marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet giriş

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

sapanca escort

sapanca escort

vdcasino

vdcasino

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

bets10

milanobet

holiganbet

casibom

dizipal

1xbet giriş

1xbet

tambet

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

perabet giriş

imajbet

grandbahis giriş

imajbet

grandbahis

imajbet giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

ultrabet, ultrabet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

superbetin

trimology review

celtabet

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

starzbet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

aaa

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

taksimbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

bets10

Milanobet

jojobet

cratosroyalbet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

betsat

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

padişahbet

holiganbet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

cratosroyalbet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

esbet

vdcasino

bets10 giriş

perabet

efesbet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

perabet

สล็อตเว็บตรง

zirvebet

superbetin

jojobet

deneme bonusu veren siteler

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

celtabet

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

sorgu paneli

galabet, galabet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

roketbet, roketbet giriş

betsat

holiganbet

betsat

betsat giriş

deneme bonusu veren siteler

hitbet

tipobet giriş

betist

betist

Featured Kitaifa

VIONGOZI WA DINI KANDA YA MAGHARIBI WAAZIMIA KUDUMISHA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

Written by Alex Sonna
 
 
Na Mwandishi Wetu, Tabora 
 
VIONGOZI wa dini katika mikoa ya Kanda ya Magharibi wameazimia kuendelea kudumisha amani, upendo na mshikamano wa kitaifa kuelekea Uchaguzi Mkuu ujao uliopangwa kufanyika oktoba 29, 2025.
 
Kadhalika viongozi hao kutoka mikoa ya Tabora, Kigoma na Katavi wamesisisitiza umuhimu wa kutumia nyumba za ibada kuhubiri amani na kuwakemea wote wanaotaka kuvuruga utulivu wa nchi.

Wakizungumza kwenye kongamano la Amani na Uchaguzi lililofanyika leo oktoba 24, 2025 mkoani Tabora, viongozi hao pia wametoa wito kwa wananchi waliojiandikisha kujitokeza kupiga kura kwani ni haki yao kidemokrasia.
 
Katika maazimio waliyoyasoma mwishoni mwa kongamano hilo viongozi hao wa dini wamesisitiza ulinzi wa amani ya nchi na hasa wakati wa Uchaguzi Mkuu. 
 
Akisoma maazimio hayo, Katibu wa CPTC Mkoa wa Tabora, Mchungaji Lameck Hazina amesema wamekubaliana kuendelea kuelimisha waumini kuepuka kushiriki maandamano au vitendo vyote vinavyoweza kuvuruga uchaguzi na kuhatarisha amani ya nchi.
 
“Tumeazimia kwamba viongozi wa dini hatupaswi kwa namna yoyote kuhamasisha vurugu, bali tuwe chachu ya amani, upendo na umoja miongoni mwa Watanzania wote,” amesema.
 
Aidha, viongozi hao wamekumbusha waumini kwamba dini zote zinahimiza kutii mamlaka kwa kuwa viongozi hutoka kwa Mungu, hivyo ni wajibu wa wananchi kuwaheshimu na kuwaombea wawe waadilifu katika uongozi wao.
 
Mapema akifungua kongamano hilo, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Ibrahim Mavumbi, amesema Watanzania wanapaswa kuwa waangalifu kuelekea uchaguzi ili kuepuka kugawanyika kwa misingi ya kisiasa au kikabila.
 
“Tusiposhikana na kulinda amani tuliyorithishwa na waasisi wetu akiwemo Hayati Mwalimu Julius Nyerere, taifa linaweza kuingia kwenye sura mbaya. Bila amani hakuna maisha, tusikubali kuingizwa katika migawanyiko kupitia vyama vya siasa,” amesema Sheikh Mavumbi.
 
Amesisitiza kuwa makongamano ya aina hiyo yasifanywe tu wakati wa uchaguzi, bali yaendelee mara kwa mara ili kukuza utamaduni wa amani nchini.
 
Kwa upande wake, Katibu wa Kadhi Mkoa wa Mwanza, Sheikh Ramadhani Khamis, amesema mafundisho ya Kiislam yanawataka waumini kuwa na amani na kuheshimu mamlaka, akiwataka viongozi wa dini kutumia nyumba za ibada kukemea wale wote wanaopanga vurugu.
 
“Wapo watu wanaoitakia nchi yetu mabaya, tunapaswa kuwakemea kwa nguvu zote kwa sababu wengi wao ni waumini wetu wanaokuja katika nyumba za ibada,” alisema Sheikh Khamis.
 
Askofu Denis Michael Nkwera, kutoka Baraza la Makanisa ya Kipentekoste (CPT), ametoa tahadhari kwa Watanzania kuilinda amani iliyopo akisema, “Iwapo vurugu zitatokea, Watanzania tutakimbilia wapi? Wenzetu wa Rwanda, Kongo na Kenya wanatamani kukimbilia Tanzania kwa sababu ya amani tuliyonayo.”
 
Ameongeza kuwa, “Mtanzania halisi hawezi kuhamasisha vurugu katika nchi hii ambayo Mungu ametubariki amani. Tuitunze na tuishikilie kwa wivu mkubwa.”
 
Sheikh wa Shia Mkoa wa Tabora, Swahibu Shaban amesema suala la amani ni pana na linapaswa kufundishwa tangu elimu ya awali ili watoto wajue thamani ya amani.
 
Naye Mchungaji Edward Kadangi wa Kanisa la Waadventista Wasabato Wilaya ya Urambo, amesema vitabu vyote vya dini vimehimiza amani, na kwamba wale wanaotaka kuvuruga amani “hawana dini.”
 
“Hata kama jambo haliko sawa, sio lazima uharibu amani. Tunapoelekea uchaguzi twende kwa amani na tubaki na amani hata baada ya uchaguzi,” amesema Kadangi.
 
Kwa upande wake, Sheikh Iddy Suleiman ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Maridhiano Wilaya ya Igunga, amewaasa wananchi kuwa wavumilivu wanapohisi kunyimwa haki, badala ya kutumia maandamano, wamuombe Mungu awape haki kwa njia ya amani.
 
Aidha, Mchungaji Meliciana Mivuko, amesema wanawake ndiyo wanaoteseka zaidi pindi migogoro au vita inapotokea, hivyo kila Mtanzania ana wajibu wa kuilinda amani aliyoirithi kutoka kwa waasisi wa taifa.
 
“Watumishi wa Mungu tuendelee kuombea nchi yetu kila siku, najua wapo watu wasiopenda mema kwa taifa letu, lakini jukumu letu ni kulinda amani na umoja wetu,” amesema.
 
Mwisho wa kongamano hilo, viongozi hao walikubaliana kuwa watatumia majukwaa yote ya dini kuhubiri amani, upendo na mshikamano kuelekea na baada ya Uchaguzi Mkuu.

 

 

About the author

Alex Sonna