Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

tarafbet

holiganbet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

holiganbet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

Featured Kitaifa

KATAMBI AKABIDHI VIFAA MTAJI KWA VIKUNDI VYA VIJANA VYENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 371

Written by Alex Sonna

Naibu Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na watu wenye ulemavu, Patrobas Katambi,akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi vifaa mtaji kwa vikundi vya vijana na watu wenye ulemavu  leo Julai 1,2022 jijini Dodoma.

Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na watu wenye ulemavu,Prof.Jamal Katundu,,akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi vifaa mtaji kwa vikundi vya vijana na watu wenye ulemavu  leo Julai 1,2022 jijini Dodoma.

SEHEMU ya washiriki wakifatilia hotuba ya Naibu Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na watu wenye ulemavu, Patrobas Katambi (hayupo pichani), wakati wa hafla ya kukabidhi vifaa mtaji kwa vikundi vya vijana na watu wenye ulemavu  leo Julai 1,2022 jijini Dodoma.

Naibu Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na watu wenye ulemavu, Patrobas Katambi,akimkabidhi Kaimu Katibu Mkuu TAMISEMI ambaye pia ni Mkurugenzi Msaidizi, Idara ya Serikali za Mitaa kutoka TAMISEMI, Humphrey Mniachi, vifaa mtaji kwa vikundi vya vijana na watu wenye ulemavu  leo Julai 1,2022 jijini Dodoma.

Kaimu Katibu Mkuu TAMISEMI ambaye pia ni Mkurugenzi Msaidizi, Idara ya Serikali za Mitaa kutoka TAMISEMI, Humphrey Mniachi, akigawa vifaa mtaji kwa vikundi vya vijana na watu wenye ulemavu kwa wawakilishi wa vijana leo Julai 1,2022 jijini Dodoma.

Naibu Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na watu wenye ulemavu, Patrobas Katambi,akiwa katika picha na vijana mara baada ya kukabidhi vifaa mtaji kwa vikundi vya vijana na watu wenye ulemavu  leo Julai 1,2022 jijini Dodoma.

Kaimu Katibu Mkuu TAMISEMI ambaye pia ni Mkurugenzi Msaidizi, Idara ya Serikali za Mitaa kutoka TAMISEMI, Humphrey Mniachi,akitoa pongezi kwa Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na watu wenye ulemavu kwa kukabidhi vifaa mtaji kwa vikundi vya vijana na watu wenye ulemavu  leo Julai 1,2022 jijini Dodoma.

MWAKILISHI wa vikundi vya vijana Gladis Jamal,akiishukuru Serikali ya awamu ya 6 kwa kuwapatia vifaa hivyo ambavyo vitaenda kuwasaidia kujiajiri na kujikwamua kiuchumi.

……………………………………..

Na Alex Sonna-DODOMA

SERIKALI imekabidhi vifaa mtaji kwa vikundi vya vijana na watu wenye ulemavu vyenye  thamani ya zaidi ya shilingi milioni 371 kwa vikundi 174 na vitapelekwa katika Mikoa 26  vitakavyokwenda kuwanufaisha vijana zaidi ya 1400 kupitia vikundi vyao .

Akizungumza wakati wa kukabidhi vifaa hivyo leo Julai 1,2022 jijini Dodoma Naibu Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na watu wenye ulemavu, Patrobas Katambi,amesema kuwa  vifaa hivyo ni pamoja na vifaa vya kushonea (cherehani),Vifaa vya uungaji vyuma pamoja na Vifaa vya uchomeleaji aluminium.

Katambia amesema kuwa  ofisi hiyo imeamua kuanzisha utaratibu wa kugawa vifaa mtaji ambapo kwa mwaka huu zimenunuliwa cherehani 400, seti 75 za mashine za uchomeleaji na uungaji vyuma pamoja na seti 70 za mashine za kutengeneza vifaa vya aluminum.

“Vifaa hivi vimegharimu Sh.Milioni 371 na vitagaiwa kwa vijana hao ili kuvitumia kuzalisha zaidi lakini ni mkakati wao wa kujiajiri, Ofisi yetu imekuwa ikitekeleza program mbalimbali za vijana kwa kushirikiana na wadau mbalimbali,”amesema Katambi.

Katambi amesema kuwa  Ofisi hiyo ilishirikiana na TAMISEMI kuweka vigezo vya kuwapata vijana watakaopewa vifaa hivyo ikiwamo wenye ulemavu, kujiunga kikundi na vikundi vinavyorejesha mikopo kwa wakati kwenye Halmashauri zao.

Aidha amewataka vijana watakaopata fursa hiyo wakapate ushauri kutoka kwa wataalamu ili shughuli zao zikawe na tija sambamba nakuzitaka halmashauri kutoa tenda kwa vikundi vya vijana ili kuwakwamua kiuchumi na kupata faida itakayowawezesha kurejesha mikopo hiyo

“Kuliko kuwapa vijana fedha bila kuwapa elimu TAMISEMI na ofisi ya Waziri Mkuu itabidi itabidi tujipange ili kwenda kutoa elimu zaidi ili fedha itakayorejeshwa iwapatie watu wengine”

Awali, Katibu Mkuu wa Ofisi hiyo, Prof.Jamal Katundu,amesema lengo la kutoa vifaa hivyo ni kuwezesha mchakato wa kutoa ajira kwa vijana.

”Vifaa hivyo ni jitihada za serikali katika kuimarisha vikundi ambavyo vimekuwa vikinufaika na mikopo ya Halmashauri”amesema Prof.Katundu

Kwa upande wake Mkurugenzi Msaidizi, Idara ya Serikali za Mitaa kutoka TAMISEMI, Humphrey Mniachi, amesema kuwa ugawaji wa vifaa unatekeleza dhana ya ugatuaji madaraka.

About the author

Alex Sonna