marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

nesinecasino

tambet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

grandpashabet

holiganbet

sekabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

palacebet

marsbahis

royalbet

elexbet giriş

kavbet

milanobet

restbet

imajbet

betoffice

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

betcup

holiganbet

holiganbet giriş

nakitbahis

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

starzbet

starzbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

pokerklas giriş

kingroyal giriş

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

jojobet

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Tipobet

jojobet

türk ifşa

casinoroyal

İkimisli

casinofast

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

jojobet

lunabet

lunabet giriş

betpas

betpas giriş

pokerklas

pokerklas giriş

mislibet

mislibet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Featured Kitaifa

WAZIRI MKUU AKAGUA UWEKAJI ALAMA LOLIONDO, ATOA PONGEZI

Written by Alex Sonna

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Kamishina Jeneralli wa  Jeshi la Uhamiaji, Dkt. Anna Makakala  (kushoto) wakati alipokagua kazi ya uwekaji  alama za kubainisha  la hifadhi  penye ukubwa wa kilomita za mraba 1500 katika eneo la Loliondo wilayani Ngorongoro, Mkoa wa Arusha 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua kazi ya uwekaji  alama za kubainisha  eneo la hifadhi  lenye ukubwa wa kilomita za mraba 1500 katika eneo la Loliondo wilayani Ngorongoro, Mkoa wa Arusha  Juni 23, 2022

. (Picha na Ofisi ya Wazifri Mkuu)

.………………………………………

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezipongeza taasisi zote zilizokuwa zinaratibu zoezi la uwekaji wa alama katika eneo la pori tengefu la Loliondo kwa kukamilisha uwekaji wa vigingi 424 vilivyokusudiwa kuwekwa.

Waziri Mkuu ametoa pongezi hizo leo (Alhamisi, Juni 23, 2022) alipotembelea eneo hilo lenye ukubwa wa kilomita za mraba 1,500 kuona maendeleo ya uwekaji wa alama kuzunguka eneo la hifadhi.

Akizungumza wakati wa zoezi hilo, Mheshimiwa Majaliwa amesema kuwa eneo hilo lina umuhimu mkubwa kwa Watanzania na hata nchi jirani. “Hii ni tunu tuliyopewa na Mwenyezi Mungu, uwepo wa wanyama ni kivutio kikubwa kwa shughuli zetu za utalii, ni muhimu tuilinde.”

“Ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo nchini unatokana na kodi ambazo Serikali inakusanya kutoka maeneo tofauti ikiwemo sekta hii ya utalii,” amesema Waziri Mkuu.

Amesema kuwa Watanzania hawana budi kuzingatia na kuzifuata sheria zilizowekwa. “Kila nchi ina utamaduni wake, hata wewe Mtanzania unapotoka kwenda nchi yoyote, fuata sheria za nchi hiyo.”

Amesema kuwa zoezi lililofanyika ni uwekaji wa alama tu, na hakuna mtu yeyote atakayeondolewa katika vijiji vinavyozunguka eneo hilo. “Hili eneo liko umbali wa karibu kilomita 12 hadi 15 kutoka kwenye makazi ya watu.”

Aidha, Waziri Mkuu amesema kuwa zoezi la ulinzi katika eneo hilo ni endelevu katika kipindi chote na si wakati huu wa uwekaji wa alama pekee, na akaelekeza ulinzi uendelee kuimarishwa katika eneo la kilomita za mraba 1,500 zilizowekewa alama.

Naye, Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Dkt. Pindi Chana alisema kuwa eneo hilo ni muhimu katika sekta ya utalii na ni wajibu wa Wizara kuhakikisha eneo hilo linalindwa. “Tumeshapitisha GN, sasa itaitwa Pori tengefu la Pololeti la kilomita za mraba 1,500.”

Kwa upande wake, Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Bw. Mashimba Ndaki amesema kuwa Serikali inaendelea na ujenzi wa lambo kubwa litakalotumika kunyweshea mifugo katika eneo la Loliondo.

Alisema kuwa Serikali inajenga majosho 10 ya kuogeshea mifugo na tayari majosho mawili yameshakamilika huku mengine manane yakiwa katika hatua mbalimbali za ujenzi. “Serikali inawajali na inawaangalia sana wafugaji,” alisisitiza.

Kwa upande wake, Waziri wa Maji, Bw. Jumaa Aweso alisema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita itaendelea kupeleka huduma ya maji safi na salama katika maeneo yote nchini ikiwemo Loliondo.

About the author

Alex Sonna