marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

marsbahis giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

matbet

teosbet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

casinoroyal

kavbet

marsbahis

perabet giriş

kavbet

casinowon giriş

mavibet giriş

imajbet

mavibet

pashagaming

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betkolik, betkolik giriş

jojobet

restbet

jojobet giriş

restbet

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

bettilt

trimology review

celtabet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betosfer

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

norabahis

starzbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

grandpashabet

galabet

İkimisli

onwin

sahabet

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

casibom

lunabet

lunabet giriş

imajbet

bahiscasino

perabet

lunabet

kavbet

artemisbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

ifşa

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

bets10

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

grandpashabet

Hacklink Panel

nesinecasino

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

artemisbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

imajbet

สล็อตเว็บตรง

bets10 giriş

bettilt giriş

holiganbet giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

Holiganbet

hitbet

kavbet

kavbet

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

dinamobet

netbahis

1xbet giriş

vipslot

galabet giriş

interbahis

Featured Kitaifa

TASNIA YA HABARI BARANI AFRIKA YATAKIWA KUTUMIKA KUISAIDIA JAMII

Written by Alex Sonna

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe.  Nape Nnauye akizungumza wakati akifungua maonesho mbalimbali kuelekea maadhimisho ya siku ya Uhuru wa vyombo vya Habari Duniani yatakayofanyika Mei 3,2022 jijini Arusha.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt. Jim Yonazi akizungumza wakati wa ufunguzi wa maonesho mbalimbali kuelekea maadhimisho ya siku ya Uhuru wa vyombo vya Habari Duniani yatakayofanyika Mei 3,2022 jijini Arusha.

Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Said Mohamed Mtanda akizungumza wakati wa ufunguzi wa maonesho mbalimbali kuelekea maadhimisho ya siku ya Uhuru wa vyombo vya Habari Duniani yatakayofanyika Mei 3,2022 jijini Arusha.Mkurugenzi wa UNESCO kanda ya Afrika Mashariki, Prof. Hubert Gijzenz akizungumza wakati wa ufunguzi wa maonesho mbalimbali kuelekea maadhimisho ya siku ya Uhuru wa vyombo vya Habari Duniani yatakayofanyika Mei 3,2022 jijini Arusha.Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri nchini (TEF), Deodatus Balile, akizungumza wakati wa ufunguzi wa maonesho mbalimbali kuelekea maadhimisho ya siku ya Uhuru wa vyombo vya Habari Duniani yatakayofanyika Mei 3,2022 jijini Arusha.Mkurugenzi wa Mawasilianon wa Tume ya Muungano wa Umoja wa Afrika, Musabayana Wynne Zvinaiye akizungumza wakati wa ufunguzi wa maonesho mbalimbali kuelekea maadhimisho ya siku ya Uhuru wa vyombo vya Habari Duniani yatakayofanyika Mei 3,2022 jijini Arusha.

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe.  Nape Nnauye akisalimiana na Balozi Manfredo Fanti, mwakilishi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania mara baada ya ufunguzi wa maonesho mbalimbali kuelekea maadhimisho ya siku ya Uhuru wa vyombo vya Habari Duniani yatakayofanyika Mei 3,2022 jijini Arusha. 

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe.  Nape Nnauye (wa kwanza kulia), Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Jim Yonazi ( wa pili kulia) na baadhi ya viongozi wakipitia  mabanda ya maonesho ya Taasisi mbalimbali kabla ya ufunguzi wa maonesho hayo kuelekea maadhimisho ya siku ya Uhuru wa vyombo vya Habari Duniani yatakayofanyika Mei 3,2022 jijini Arusha.

***************************

Na Mwandishi Wetu, ARUSHA

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye amewataka wanatasnia ya habari barani Afrika kuhakikisha wanaisaidia jamii kubadili mtazamo kwa kuona fursa zilizopo na kujivunia kuwa sehemu ya bara la Afrika lenye rasilimali za kutosha

Waziri Nape amezungumza hayo akizindua maonesho ya utangulizi kuelekea kilele cha maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yanayofanyika Mei 3 ya kila mwaka, ambapo kwa mwaka huu wa 2022 Tanzania imekuwa mwenyeji wa maadhimisho hayo kwa Bara la Afrika yanayofanyika katika jijini Arusha

“Bara letu la Afrika lina rasilimali nyingi za kutosha na maeneo mengi rasilimali hizi zimegeuka kuwa laana kwa watu nadhani wakati umefika kwa wanahabari tuchukue uamuzi wa kusaidia bara letu lifaidike na rasilimali zake na watu wake waone matokeo ya baraka za rasilimali kwenye jamii zetu,”

Ameongeza kuwa, “Inauma kuona tunateswa na rasilimali zetu wenyewe kwa sababu tunaona maeneo yenye rasilimali za kutosha ndio kwenye magomvi mengi na ndipo ambapo watu wake wanateseka sana lakini ukipewa hesabu ya rasilimali tulizonazo ukilinganisha na mabara mengine hatupaswi kuwa hapa tulipo hivyo wanahabari tusimame kubadilisha mtazamo wa mambo haya na ninaamini inawezekana kila mmoja wetu akitimiza wajibu wake.”

Katika hatua nyingine Waziri huyo amezungumzia changamoto za tasnia ya habari zinazotokana na mabadiliko ya kukua kwa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano kuwa hazikwepeki na hata tukiamua kusubiri bado mabadiliko hayo duniani yatatulazimu kwenda  katika ulimwengu wa dijiti

Aidha, amesema kwa upande wa Serikali ya Tanzania, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndilo lenye dhamana ya kutunga, kurekebisha au kufuta Sheria ambazo zinakuwa hazitekelezeki au zinazokinzana na hali halisi hivyo Wizara anayoiongoza inaendelea kukamilisha uwasilishaji wa mapendekezo ya marekebisho ya sheria tajwa kwa kuzingatia Sheria, kanuni na taratibu za uwasilishaji wa mapendekezo hayo na Bunge lipo tayari kupitisha

Amesema kuwa mabadiliko ya kidijiti yamechangia kutokea kwa mijadala mikubwa inayoendelea kuhusu crypto currency na usalama wa mifumo ya kielektroniki hivyo amewataka wanahabari kutumia taaluma zao kufanya uchambuzi na kuainisha fursa zinazokuja na maendeleo ya kidijiti ili kusaidia jamii zetu kuziona fursa kwenye mabadiliko hayo

“Tumepewa kalamu na uwezo wa kusaidia jamii zetu na kila mmoja akiamua kutekeleza wajibu wake hili linawezekana”, Amezungumza Waziri huyo

Naye Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Jim Yonazi amesema kuwa Wizara inaendelea kusimamia, kuboresha na kuwezesha upatikanaji wa fursa zinazotokana na mabadiliko ya kidijiti na kuifanya Wizara hiyo kuwa Wizara muhimu inayosimamia Sekta muhimu zinazochangia uchumi wa nchi na Wizara itaendelea kushirikiana na wanahabari kuboresha mazingira ya kufanya kazi kwa uhuru, ubunifu na kwa mujibu wa sheria

Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani kwa mwaka huu wa 2022 yana kauli mbiu ya “Uandishi wa Habari na Changamoto za Kidijiti” kwa Bara la Afrika yanafanyika jijini Arusha na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amethibitisha kuwa Mgeni Rasmi kwenye maadhimisho hayo

About the author

Alex Sonna