marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

casibom giriş

jojobet

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

imajbet

vdcasino

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

jojobet

holiganbet

ibizabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

cratosroyalbet

marsbahis

marsbahis

artemisbet

artemisbet

kavbet giriş

mislibet

betra

kavbet

aresbet

jojobet

betasus giriş

holiganbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

betparibu, betparibu giriş

bekabet, bekabet giris

jojobet

Superbetin giriş

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

perabet

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet güncel giriş

betebet

betgar, betgar giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

dinamobet güncel giriş

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

tümbet

tümbet giriş

tümbet

tümbet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

starzbet

Gamdom

grandpashabet giriş

bets10

bets10

bets10

bets10 giriş

bets10

netbahis

netbahis giriş

casibom

royalbet

bibubet

https://pasands.com/

يلا شوت

hantavirus token

restbet

deneme bonusu 2026

kralbet

Grandpashabet

tümbet

tümbet giriş

tümbet

tümbet giriş

parmabet

kavbet

kavbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

artemisbet

artemisbet giriş

parmabet

parmabet giriş

mislibet

parmabet

vdcasino

marsbahis

Uncategorized

SH. BILIONI 1.39 KUGHARAMIA UANZISHAJI WA MFUMO JUMUISHI WA KIELETRONIKI WA HUDUMA ZA USTAWI WA JAMII NCHINI.

Written by Alex Sonna

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akifungua kikao cha wadau wa Maendeleo kinachojadili namna ya kuandaa mfumo Jumuishi wa huduma za ustawi wa jamii nchini, kilichofanyika leo April 14,2022 jijini Dodoma

Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mwajuma Magwiza,akizungumza wakati wa kikao cha wadau wa Maendeleo kinachojadili namna ya kuandaa mfumo Jumuishi wa huduma za ustawi wa jamii nchini, kilichofanyika leo April 14,2022 jijini Dodoma’

Kamishna Msaidizi wa Ustawi wa Jamii Tullo Masanja akitoa taarifa wakati wa kikao cha wadau wa Maendeleo kinachojadili namna ya kuandaa mfumo Jumuishi wa huduma za ustawi wa jamii nchini, kilichofanyika leo April 14,2022 jijini Dodoma.

Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Ustawi wa Jamii kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI Amina Mfaki, akichangia jambo wakati wa kikao cha wadau wa Maendeleo kinachojadili namna ya kuandaa mfumo Jumuishi wa huduma za ustawi wa jamii nchini, kilichofanyika leo April 14,2022 jijini Dodoma.

Mtaalamu wa Mifumo kutoka USAID, Edwin Nyella,akizungumza wakati wa kikao cha wadau wa Maendeleo kinachojadili namna ya kuandaa mfumo Jumuishi wa huduma za ustawi wa jamii nchini, kilichofanyika leo April 14,2022 jijini Dodoma.

Sehemu ya washiriki wakifatilia hotuba ya Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima (hayupo pichani) wakati wa kikao cha wadau wa Maendeleo kinachojadili namna ya kuandaa mfumo Jumuishi wa huduma za ustawi wa jamii nchini, kilichofanyika leo April 14,2022 jijini Dodoma

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua kikao cha wadau wa Maendeleo kinachojadili namna ya kuandaa mfumo Jumuishi wa huduma za ustawi wa jamii nchini, kilichofanyika leo April 14,2022 jijini Dodoma.

……………………………………………..

Na Alex Sonna-DODOMA

WIZARA ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, imesema zinahitajika Sh.Bilioni 1.39 kugharamia uanzishaji wa mfumo wa jumuishi wa kielektroniki wa huduma za ustawi wa jamii nchini.

Hayo yameelezwa leo April 14,2022 jijini Dodoma na Waziri wa Wizara hiyo,Dkt.Doroth Gwajima wakati akifunga kikao cha wadau wa Maendeleo kinachojadili namna ya kuandaa mfumo Jumuishi wa huduma za ustawi wa jamii nchini.

Dkt.Gwajima amesema kuwa  fedha hizo ni kwa ajili ya kusanifu, kutengeneza hadidu za rejea, miundombinu, kuandaa wataalamu wa kutumia mfumo na kusambaza mfumo huo jumuishi nchi nzima.

“Ili kukamilisha mfumo huu pamoja na kuhakikisha unafanya kazi nchi nzima tunahitaji  fedha za kitanzania 1.39 Bilioni” amesema Dkt. Gwajima 

Hata hivyo Waziri Gwajima amewayataka  mashirika ya maendeleo na wadau wote kuunga  mkono juhudi za serikali moja kwa moja kwa kuelekeza rasilimali fedha na ujuzi katika eneo hili ili kuanzisha mfumo Jumuishi wa huduma za Ustawi wa Jamii ili kuboresha utoaji huduma.

Dkt. Gwajima amesema  Wadau pamoja na Serikali wamekuwa wakishirikiana nyakati zote kuanzisha na kuendesha mifumo ya taarifa za huduma za ustawi wa jamii lakini mifumo hiyo imekuwa ikifanyia kazi kundi moja la watoto tu na kuyacha makundi mengin,  hivyo mfumo unaopendekezwa ujumuishe Makundi yote yanayostahili kuwepo.
“Mifumo hii bado ina mapungufu, lazima tufanye kazi kwa pamoja kwani bado haijumuishi huduma zote za Ustawi wa Jamii kwa walengwa wote kama vile wazee na makundi mengine yanayohudumiwa na Ustawi wa jamii”  amesema Dkt. Gwajima
Aidha ameongeza kuwa mifumo iliyopo (MVC- MIS na DCMS) inalenga watoto pekee hivyo kukosa taarifa muhimu kuhusu huduma zinazotolewa kwa makundi mengine. 
Kwa upande wake Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mwajuma Magwiza,ameeleza changamoto zilizopo katika mifumo ya awali kuwa ni pamoja na kushindwa kuendana na mahitaji tarajiwa ya Wizara na wadau kwa ujumla ikiwemo kukosa uwezo wa kufuatilia usimamizi wa shauri kwa mtoto mmoja mmoja, hali inayozuia Wizara pamoja na wadau kutumia mfumo huo kutengeneza afua zinazomlenga mnufaika.
“Serikali imeona ipo haja ya kutengeneza mfumo mmoja utakaojumuisha huduma zote za Ustawi wa Jamii ili kurahisisha upatikanaji wa  takwimu na taarifa za huduma zinazotolewa” amesema Bi. Magwiza.
Naye Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Afyabna Ustawi wa Jamii Ofisi ya Rais (TAMISEMI) Amina Mfaki amesema  Serikali kupitia ofisi hiyo, kwa kushirikiana na wadau imekuwa ikifanya juhudi mbalimbali kukabiliana na tatizo la watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi pamoja na huduma za msaada wa kisaikolojia kwa wahanga wa ukatili.
”Ametaja baadhi ya shughuli zilizofanywa ni pamoja na kutoa mafunzo ya kutumia mifumo iliyopo kwa Maafisa Ustawi wa Jamii 184 katika Halmashauri zote nchini ya kupitia ushirikiano na wadau”amesema Bi.Amina
Kwa upande wake, Mtaalamu wa Mifumo kutoka USAID, Edwin Nyella ameahidi kuunga mkono serikali katika usimikaji wa mfumo huo na uboreshaji wa mifumo iliyopo ya taarifa hizo.
Naye Mtaalam wa Ulinzi wa Mtoto kutoka Shirika la UNICEF Evance Mori amesema wadau wataendelea kushirikiana na Serikali katika kuimarisha huduma kwenye maeneo mbalimbali hususani eneo hilo la taarifa.

About the author

Alex Sonna