marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sapanca escort

escort sapanca

holiganbet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

jojobet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

palacebet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

imajbet

parmabet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

kingroyal

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

setrabet

Madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

superbetin

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

grandpashabet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

casibom giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet güncel giriş

imajbet

perabet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

grandpashabet

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

teosbet

vdcasino

bets10 giriş

golegol

goldenbahis

imajbet

imajbet giriş

klasbahis

ngsbahis

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

casibom giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

deneme bonusu 2026

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

ilbet

ilbet giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

marsbahis

deneme bonusu veren siteler

primebahis

gonebet, gonebet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

romabet

marsbahis

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

padişahbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

betoffice

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

herabet

holiganbet

cratosroyalbet

radissonbet

gameofbet

grandpashabet

ibizabet

casibom

Featured Kitaifa

MIRADI YA REA NI YA WANANCHI – WAKILI KALOLO

Written by Alex Sonna

Nguzo zikishushwa katika Kitongoji cha Olomoti, Kijiji cha Msomera wilayani Handeni, Mkoa wa Tanga kwa ajili ya matumizi ya kuunganisha umeme katika miradi ya umeme vijijini inayoendelea. Taswira hii ilichukuliwa Juni 15, 2022 wakati wa ziara ya Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini Wakili Julius Kalolo na Mkurugenzi Mkuu wa REA Mhandisi Hassan Saidy.

Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini, Wakili Julius Kalolo, Mkurugenzi Mkuu wa REA Mhandisi Hassan Saidy na Ujumbe waliofuatana nao, wakikagua miundombinu ya umeme katika kijiji cha Horohoro wilayani Mkinga, Mkoa wa Tanga walipokuwa katika ziara ya kazi,

Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini, Wakili Julius Kalolo (wa kwanza – kushoto) akifafanua jambo kwa Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Mkinga ambaye ni Katibu Tawala, Joseph Sura (wa kwanza – kulia) wakati wa ziara ya kazi ya viongozi wa REA wilayani humo, Juni 14, 2022. Wa pili kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mhandisi Hassan Saidy.

Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini, Wakili Julius Kalolo, Mkurugenzi Mkuu wa REA Mhandisi Hassan Saidy na Ujumbe waliofuatana nao wakikagua miundombinu ya umeme katika kijiji cha Horohoro wilayani Mkinga, Mkoa wa Tanga, walipokuwa katika ziara ya kazi

Afisa Mtendaji wa Kata ya Mwakijembe, wilayani Mkinga, Mkoa wa Tanga (aliyesimama-kushoto) akiwa na Ujumbe wa Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini, Wakili Julius Kalolo (wa pili-kushoto), walipofika ofisini kwake wakiwa katika ziara ya kazi, Juni 14, 2022. Wa tatu kutoka kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mhandisi Hassan Saidy.

Kutoka kushoto ni Diwani wa Kata ya Mponde wilayani Lushoto Mheshimiwa Richard Mbuguni na Msaidizi wa Mbunge wa Bumbuli ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Kwemkola, Mheshimiwa Hozza Mandia, wakimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini, Wakili Julius Kalolo (wa kwanza kulia), alipokuwa akifafanua jambo wakati wa ziara yake wilayani humo Juni 15, 2022 kukagua utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini. Wa pili kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mhandisi Hassan Saidy.

Mkurugenzi Mkuu wa REA Mhandisi Hassan Saidy (wa pili-kushoto), akifafanua jambo kwa Msaidizi wa Mbunge wa Bumbuli ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Kwemkola, Mheshimiwa Hozza Mandia (kulia), wakati wa ziara ya Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini, Wakili Julius Kalolo (wa tatu-kushoto) wilayani Lushoto, Juni 15, 2022 kukagua utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini.

…………………………………………….

Na Veronica Simba  – REA

Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini, Wakili Julius Kalolo amesema wananchi wana haki ya kujulishwa kuhusu miradi ya umeme vijijini inayotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) katika maeneo yao kwani kimsingi miradi hiyo ni ya kwao.

Aliyasema hayo kwa nyakati tofauti hivi karibuni akiwa katika ziara ya kazi mkoani Tanga, Juni 13 hadi 16, 2022 ambapo alifuatana na Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mhandisi Hassan Saidy.

Akifafanua, Mwenyekiti wa Bodi alisema Serikali imewekeza fedha nyingi katika kutekeleza miradi hiyo ambayo imelenga kuwanufaisha wananchi hususan waishio vijijini.

“Kwa mantiki hiyo, wananchi ndiyo wamiliki wa miradi husika; miradi ni ya kwao maana inatekelezwa na Serikali kwa ajili yao hivyo wanapaswa kuijua vizuri ili watoe ushirikiano katika utekelezwaji wake,” alisisitiza.

Aidha, Wakili Kalolo alisema kuwa endapo Wakandarasi wanaotekeleza miradi hiyo watawashirikisha wananchi, itasaidia pia kupata suluhisho la changamoto ya uharibifu na wizi wa miundombinu ya umeme ambayo imekuwa ikijitokeza katika baadhi ya maeneo.

Alisema kuwa, wananchi wakishirikishwa watakuwa sehemu ya Mradi hivyo watatoa ushirikiano katika usimamizi wake ikiwemo utunzaji wa miundombinu.

Aliongeza kuwa ushirikishwaji uwalenge pia viongozi wa wananchi ambao ni Wakuu wa Mikoa na Wilaya, Wabunge, Madiwani na viongozi wote ngazi ya vijiji na vitongoji.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mkuu wa REA Mhandisi Saidy akizungumza katika ziara hiyo aliwataka wananchi kuondoa hofu kuhusu suala la wigo wa miradi ya umeme vijijini, ambapo kumekuwa na malalamiko ya umeme kufika eneo dogo katika kijiji na maeneo mengine kutofikiwa.

Alifafanua kuwa, malengo ya Serikali katika hatua ya awali ilikuwa ni kuhakikisha walau kila kijiji kinafikiwa na miundombinu ya umeme mkubwa ili upatikanaji wa huduma za msingi hususan za kijamii ziwepo katika kila kijiji.

Mhandisi Saidy aliongeza kuwa, kwa sasa Serikali imejipanga kuongeza wigo ambapo katika kila kijiji zitaongezwa kilomita mbili kutoka kilomita moja ya awali, hivyo kufikia kilomita tatu.

Aidha, alisema kuwa Wakala unaendelea kutekeleza miradi mingine mbalimbali inayolenga kuendelea kuwafikishia umeme wananchi wote ikiwemo miradi ya ujazilizi.

Pia, alibainisha kuwa mpango wa Serikali kwa sasa kupitia REA ni kuanza kupeleka umeme katika ngazi ya vitongoji ambapo ukikamilika, wananchi wote watakuwa wamefikiwa na nishati ya umeme.

Katika ziara hiyo, viongozi mbalimbali walipongeza kazi kubwa inayofanywa na Serikali kupitia REA na wakaahidi kuendelea kutoa ushirikiano katika kuwezesha utekelezaji wa miradi inayoendelea.

Viongozi hao ni pamoja na Mkuu wa Mkoa, Mheshimiwa Adam Malima, Mbunge wa Handeni Vijijini Mheshimiwa John Sallu, Msaidizi wa Mbunge wa Bumbuli ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Kwemkola, Mheshimiwa Hozza Mandia, na Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Handeni ambaye ni Katibu Tawala, Mashaka Mgeta.

Wengine ni Diwani wa Kata ya Mponde Mheshimiwa Richard Mbuguni, Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Mkinga ambaye ni Katibu Tawala, Joseph Sura, Afisa Mtendaji Kata ya Mwakijembe, Prosper Marumbo, Mwenyekiti wa kijiji cha Msomera wilayani Handeni Martin Parakett na viongozi wengine mbalimbali ngazi ya vijiji na vitongoji.

Ziara hiyo ya siku tatu ililenga kukagua utekelezaji wa miradi ya nishati vijijini ikihusisha kukagua kazi zinazoendelea pamoja na kuzungumza na wakandarasi, viongozi na wananchi.

About the author

Alex Sonna