marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

pusulabet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

grandpashabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

sonbahis

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

imajbet

klasbahis

savoybetting giriş

goldenbahis

savoybetting

klasbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

matbet, matbet giriş

betcio, betcio giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

sahabet

Madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

casibom

marsbahis

jojobet giriş

jojobet

alobet

alobet giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

trendbet giriş

bets10

jojobet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

trendbet

imajbet giriş

milanobet

imajbet

perabet giriş

perabet

imajbet

kralbet giriş

milanobet giriş

สล็อตเว็บตรง

bets10

casibom giriş

jojobet

deneme bonusu

kingroyal

trust score weak 3

jojobet

slot siteler

casino siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betsat

betsat giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu veren siteler

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

sorgu paneli

marsbahis, marsbahis giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

superbetin

madridbet

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

tipobet giriş

romabet

kralbet

güvenli casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

Featured Kitaifa

KITUO CHA HUDUMA KWA MTEJA OFISI YA RAIS-UTUMISHI KIMEWAPUNGUZIA GHARAMA WATUMISHI NA WANANCHI KUFUATILIA MASUALA YA KIUTUMISHI

Written by Alex Sonna

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akiwasili katika Ofisi yake iliyopo UDOM kwa lengo la kuhimiza uwajibikaji kwa watumishi wa Idara ya Ukuzaji Maadili wa ofisi yake.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na baadhi ya Watendaji wa ofisi yake (hawapo pichani) mara baada ya kumaliza ziara yake ya kikazi ya kutembelea Idara yake ya Ukuzaji Maadili na kukagua utendaji kazi wa Kituo cha Huduma kwa Mteja (Call Centre) kilichopo katika ofisi zake ziIlizoko UDOM Jijini Dodoma.

Mkurugenzi wa Idara ya Ukuzaji Maadili, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bi. Leila Mavika akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Idara yake kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama wakati wa ziara ya kikazi ya Mhe. Jenista katika Idara hiyo iliyolenga kukagua utendaji kazi wa Kituo cha Huduma kwa Mteja (Call Centre).

Mkurugenzi wa Idara ya Ukuzaji Maadili, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bi. Leila Mavika akimuonyesha Kanuni za Maadili ya Utendaji katika Utumishi wa Umma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama wakati wa ziara ya kikazi ya Mhe. Jenista ya kukagua utendaji kazi wa Idara hiyo.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akimhudumia mtumishi aliyepiga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja (Call Centre) alipowatembelea watoa huduma wa kituo hicho kwa lengo la kujionea utendaji kazi wao. Wengine ni baadhi ya watendaji wa Ofisi yake alioambatana nao.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akifurahia jambo na Watendaji wa ofisi yake mara baada ya kumhudumia Mtumishi aliyepiga simu katika Kituo cha Huduma kwa Mteja (Call Centre) cha ofisi yake, alipokitembelea kituo hicho ili kujionea utendaji kazi.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akifuatilia namna ambavyo mtoa huduma wa kituo cha huduma kwa mteja (Call Centre) wa Ofisi yake anavyotoa huduma kwa mteja aliyepiga simu kwa ajili ya kupata huduma kwenye kituo hicho.

………………………………………..

Na. Veronica E. Mwafisi-Dodoma

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama amesema, Kituo cha Huduma kwa Mteja (Call Centre) cha ofisi yake tangu kianze kutoa huduma, kimewapunguzia gharama watumishi wa umma na wananchi waliokuwa wakilazimika kusafiri umbali mrefu kufuatilia utekelezaji wa masuala yao ya kiutumishi yaliyowasilishwa ofisini kwake jijini Dodoma kwa ajili ya kufanyiwa kazi.

Mhe. Jenista amesema hayo jijini Dodoma, alipofanya ziara ya kikazi katika moja ya Idara yake ya Ukuzaji Maadili iliyoko Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ili kujionea namna Kituo cha Huduma kwa Mteja kinavyofanya kazi. 

Waziri Jenista amesema toka kituo hicho kianze kutoa huduma rasmi imeonekana kuwa, kina faida kubwa katika kuwapunguzia gharama watanzania wanaofualia masuala yao ya kiutumishi na wanaohitaji ufafanuzi wa masuala yao ya kiutumishi katika ofisi yake.

“Watoa huduma katika kituo chetu wamekuwa wakipokea baadhi ya hoja zinazoihusu ofisi yangu na nyingine nyingi zinahusu taasisi nyingine za Serikali hivyo, ofisi yangu imekuwa ikitoa ufafanuzi na elimu kwa watanzania ili wawasilishe hoja zao mahala sahihi,” Mhe. Jenista amefafanua.

Mhe. Jenista amesisitiza kuwa, kituo hicho kimeisaidia ofisi yake kufuatilia mwenendo mzima wa hali na ustawi wa Utumishi wa Umma nchini, ikiwa ni pamoja na kuwasaidia watumishi wa umma kuwa karibu na ofisi yake iliyopewa dhamana ya kusimamia masuala ya kiutumishi na utawala bora.

Mhe. Jenista amefafanua kuwa, kituo hicho kinatoa huduma siku za kazi kuanzia jumatatu hadi ijumaa kuanzia saa mbili na nusu hadi saa kumi jioni.

“Ukitaka kupata huduma katika kituo chetu tumia namba 0262 160 240 na kila atakayeipata namba hii ampatie na mwingine ili ofisi yangu itoe huduma, ikiwa ni sehemu ya kuuunga mkono jitihada za Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan za kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi,” Mhe. Jenista amesisitiza.

Akizungumzia maadili ya watoa huduma wa kituo hicho, Mhe. Jenista amesema watoa huduma wote wamepatiwa mafunzo ya maadili hivyo ni waadilifu na wanatoa huduma kwa kuwajali wateja.

Aidha, Mhe. Jenista amepata fursa ya kutoa huduma kwa watumishi wa umma waliopiga simu katika kituo hicho, hivyo kutatua changamoto za kiutumishi zilizokuwa zikiwakabili watumishi hao.

Kituo cha Huduma kwa Mteja (Call Centre) cha Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kiilianza kutoa huduma rasmi mwezi Juni, 2021.

About the author

Alex Sonna