marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

nesinecasino

tambet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

grandpashabet

holiganbet

sekabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

palacebet

marsbahis

royalbet

elexbet giriş

kavbet

milanobet

restbet

imajbet

betoffice

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

betcup

holiganbet

holiganbet giriş

nakitbahis

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

starzbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

pokerklas giriş

kingroyal giriş

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

jojobet

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Tipobet

jojobet

türk ifşa

casinoroyal

İkimisli

casinofast

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

jojobet

lunabet

lunabet giriş

betpas

betpas giriş

pokerklas

pokerklas giriş

mislibet

mislibet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Featured Kitaifa

PROF.KUSILUKA AZITAKA TAASISI ZA VYUO VIKUU NA  KATI KUWAWEZESHA WASHAURI WA WANAFUNZI KUHUDHURIA MAFUNZO

Written by Alex Sonna

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu    Mzumbe Prof. Lughano Kusiluka  akizungumza na washiriki wa wa mafunzo ya siku tatu ya Chama cha Washauri wa Wanafunzi Tanzania (TACOGA1984)  leo Juni 22,  2022, katika ukumbi wa mkutano wa  Taasisi  ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Jijini Arusha.

 

Mwenyekiti wa Chama cha Washauri wa Wanafunzi  Tanzania (TACOGA1984) Bi. Sophia Nchimbi akizungumza jambo wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku tatu ya Chama cha Washauri wa Wanafunzi Tanzania (TACOGA1984)  leo Juni 22,  2022, katika ukumbi wa mkutano wa  Taasisi  ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Jijini Arusha.

Kaimu Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Mipango, Fedha na Utawala wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Dr. Shubi Kaijage akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku tatu ya Chama cha Washauri wa Wanafunzi Tanzania (TACOGA1984)  leo Juni 22,  2022, katika ukumbi wa mkutano wa  Taasisi  hiyo Jijini Arusha.

Washiriki wa Mafunzo ya  Chama cha Washauri wa Wanafunzi  Tanzania (TACOGA1984) wakimsikiliza mgeni rasmi ambaye ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe Prof.Lugano  Kusiluka (hayupo katika picha) wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku tatu ya Chama hicho  leo Juni 22,  2022,  katika ukumbi wa mkutano wa  Taasisi  ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Jijini Arusha.

 Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu  Mzumbe Prof. Lughano Kusiluka(katikati waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na  Washauri wa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu na Kati baada ya  kufungua  mafunzo ya siku tatu ya Chama cha Washauri wa Wanafunzi Tanzania (TACOGA1984)  leo Juni 22,  2022, katika ukumbi wa mkutano wa  Taasisi  ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Jijini Arusha.

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu    Mzumbe Prof. Lughano Kusiluka (Katika Waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Serikali za Wanafunzi kutoka katika vyuo mbalimbali  baada ya  kufungua   mafunzo ya siku tatu ya Chama cha Washauri wa Wanafunzi Tanzania (TACOGA1984)  leo Juni 22,  2022, katika ukumbi wa mkutano wa  Taasisi  ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Jijini Arusha

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu    Mzumbe Prof. Lughano Kusiluka (Katikati Waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa Chama cha Washauri wa Wanafunzi Tanzania(TACOGA 1984)  baada ya kufungua  mafunzo ya siku tatu ya Chama hicho   leo Juni 22,  2022, katika ukumbi wa mkutano wa  Taasisi  ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Jijini Arusha.

…………………………………..

Na Mwandishi Wetu.

Makamu Mkuu wa Chuo  Kikuu Mzumbe Prof. Lughano Kusiluka amezitaka Taasisi za Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati kuwawezesha Washauri wa Wanafunzi kuhudhuria mafunzo ya ushauri yanayoratibiwa na Chama cha Ushauri wa Wanafunzi Tanzania (TACOGA1984) ili kuwajengea uwezo katika utendaji wao.

Prof. Kusiluka  amesema hayo leo Juni 22, 2022, wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku tatu ya Chama cha Washauri wa Wanafunzi Tanzania (TACOGA 1984) katika ukumbi wa mkutano wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Jijini Arusha.

“Mafunzo haya ni muhimu kwetu sote siyo tu kwa wanafunzi bali Jamii yetu yote, kupitia mafunzo haya  tunakuwa tumejenga Jamii bora kwa nchi yetu ” amesema Prof. Kusiluka

Aidha, ameongeza kuwa ni muhimu kwa washauri wa wanafunzi kuwa na mafunzo ya mara kwa mara ili waweze kutoa ushauri wenye kujenga na kuwapata wasomi bora wenye kutumikia taifa lao.

“wito wangu kwa wazazi tushirikiane kwa karibu na waalimu pamoja na washauri ili kuwalea wanafunzi katika mazingira mazuri yenye kuzingatia maadili mema” amesisitiza Prof. Kusiluka

Kwa upande wake Mwenyekiti wa TACOGA (1984) Bi. Sophia Nchimbi, ameeleza kuwa, lengo la mafunzo hayo ni kuwajengea uwezo washauri wa wanafunzi waweze kufanya kazi zao kwa kufuata miongozo na kuwasaidia wanafunzi kuishi kwa kuzingatia maadili mema .

“Mada zitakazotolewa katika mafunzo haya ni 12 zikiwa na lengo la kuwajengea uwezo washauri wa wanafunzi katika masuala mbalilmabli ikiwemo  namna ya kuandika maombi ya   miradi, kuongea mbele ya hadhara na kuwashauri wanafunzi “ amesema Bi. Sophia Nchimbi

Naye mshiriki wa Mafunzo hayo ambaye ni Waziri Mkuu wa Serikali ya Wanafunzi kutoka Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Kigamboni  Ndg. Ajubi Ally ameeleza kuwa, mafunzo hayo yatamsaidia katika kuwaongoza na kuwashauri wanafunzi wenzake namna ya kuishi kwa kuzingatia maadili na kuondokana na hofu pale wanapokutana na changamoto mbalimbali vyuoni.

About the author

Alex Sonna