marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

sapanca escort

escort bayan

imajbet

vdcasino

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

ultrabet giriş

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

tambet

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

imajbet

grandbahis

betpipo giriş

imajbet

betpipo

grandbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

ultrabet, ultrabet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

superbetin

trimology review

celtabet

meritking giriş

meritking

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

starzbet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

starzbet

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

casibom

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

trendbet giriş

Milanobet

jojobet

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

padişahbet giriş

padişahbet

holiganbet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

grandpashabet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

esbet

vdcasino

vaycasino giriş

perabet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

elitbahis

สล็อตเว็บตรง

zirvebet

superbetin

jojobet

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

vipslot

bahis siteleri

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

eminevim

tipobet

tipobet giriş

galabet, galabet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

roketbet, roketbet giriş

Featured Kitaifa

MJADALA WA BIASHARA NA UWEKEZAJI BAINA YA TANZANIA NA UHOLANZI WAAZIMIA KUTATUA CHANGAMOTO ZA KIBIASHARA NCHINI

Written by Alex Sonna
 
Baadhi ya wadau wakiwemo wawekezaji kutoka nchini Uholanzi na watendaji kutoka taasisi zinazojihusisha na uwekezaji hapa nchini,wakiwa katika majadiliano juu ya namna ya kuboresha mazingira wezeshi ya uwekezaji hapa nchini.
Baadhi ya wadau wakiwemo wawekezaji kutoka nchini Uholanzi na watendaji kutoka taasisi zinazojihusisha na uwekezaji hapa nchini,wakiwa katika majadiliano juu ya namna ya kuboresha mazingira wezeshi ya uwekezaji hapa nchini.
Balozi wa Uholanzi nchini Tanzania, Mh.Wiebe de Boer, akizungumza katika mkutano huo.
Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC),Dk Samweli Gwamaka,akizungumza katika mdahalo wa wadau wa masuala ya uwekezaji kutoka Uholanzi na Serikali ya Tanzania.
Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya uwekezaji, Wizara ya Viwanda na Biashara ,Aristides Mbwasi,akifunga mkutano huo.
Mkurugenzi Idara ya Uhamasishaji uwekezaji kutoka Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Revocatus Rashel, akielezea fursa mpya za uwekezaji zilizopo nchini na maboresho yanayofanywa na Serikali katika kuboresha uwekezaji nchini Tanzania kwa wadau hao wa uwekezaji kutoka Uholanzi
Baadhi ya washiriki wakifuatilia mjadala wakati wa mkutano huo
 
**
Serikali ya Uholanzi na taasisi zinazoshughulikia masuala ya uwekezaji na biashara Tanzania,wamekutana na wawekezaji,wafanyabiashara kutoka nchi hizo kujadili changamoto katika biashara na uwekezaji hapa nchini na namna ya kuzitatua.
 
Akizungumza jijini Arusha katika mkutano wa kujadili masuala ya biashara na uwekezaji baina ya nchi hizo mbili, Balozi wa Uholanzi nchini Tanzania, Wiebe De Boer,alisema majadiliano hayo ni muhimu baina ya nchi hizo na yatawezesha kufungua fursa za uwekezaji hapa nchini na kuimarisha uchumi wa Tanzania.
 
Alisema kupitia majadiliano hayo yatatumika kama jukwaa la kujadili juhudi za pamoja za kukuza mazingira bora ya biashara na uwekezaji ili iweze kuwa kivutio zaidi cha uwekezaji chenye ushindani.
 
Alisema wameridhishwa na juhudi zinazofanywa na Serikali ya Tanzania katika kuboresha mazingira ya uwekezaji pamoja na kuondoa vikwazo mbalimbali katika sekta hiyo.
 
“Uhusiano baina ya Tanzania na Uholanzi ni mkubwa na unategemea zaidi ushirikiano endelevu wa biashara na tumekuwa mshirika mkubwa maendeleo wa Tanzania kwa muda mrefu na kampuni nyingi za Uholanzi zimefanya uwekezaji Tanzania,”alisema
 
Alisema kuwa lengo la mazungumzo hayo ni kujadili changamoto za kibiashara na uwekezaji kwa wawekezaji kutoka Uholanzi ambao wanawekeza hapa nchini na namna ya kuzitatua kwa kushirikiana kwani biashara imekuwa kichocheo cha uhusiano baina ya nchi hizo mbili.
 
“Mazungumzo haya ni muhimu katika kutatua changamoto zinazowakabili wawekezaji wa Uholanzi nchini Tanzania kwani ni muhimu kutambua mashirika ya kimataifa yamewekeza kwa kiasi kikubwa na mchango wake utaharakisha maendeleo hapa nchini,”aliongeza
 
Akifunga majadiliano hayo Waziri wa Uwekezaji,Viwanda na Biashara, Dk. Ashatu Kijaji, alisema Uholanzi ni miongoni mwa wawekezaji wakubwa ambao wamechangia kwa kiasi kikubwa sekta ya kilimo.
 
Akizungumza kwa niaba ya Dk Ashatu Kijaji ,Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya uwekezaji kutoka Wizara hiyo, alisema kupitia majadiliano hayo wadau na wawekezaji hao wameridhika na maboresho katika upatikanaji wa vibali vya kazi,uhamiaji,ambapo wanatumia mfumo mmoja.
 
Alisema wameweza kutoa mrejesho juu ya maboresho ambayo wamefanya ili kuwezesha uwekezaji na biashara nchini,kujadiliana nao kwani wanatambua unapotatua changamoto moja nyingine hujitokeza hivyo wamesikiliza changamoto nyingine mpya ambazo wanafikiri serikali ishughulike nazo.
 
“Lingine tunajadiliana kwa pamoja kuweka mikakati ya namna gani wanaweza kutatua hizo changamoto na mrejesho ambao tumeupata katika maajdiliano ya muda mfupi ni kwamba wameridhika wawekezaji hawa,”alisema
 
“Unajua wawekezaji kutoka Uholanzi ni moja ya kampuni kubwa nchini, nikiongelea mfano kwenye kilimo wanafanya vizuri sana kwenye kilimo sekta za maua, matunda na mbogamboga,”aliongeza
 
Mkurugenzi huyo alisema serikali iko mbioni kukamilisha mfumo wa kielektroniki kwa ajili ya kuwezesha wawekezaji nchini na kuwa kwa sasa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), kina Kituo cha utoaji huduma za mahali pamoja ,ambapo taasisi 12 zinahudumia wawekezaji hapo katika ofisi moja na kurahisisha huduma.
 
Naye Mkurugenzi wa Idara ya Uhamasishaji Uwekezaji kutoka TIC,Revocatus Rashel,alisema kuhusu wasiwasi wa baadhi ya wawekezaji kuhusu upatikanaji wa vibali vya kazi,serikali imefanya marekebisho ya sheria kwenye sheria inayosimamia utoaji wa vibali vya kazi kwa wageni nchini ambapo imeongeza idadi kutoka tano hadi 10.
 
“Mwanzoni ilikuwa ni wageni watano kwa kila mradi tena kwa kipindi kifupi cha kuanzisha yaani kujenga mradi ambapo ni miaka mitatu kulingana na certificate ya TIC lakini kwa sasa sheria imebadilishwa hadi 10 na imeongeza muda ni kipindi chote cha mradi,”alisema na kuongeza
 
“Unapokuwa na mradi wako unapohitaji wataalam unaoona hawako nchini ambao ni muhimu na watakuja kujenga uwezo kwa wataalamu wetu wa ndani, unaweza kuleta hadi 10 na kibali kinatolewa kwa mfumo wa kimtandao,”
 
Mkurugenzi huyo alisema mkutano huo ni muhimu kwa Tanzania kwani Uholanzi ni nchi muhimu katika uwekezaji nchini na ni mojawapo ya nchi 10 zinazoongoza uwekezaji Tanzania.
 
“Kupitia mkutano huu TIC tumeweza kuwapa na kuwaonyesha fursa mpya zilizopo za uwekezaji nchini,kuwaeleza maboresho yanayofanywa na serikali katika kuboresha hali ya uwekezaji na biashara nchini,”alisema
 
Kwa upande wake Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA),mkoa wa Arusha ,Eva Raphael, alisema wakati mwingine wadau siyo kwamba hawataki kufuata sheria bali ni uelewa na kuwa mamlaka hiyo inawasaidia kuzielewa na kuzifata.
 
“Sheria zipo za kodi na wanatakiwa kuzifuata lakini sisi kama mamlaka tunatakiwa kuwasaidia kuzielewa na kuzifuata kwa sababu wakati mwingine usipomsaidia mtu kufuata sheria inakuwa ni mzigo kwake,” alisema
 

About the author

Alex Sonna