Featured Kitaifa

MATUKIO KATIKA WAZIRI MKUU AKITETA NA VIONGOZI WA TAMISEMI

Written by mzalendoeditor

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na viongozi wa Ofisi ya Rais TAMISEMI  kwenye jengo la  Mkapa jijini Dodoma, Mei 31, 2022.  Kulia kwake ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Innocent Bashungwa.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na viongozi wa Ofisi ya Rais TAMISEMI  kwenye jengo la  Mkapa jijini Dodoma, Mei 31, 2022.  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

About the author

mzalendoeditor