Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

meritking

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

meritbet

tümbet güncel giriş

betsat

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betpark

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

vidobet

vdcasino giriş

Featured Kitaifa

VIONGOZI WA DINI KANDA YA MAGHARIBI WAAZIMIA KUDUMISHA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

Written by Alex Sonna
 
 
Na Mwandishi Wetu, Tabora 
 
VIONGOZI wa dini katika mikoa ya Kanda ya Magharibi wameazimia kuendelea kudumisha amani, upendo na mshikamano wa kitaifa kuelekea Uchaguzi Mkuu ujao uliopangwa kufanyika oktoba 29, 2025.
 
Kadhalika viongozi hao kutoka mikoa ya Tabora, Kigoma na Katavi wamesisisitiza umuhimu wa kutumia nyumba za ibada kuhubiri amani na kuwakemea wote wanaotaka kuvuruga utulivu wa nchi.

Wakizungumza kwenye kongamano la Amani na Uchaguzi lililofanyika leo oktoba 24, 2025 mkoani Tabora, viongozi hao pia wametoa wito kwa wananchi waliojiandikisha kujitokeza kupiga kura kwani ni haki yao kidemokrasia.
 
Katika maazimio waliyoyasoma mwishoni mwa kongamano hilo viongozi hao wa dini wamesisitiza ulinzi wa amani ya nchi na hasa wakati wa Uchaguzi Mkuu. 
 
Akisoma maazimio hayo, Katibu wa CPTC Mkoa wa Tabora, Mchungaji Lameck Hazina amesema wamekubaliana kuendelea kuelimisha waumini kuepuka kushiriki maandamano au vitendo vyote vinavyoweza kuvuruga uchaguzi na kuhatarisha amani ya nchi.
 
“Tumeazimia kwamba viongozi wa dini hatupaswi kwa namna yoyote kuhamasisha vurugu, bali tuwe chachu ya amani, upendo na umoja miongoni mwa Watanzania wote,” amesema.
 
Aidha, viongozi hao wamekumbusha waumini kwamba dini zote zinahimiza kutii mamlaka kwa kuwa viongozi hutoka kwa Mungu, hivyo ni wajibu wa wananchi kuwaheshimu na kuwaombea wawe waadilifu katika uongozi wao.
 
Mapema akifungua kongamano hilo, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Ibrahim Mavumbi, amesema Watanzania wanapaswa kuwa waangalifu kuelekea uchaguzi ili kuepuka kugawanyika kwa misingi ya kisiasa au kikabila.
 
“Tusiposhikana na kulinda amani tuliyorithishwa na waasisi wetu akiwemo Hayati Mwalimu Julius Nyerere, taifa linaweza kuingia kwenye sura mbaya. Bila amani hakuna maisha, tusikubali kuingizwa katika migawanyiko kupitia vyama vya siasa,” amesema Sheikh Mavumbi.
 
Amesisitiza kuwa makongamano ya aina hiyo yasifanywe tu wakati wa uchaguzi, bali yaendelee mara kwa mara ili kukuza utamaduni wa amani nchini.
 
Kwa upande wake, Katibu wa Kadhi Mkoa wa Mwanza, Sheikh Ramadhani Khamis, amesema mafundisho ya Kiislam yanawataka waumini kuwa na amani na kuheshimu mamlaka, akiwataka viongozi wa dini kutumia nyumba za ibada kukemea wale wote wanaopanga vurugu.
 
“Wapo watu wanaoitakia nchi yetu mabaya, tunapaswa kuwakemea kwa nguvu zote kwa sababu wengi wao ni waumini wetu wanaokuja katika nyumba za ibada,” alisema Sheikh Khamis.
 
Askofu Denis Michael Nkwera, kutoka Baraza la Makanisa ya Kipentekoste (CPT), ametoa tahadhari kwa Watanzania kuilinda amani iliyopo akisema, “Iwapo vurugu zitatokea, Watanzania tutakimbilia wapi? Wenzetu wa Rwanda, Kongo na Kenya wanatamani kukimbilia Tanzania kwa sababu ya amani tuliyonayo.”
 
Ameongeza kuwa, “Mtanzania halisi hawezi kuhamasisha vurugu katika nchi hii ambayo Mungu ametubariki amani. Tuitunze na tuishikilie kwa wivu mkubwa.”
 
Sheikh wa Shia Mkoa wa Tabora, Swahibu Shaban amesema suala la amani ni pana na linapaswa kufundishwa tangu elimu ya awali ili watoto wajue thamani ya amani.
 
Naye Mchungaji Edward Kadangi wa Kanisa la Waadventista Wasabato Wilaya ya Urambo, amesema vitabu vyote vya dini vimehimiza amani, na kwamba wale wanaotaka kuvuruga amani “hawana dini.”
 
“Hata kama jambo haliko sawa, sio lazima uharibu amani. Tunapoelekea uchaguzi twende kwa amani na tubaki na amani hata baada ya uchaguzi,” amesema Kadangi.
 
Kwa upande wake, Sheikh Iddy Suleiman ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Maridhiano Wilaya ya Igunga, amewaasa wananchi kuwa wavumilivu wanapohisi kunyimwa haki, badala ya kutumia maandamano, wamuombe Mungu awape haki kwa njia ya amani.
 
Aidha, Mchungaji Meliciana Mivuko, amesema wanawake ndiyo wanaoteseka zaidi pindi migogoro au vita inapotokea, hivyo kila Mtanzania ana wajibu wa kuilinda amani aliyoirithi kutoka kwa waasisi wa taifa.
 
“Watumishi wa Mungu tuendelee kuombea nchi yetu kila siku, najua wapo watu wasiopenda mema kwa taifa letu, lakini jukumu letu ni kulinda amani na umoja wetu,” amesema.
 
Mwisho wa kongamano hilo, viongozi hao walikubaliana kuwa watatumia majukwaa yote ya dini kuhubiri amani, upendo na mshikamano kuelekea na baada ya Uchaguzi Mkuu.

 

 

About the author

Alex Sonna