Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

meritking

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

meritbet

tümbet güncel giriş

betsat

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betpark

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

vidobet

vdcasino giriş

Featured Kitaifa

MAAFISA NA ASKARI WA UHIFADHI WALIOHITIMU MAFUNZO YA KIJESHI WATAKIWA KULINDA VIVUTIO VYA UTALII NCHINI

Written by Alex Sonna

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Juma Mkomi akizungumza na Maafisa na Askari wa Uhifadhi waliohitimu mafunzo ya kijeshi ambapo amewataka kuhakikisha wanalinda vivutio vya utalii vilivyopo nchini ili kuleta maana ya uwepo wa   Filamu maarufu ya ‘The Royal Tour’ 

Baadhi ya Maafisa na Askari wa Uhifadhi waliohitimu mafunzo ya kijeshi wakiwa wamesimama kikakamavu  kwa ajili ya kukaguliwa na Naibu Katibu Mkuu wa Maliasili na Utalii, Juma Mkomi mara baada ya kuwasili katika kituo cha mafunzo ya Kijeshi cha Mlele kilichopo mkoani Katavi kwa ajili ya kufunga mafunzo hayo

Naibu Katibu Mkuu wa Maliasili na Utalii, Juma Mkomi akiwa ameongozana na Mkuu wa Wilaya ya Mlele Mhe. Filberto Sanga ( wa pili kushoto) akizungumza na Mratibu wa Jeshi la Uhifadhi, Fidelis Kapalata  mara baada ya Naibu Waziri hiyo kufunga mafunzo ya Kijeshi kwa Wahitimu 190 kutoka TANAPA,  TAWA, NCAA na TFS, Wengine ni Wqjumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa wilaya ya Mpanda mkoani Katavi

Baadhi Maaafisa na Askari wa Uhifadhi waliohitimu mafunzo ya kijeshi wakipita mbele ya Jukwaa kuu kwa Mgeni rasmi ambaye ni Naibu Katibu Mkuu wa Maliasili na Utalii, Juma Mkomi ambapo amewataka Wahitimu hao kuwa mfano kwa jamii kwa kutanguliza mbele uzalendo ili kulinda maliaasili za wanyamapori, misitu ba mazao yake.

Mratibu wa Jeshi la Uhifadhi kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii, Fidelis Kapalata akizungumza mbele ya Mgeni rasmi wa kufunga mafunzo kwa wahitimu 190 ambao ni Maafisa na Askari wa Jeshi la Uhifadhi nchini ambapo amesema Kituo cha Mafunzo ya Kijeshi cha Mlele kinakabiliwa na changamoto ta ubovu wa muungano hivyo Wizara iweze kusaidia ili kuondokana ha na adha hiyo

Naibu Katibu Mkuu wa Maliasili na Utalii, Juma Mkomi  akikagua gwaride  huku akiwa ameongozana naAskari wa Jeshi la uhifadhi Bw.Fahari Makombe wakati akikagua gwaride la Wahitimu 190 ambao ni Maafisa na Askari wa Jeshi la Uhifadhi nchini katika Kituo cha Mafunzo ya Kijeshi cha Mlele kilichopo mkoani Katavi

Naibu Katibu Mkuu wa Maliasili na Utalii, Juma Mkomi ( katikati) akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Mlele Mhe. Filberto Sanga ( wa pili kushoto) wakiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya  Wahitimu 190 ambao ni Maafisa na Askari wa Jeshi la Uhifadhi nchini katika Kituo cha Mafunzo ya Kijeshi cha Mlele kilichopo mkoani Katavi

……………………………………………..

 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Juma Mkomi amewataka  Maafisa na Askari wa Uhifadhi waliohitimu mafunzo ya kijeshi kuhakikisha wanalinda vivutio vya utalii vilivyopo nchini na kuongeza kuwa Filamu maarufu ya ‘The Royal Tour’ iliyozinduliwa hivi karibuni na Rais Mhe.Samia Suluhu Hassan haitakuwa na maana kama vivutio hivyo havitalindwa

Naibu Katibu Mkomi  ameyasema hayo Ijumaa Mei 13, 2022 alipokuwa akifunga mafunzo ya kijeshi kwa Maafisa na  Askari 190 kutoka TFS, TANAPA, NCAA na TAWA katika kambi ya mafunzo ya kijeshi Mlele mkoani Katavi.

” Filamu ile imezinduliwa  kwa lengo la kuhamasisha shughuli za utalii na Uwekezaji nchini na tangu izinduliwe kila Mtanzania na Dunia wanafahamu  Tanzania kuna nini” amesema Naibu Katibu mkuu huyo.

Kwa mujibu wa taarifa tulizonazo, tangu filamu hiyo izunduliwe inafanya vizuri Kimataifa na tayari Marekani  imeoneshwa katika vituo 300 kati ya vituo 355 vilivyoripotiwa kuonesha filamu hiyo.

Amesema mafunzo hayo yakawe chachu ya kuimarisha sekta ya utalii na  kuhakikisha Watalii wanapata huduma katika mazingira bora ili kuendana na maono ya Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan.

Amewaeleza  Wahitimu hao kuwa  wana wajibu wa kulinda misitu, wanyamapori, malikale na vyote ambavyo vinawavutia watalii kuja kutembelea.

” Niwaombe Wahitimu mkatanguliza mbele uzalendo kwa kuhifadhi na kulinda vivutio vyote vya utalii vitakavyokuwa chini yenu, msipotoa huduma nzuri kwa watalii Filamu ya Royal Tour haitakuwa na maana yoyote” amesisitiza Naibu Katibu Mkuu.

Kwa upande wake Mratibu wa Jeshi la Uhifadhi, Fidelis Kapalata amesema mafunzo hayo waliyoyapata katika yanakwenda kubadili mfumo wao kufanya kazi hususan katika kipindi hiki ambacho ujio wa watalii utakuwa mkubwa kufuatia kuzinduliwa kwa Filamu maarufu ya Royal Tour

Mwakilishi wa Kamishna wa Uhifadhi – TFS, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Uhifadhi anayesimamia – Utawala (SACC-Admn), Luoga Erasto anasema ni matarajio ya Jeshi la Uhifadhi – TFS baada ya mafunzo hayo wahitimu watakwenda kuishi utamaduni wa kijeshi na kuongeza kasi, ufanisi na uzalendo katika utekelezaji wa majukumu ya uhifadhi wa rasilimali za nchi.

“Niipongeze Wizaya ya Maliasili na Utalii kwa kuratibu mafunzo haya yenye lengo la kubadirisha mfumo wa utendaji toka ule wa kiraia na kuwa wakijeshi, sasa taasisi zote za Wizara zinakuwa na mfumo mmoja wa kijeshi ambao utasaidia katika mabadiliko ya kiutendaji,” anasema SACC Luoga.

Katika mahafali hayo, Mkuu wa Wilaya ya Mlele Mhe. Filberto Sanga aliomba Wizara ya Maliasili na Utalii kuangalia uwezekano wa kuwapangia kazi wilani mwake baadhi ya wahitimu kutoka kila taasisi ya uhifadhi ili waweze kulinda maliasili zilizopo mkoani Katavi kwa kile alichodai mkoa huo umebarikiwa vivutio vingi vya utalii na vingi vikiwa wilayani Mlele.

About the author

Alex Sonna