Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

tarafbet

holiganbet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

holiganbet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

Featured Kitaifa

BODI YA NNE YA MAJI YA TAIFA YAZINDULIWA RASMI JIJINI DODOMA

Written by Alex Sonna
WAZIRI wa Maji Jumaa Aweso,akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa  Bodi ya nne ya Maji ya Taifa iliyofanyika jijini Dodoma . 
Naibu Waziri wa Maji Mhandisi Maryprisca Mahundi,akizungumza wakati wa uzinduzi wa  Bodi ya nne ya Maji ya Taifa hafla iliyofanyika jijini Dodoma . 
SEHEMU ya washiriki wakifatilia hotuba ya Waziri wa Maji Jumaa Aweso (hayupo pichani)  wakati wa hafla ya uzinduzi wa  Bodi ya nne ya Maji ya Taifa iliyofanyika jijini Dodoma . 
Mkurugenzi wa Rasilimali za maji kutoka Wizara ya Maji, Dk George Lugomela,akizungumza wakati wa uzinduzi wa  Bodi ya nne ya Maji ya Taifa hafla iliyofanyika jijini Dodoma . 
WAZIRI wa Maji Jumaa Aweso,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuzindua Bodi ya nne ya Maji ya Taifa iliyofanyika jijini Dodoma . 
……………………………………….

Na Eva Godwin-DODOMA

WAZIRI wa Maji Jumaa Aweso,amezindua Bodi ya nne ya Maji ya Taifa huku akiitaka bodi hiyo kuongeza wigo wa kupeleka huduma ya maji kwa wananchi.
 
Hayo ameyasema jijini Dodoma wakati akizindua Bodi ya nne ya Maji ya Taifa 
Waziri Aweso,amewahakikishia Watanzania hatakuwa kikwanzo katika kuhakikisha idara ya maji inafanya vizuri katika suala zima la Maji nchini, huku akiwashukuru Wajumbe wa bodi ya Taifa iliyopita kwa utendaji kazi wao.

Pia amewaomba viongozi wa bodi kuwa wabunifu na kuwa washirikishi katika kufanikisha majukumu yao ya kutunza rasilimali Maji.

“Tunawaakikishia Watanzania wote katika Suala zima la Maji hamtoteseka,wala hatutakuwa kikwazo kwenu na ushirikiano wenu kwetu ni Muhimu ili tuendelea kufanya vizuri kama bodi iliyopita”,amesema

“Najua Bodi hii ya Nne mtaongeza ubunifu zaidi ili kazi ziende sawa kama tulivyopanga,nyie ndio mtafanya tuone manufaa makubwa katika bodi hii na baada ya takwimu ya sensa kupatikana ya mwaka 2022 najua kutakuwa na mfumo mpya wa ugawaji wa maji Ili kusaidia watu kupata maji kwa urahisi”.Amesema Aweso

Waziri Aweso amesema  kuwa sasa wanajivunia mafanikio makubwa ya Wizara hiyo ikiwemo kwa mara ya kwanza bajeti ya Wizara hiyo kupitishwa kwa asilimia 100.
“Ni aibu na fedheha kuwa Wizara ya lawama lakini sasa tuna mengi ya kujivunia kwani hata ile miradi chechefu tumefanikiwa kukwamua miradi 126,” amesema
 
Aidha Aweso ameziagiza Bodi za mabonde kuhakikisha wanaendelea na utendaji kazi wao vizuri ili kuongeza tija katika usimamizi wa raslimali za maji.
“Bodi za maji za mabonde kufanya udhibiti uchafuzi wa vyanzo vya maji na mchakato wa sheria uko mbioni kukamilika,” amesema.
Kwa upande wake Naibu Waziri wa Maji Mhandisi Maryprisca Mahundi,amewaomba Wakurugenzi wa bodi hiyo walioteuliwa na Waziri Aweso wakasimamie majukumu yao ya utekelezaji katika kazi.

“Naamini kuwa Wasifu wenu ndio umemshawishi Mh.Waziri Aweso kuwateua kati ya wengi walio kuwa kwenye kinyang’anyiro hiko”,amesema

“Tunaamini mnaenda kuifanya kazi iliyobora kama alivyosema Mh.Waziri mkawe wabunifu,na msisite kuomba ushauri kwa bodi iliyopita,kazi nzuri ni ushirikiano kwaio msisite kuomba ushirikiano kwa bodi ya Tatu”.Amesema Mahundi.

Naye Mkurugenzi wa Rasilimali za maji kutoka Wizara ya Maji, Dk George Lugomela amesema kuwa Bodi hiyo iliteuliwa rasmi Aprili 2021 na Bodi inaundwa  na Mwenyekiti na wajumbe 11.
Dk.Lugomela amesema kuwa kazi kuu kwa bodi hiyo ni kumshauri Waziri juu ya masuala yanayohusu raslimali za maji na utatuzi wa migogoro wenye sura ya Kitaifa na kimataifa.
“Bodi hii pamoja na jukumu la kumshauri Waziri ipewe meno ya kudhibiti shughuli za mabonde ya maji , ipewe meno kidogo isiwe ya kushauri tu,” amesema .

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Bodi ya Nne ya Maji ya Taifa Eng.Mbogo Futakamba ameithibitishia serikali kuwa watafanya kazi kwa juhudi,weledi na Maarifa.

“Tupo pamoja na wewe Mh.Waziri tunahakikisha suala la Maji litatatuliwa kwa Wananchi wote kwasababu maji yanagusa kilakitu

“Usalama wa Elimu ni Maji,Usalama wa chakula ni Maji,Usalama wa Nishati ni Maji,Usalama wa Mazingira ni Maji na Maji ni usalama wa Maisha ya kila Mtu”.Amesema Futakamba

 

About the author

Alex Sonna