slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

google algoritma hack

escort sapanca

jojobet

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

vdcasino

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

teosbet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

interbahis

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

istanbulbahis

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

holiganbet giriş

jokerbet

jokerbet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis giriş

imajbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu

Hacklink Panel

palacebet

vdcasino giriş

bets10 giriş

interbahis

mavibet

imajbet

interbahis giriş

klasbahis

interbahis giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

casibom giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet giriş

slot siteler

deneme bonusu 2026

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

timebet

meritking

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

marsbahis

jojobet giriş

matbet

sekabet

pusulabet

vdcasino giriş

kingroyal

betist

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

Uncategorized

KATIBU MKUU NZUNDA ATAKA WAFUGAJI KUBADILI MFUMO WA UFUGAJI WA KUSWAGA 

Written by Alex Sonna

Katibu Mkuu Mifugo, Bw. Tixon Nzunda ( katikati ) akizungumza kwenye Kongamano la Maendeleo ya Tasnia ya Maziwa ( NDDC) lililo fanyika leo Mkoani Katavi lenye lengo la kuongeza tija kwenye sekta ya maziwa nchini. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu Tamisemi Bw. Leo Mavika, wa pili kulia ni Bi. Leila Robin akimuwakilisha Msajili wa Bodi ya Maziwa, wa kwanza kushoto ni Bi. Skeeter Godwin kutoka Shirika la Dalberg na wapili kushoto ni Bw. Kayumba Torokoko mwakilishi Katibu Tawala Mkoa wa Katavi.

Afisa Uhusiano Benki ya CRDB Mpanda akielezea Fursa za Mikopo zinazotolewa na Benki kwa Wafugaji wakati wa Kongamano la Wadau wa Tansia Maziwa.

Meneja wa Ushirika wa Kilimanjaro Dairy Co-operative Joint Enterprise LTD Bw. Ernest Chad Haule akielezea baadhi ya Changamoto za Ushirika wakati wa Kongamano.

Baadhi ya wadau walioshiriki Kongamano la Wadau wa Tansia ya Maziwa lililofanyika leo katika ukumbi wa Mpanda mkoa wa Katavi.

……………………………………………

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Sekta ya Mifugo) Bw. Tixon Nzunda amewataka wafugaji kubadili mfumo wa ufugaji wa kuswaga mifugo na kutafuta maeneo ya kufugia kwa maana ya kuyanunua na kuyamiliki kutokana na idadi ya Mifugo waliyonayo.

Hayo ameyasema leo tarehe 31 mei 2022 wakati wa Kongamano la Wadau wa Tasnia ya Maziwa lililofanyika katika ukumbi wa Mpanda Hall wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Maziwa mkoani Katavi.

Katibu Mkuu Mifugo amesema
uzalishaji wa maziwa ya ng’ombe umekuwa ni mdogo kutokana na umbali mrefu ambao ng’ombe amekuwa akitembea kutafuta Maji na Malisho.

“Ng’ombe wa Maziwa anatembea km 55 kwa siku,halafu unategemea atatoa maziwa mengi??haiwezekani, hatuwezi kuendelea na utaratibu wa kuswaga mifugo”

Bw. Nzunda amesema kuwa viwanda vya maziwa vimekuwa vikisindika maziwa chini ya uwezo uliokusudiwa kutokana na upatikanaji mdogo wa maziwa unaotokana na ufugaji wa kuswaga mifugo badala ya kufuga kisasa.

Nzunda amesema uwezo wa uzalishaji Maziwa ni chini ya Lita 23, Jambo ambalo ni aibu kwa Taifa ambalo ni la pili Africa kuwa na Mifugo Mingi.

” Ni aibu kwa Taifa Mifugo kubadilika kuwa sehemu ya migogoro badala ya neema na kuimalisha uchumi wa nchi”

Amesema kuwa Tanzania imekuwa ikitegemea maziwa kutoka Kenya na Uganda kutokana na uzalishaji mdogo wa Maziwa hapa nchini.

Hivyo, amesema kuwa hatuna budi kufanya mabadiliko na kuweka mfumo rafiki wa kuwabadilisha wafugaji ili waanze kufuga kisasa na kwa tija.

Aidha, amesema kuwa, kupitia Kongamano la Wadau, wataalamu wataweza kuja na mbadala wa kuwasaidia wafugaji na kuweka mikakati endelevu ya upatikanaji wa malisho, maji pamoja na ufugaji wa kisasa.

Aidha, Bw. Nzunda aliwapongeza wafugaji kwa kuchangia asilimia 7.1 katika Pato la Taifa ingawa Sekta ya Mifugo ilikuwa na nafasi ya kuchangia asilimia zaidi ya 20.

Nzunda ametoa wito kwa Taasisi za Kifedha kuona changamoto hizi ni fursa ya kutafuta njia bora za kuweza kuwekeza katika sekta hii ya mifugo.

Awali Katibu Mkuu Mifugo alisema Mpango Mkakati wa kuboresha Sekta ya Mifugo unalenga katika uboreshaji wa huduma za ugani, kuimarisha Tafiti kwa kufanya tafiti za vitendo zaidi na kuboresha mbari za Mifugo.

Maeneo mengine ambayo mpango mkakati huo utazingatia ni pamoja na mifumo imara ya kuwawezesha wataalamu kuwajibika kwa wafugaji (Performance Contract) ili kutengeneza uwajibikaji kwa watumishi wa Umma na kupeleka huduma ikiyokusudiwa kwa Wafugaji.

Kwa upande wake, Bi . Leila Robin akimwakilisha Msajili wa Bodi ya Maziwa Tanzania alimshukuru Katibu Mkuu kwa kushiriki katika Kongamano Hilo na kusema kuwa Bodi ya Maziwa ipo tayari kushirikiana na wadau mbimbali ili kutatua changamoto za wafugaji ikiwemo kutoa elimu ya ufugaji bora wa ng’ombe.

Unajua ukifuga kisasa na kwa tija kutapelekea kuzalisha maziwa mengi zaidi ili viwanda vvetu viweze kupata malighafi ya kutosha ya kusindika kulingana na uwezo uliokusudiwa wa Kiwanda.

Bw. Mahela ameiomba Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) kutoa elimu ya ufugaji bora na wenye tija kwa wafugaji na kuwaunganisha na taasisi za kifedha ili kuwawezesha wafugaji kupata mikopo ili waweze kufuga ngo’mbe wa kisasa na kuachana na ufugaji wa asili.

Mahela ameiomba pia Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) iwaelimishe na kupeleka msukumo kwa wasindikaji na wachakataji wengine wa Maziwa kupitia TBS ili kuweza kusindika maziwa kwa kufuata ubora na kuzingatia viwango vilivyothibitishwa.

About the author

Alex Sonna