisa biashara kutoka Mkoa wa Dodoma na Halmshauri zote yaliyofanyika leo Septemba 20,2022 jijini Dodoma.

KATIBU Tawala wa Mkoa wa Dodoma Dk.Fatma Mganga,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua  Mafunzo kwa Watumishi wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa yaliyowalenga Watumishi kutoka Idara ya Afya na Idara ya Biashara Ofisi ya Rais Tamisemi na kuhudhuriwa na  Maafisa biashara kutoka Mkoa wa Dodoma na Halmshauri zote yaliyofanyika leo Septemba 20,2022 jijini Dodoma.

About the author

Alex Sonna