slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

pusulabet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

casinoroyal

pusulabet giriş

imajbet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

marsbahis

marsbahis

artemisbet giriş

imajbet giriş

goldenbahis

goldenbahis giriş

perabet giriş

klasbahis

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

noktabet, noktabet giriş

betgar, betgar giriş

matbet, matbet giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

jojobet

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

holiganbet

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

betpark giriş

capitolbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

lunabet giriş

artemisbet

kavbet

kavbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

betwoon giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

perabet

imajbet

artemisbet

kavbet giriş

imajbet

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

madridbet

bets10

bets10

trust score weak 3

marsbahis

bets10 giriş

slot siteleri

lunabet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

deneme bonusu 2026

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

grandpashabet

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

casibom

kulisbet, kulisbet giriş

marsbahis, marsbahis giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

sloto

royalbet

marsbahis

taraftarium24

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

lunabet

galabet, galabet giriş

grandpashabet

lunabet

lunabet

betasus

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

meritking

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet giriş

holiganbet

deneme bonusu

grandpashabet

sekabet

matbet

marsbahis

pusulabet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

meritking

meritking giriş

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

grandpashabet

Hacklink panel

matbet

kingroyal

kingroyal

matbet

matbet

Casibom

Featured Kitaifa

WATU WENYE ULEMAVU NA WAZEE WA MSALALA WAKABIDHIWA KADI ZA BIMA ZA MATIBABU NA VIFAA VYA USAIDIZI KUTOKA BARRICK

Written by Alex Sonna
 
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga (kulia) akimkabidhi baiskeli Salome Samwel. Kulia ni Meneja Mahusiano na Mazingira kutoka Mgodi wa Barrick Bulyanhulu, Bw. Agapiti Paul.
 
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
 

 

Wazee na watu wenye Ulemavu wapatao 210 kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu, wamekabidhiwa vifaa mbalimbali vya usaidizi na kadi za matibabu kutoka kampuni ya Barrick, ili kuwaongezea furaha na kuwawezesha kushiriki shughuli za kiuchumi.
Vifaa hivyo vimekabidhiwa Aprili 7,2022 na Meneja Mahusiano na Mazingira kutoka Mgodi wa Barrick Bulyanhulu, Bw. Agapiti Paul, wakati wa hafla fupi iliyohudhuriwa na Mgeni rasmi Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga na viongozi mbalimbali wa Halmashauri ya wilaya ya Msalala wakiongozwa na Mkurugenzi wa halmashauri hiyo Mhe. Charles Fussi.
Vifaa vilivyokabidhiwa ni Baiskeli 30 za kawaida na zile za kusaidia kutembea kwa watu wenye ulemavu, vifaa vya kusikia 5, fimbo nyeupe 6, vyerehani vya kushonea ngozi 2, vyerehani vya kawaida 8 na vya Overlock 2, samani na seti ya Televisheni kwa ajili ya Kituo cha afya Bugarama na pikipiki moja itakayotumika katika ofisi ya Dawati la Jinsia kusaidia kuwezesha kushughulikia masuala ya wasichana na Wanawake.
 
“Vifaa hivi tulivyokabidhi vina thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 40 zikiwa ni kati ya shilingi Bilioni 2.5 zilizotengwa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa ajili ya miradi ya Uwajibikaji wa Jamii (CSR) kwa mwaka 2021/2022 katika Halmashauri ya Msalala. Dhamira yetu ni kuhakikisha tunatekeleza wajibu wetu katika jamii na kushirikiana nao katika kupanga mipango ya maendeleo hasa inayohusu kukuza uchumi wao na wa jamii kwa ujumla kupitia mpango wetu wa CSR”,amesema Paul.
“Tunajivunia kuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha kuwa tunajali watu wenye ulemavu wanaoishi maeneo jirani na mgodi wetu ili kuwaongezea furaha na kuwawezesha kushiriki shughuli za kiuchumi kwa kuwapa vifaa vya kazi. Tutaendelea kujivunia kuwajali makundi maalumu kwa ujumla wake ikiwa ni pamoja na dawati la jinsia linaloshughulika na wasichana na Wanawake nao wananufaika”,ameongeza.
Akizungumza wakati wa kupokea na kukabidhi vifaa hivyo, Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga ameushukuru Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa kuendelea kushirikiana na Serikali katika kutekeleza miradi ya CSR ili kuhakikisha jamii inapiga hatua kimaendeleo.
“Niwapongeze Barrick kwa vifaa hivi mlivyotoa leo kwa kuhakikisha watu wenye mahitaji maalumu wanapata vifaa vitakavyowezesha kufanya kazi. Kwa kweli mmeunga mkono kwa vitendo dhamira na nia ya Mhe. Rais Samia Suluhu, mtetezi namba moja wa watu wenye mahitaji maalumu ambaye mara kwa mara amekuwa akisisitiza makundi maalumu yasiachwe nyuma yapewe kipaumbele katika jamii”,amesema Kiswaga.
Kiswaga amesema Serikali itaendelea kuwajali na kuwapa kipaumbele watu wenye ulemavu katika kupambana na umaskini ili kuhakikisha wanawapa ahueni ya maisha huku akiwashauri watu wenye mahitaji maalumu kuchangamkia fursa ya mikopo inayotolewa katika halmashauri za wilaya.
Kiswaga amesema Barrick wamekuwa wakitoa fedha nyingi kutekeleza miradi mbalimbali hivyo kuwaagiza watendaji wote kuhakikisha fedha zinatumika kuwaletea maendeleo wananchi na kwamba hatasita kuwashughulika wale wataothubutu kudokoa fedha hizo.
Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Msalala Mhe. Charles Fussi amewataka watu wenye ulemavu kujitokeza kupata mikopo bila riba inayotolewa katika halmashauri huku akishauri kuwa kabla ya kuchukua mikopo ni vyema wakapata ushauri kuhusu miradi inayotekelezeka ili wainuke kiuchumi na kuweza kurudisha mikopo hiyo.
Nao Watu wenye ulemavu akiwemo Salome Samweli na Mshikila Juma ameushukuru Mgodi wa Barrick Bulyanhulu na Halmashauri ya Msalala kwa kuwapatia vifaa vya usaidizi ambavyo watavitumia kutembea kutoka eneo moja hadi jingine na kujitafutia kipato ili kujiinua kiuchumi.
Mwenyekiti wa Kikundi cha Watu wenye Ulemavu kata ya Bulyanhulu, Abbas Hassan ameishukuru Serikali na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa kuwathamini na kuwajali watu wenye ulemavu na kwamba kutokana na vifaa hivyo walivyopatiwa sasa wataweza kuwahi kufika kwenye maeneo yao ya kazi.
Naye mwakilishi wa wazee, Ramadhan Salehe amesema Barrick Bulyanhulu wameonesha upendo kwa kuwapatia bima za afya ambazo zitawawezesha kupunguza gharama za matibabu kwao na wategemezi wao.
 

 

ANGALIA PICHA HAPA CHINI
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga akizungumza wakati kampuni ya Barrick ikikabidhi vifaa mbalimbali vya usaidizi na kadi za matibabu kwa Wazee na watu wenye Ulemavu wapatao 210 kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu. Wa kwanza kushoto ni Mrakibu wa Mahusiano ya Jamii Barrick Bulyanhulu Bi. Zuwena Senkondo akifuatiwa na Meneja Mahusiano na Mazingira kutoka Mgodi wa Barrick Bulyanhulu, Bw. Agapiti Paul. Wa kwanza kushoto ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Msalala Mhe. Charles Fussi. Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga akizungumza wakati kampuni ya Barrick ikikabidhi vifaa mbalimbali vya usaidizi na kadi za matibabu kwa Wazee na watu wenye Ulemavu wapatao 210 kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu.
Meneja Mahusiano na Mazingira kutoka Mgodi wa Barrick Bulyanhulu, Bw. Agapiti Paul akizungumza wakati kampuni ya Barrick ikikabidhi vifaa mbalimbali vya usaidizi na kadi za matibabu kwa Wazee na watu wenye Ulemavu wapatao 210 kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu.
 Mkurugenzi wa Halmashauri ya Msalala Mhe. Charles Fussi akizungumza wakati kampuni ya Barrick ikikabidhi vifaa mbalimbali vya usaidizi na kadi za matibabu kwa Wazee na watu wenye Ulemavu wapatao 210 kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu.
Muonekano wa sehemu ya vifaa mbalimbali vya usaidizi vilivyotolewa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa Wazee na watu wenye Ulemavu wapatao 210 kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu.
Muonekano wa sehemu ya baiskeli zilizotolewa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa watu wenye Ulemavu kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu.
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga akimkabidhi baiskeli mmoja wa watu wenye ulemavu. Baiskeli hizo zimetolewa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa watu wenye Ulemavu kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu.
Salome Samweli akitoa neno la shukrani baada ya kukabidhiwa Baiskeli na Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga. Baiskeli hizo zimetolewa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa watu wenye Ulemavu kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu.
Mshikila Juma akitoa neno la shukrani baada ya kukabidhiwa Baiskeli na Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga (aliyeshikilia kipaza sauti kushoto). Baiskeli hizo zimetolewa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa watu wenye Ulemavu kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu.
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga akikabidhi Cherehani ya Overlock kwa ajili ya kikundi cha wazee. Vyerehani hivyo vimetolewa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa watu wenye Ulemavu kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu.
Meneja Mahusiano na Mazingira kutoka Mgodi wa Barrick Bulyanhulu, Bw. Agapiti Paul akikabidhi Cherehani ya Overlock kwa ajili ya kikundi cha wazee. Vyerehani hivyo vimetolewa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa watu wenye Ulemavu kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu.
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga akikabidhi Cherehani ya Ngozi kwa ajili ya kikundi cha watu wenye ulemavu. Vyerehani hivyo vimetolewa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa watu wenye Ulemavu kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu.
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga akikabidhi Cherehani ya kawaida kwa ajili ya kikundi cha wazee. Vyerehani hivyo vimetolewa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa watu wenye Ulemavu kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu.
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga (wa pili kulia) akikabidhi Dish la DSTV ambayo ni sehemu seti ya Televisheni kwa ajili ya Kituo cha afya Bugarama.
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga (wa tatu kulia) akikabidhi TV ambayo ni sehemu seti ya Televisheni kwa ajili ya Kituo cha afya Bugarama.
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga (wa pili kulia) akiwasha pikipiki iliyotolewa na Barrick Bulyanhulu itakayotumika katika ofisi ya Dawati la Jinsia kusaidia kuwezesha kushughulikia masuala ya wasichana na Wanawake.
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga akiangalia baiskeli zilizotolewa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa wazee na watu wenye Ulemavu kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu.
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga akikabidhi baiskeli zilizotolewa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa wazee na watu wenye Ulemavu kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu.
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga akikabidhi Fimbo nyeupe zilizotolewa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa watu wenye Ulemavu kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu.
Meneja Mahusiano na Mazingira kutoka Mgodi wa Barrick Bulyanhulu, Bw. Agapiti Paul akikabidhi Vifaa vya kusikia vilizotolewa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa watu wenye Ulemavu kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu.
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga akikabidhi kadi za bima ya afya zilizotolewa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa wazee kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu.
Zoezi la kukabidhi kadi za bima ya afya zilizotolewa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa wazee kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu likiendelea.
Wazee na watu wenye Ulemavu kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu wakiwa kwenye hafla ya kukabidhiwa vifaa mbalimbali vya usaidizi na kadi za matibabu kutoka kampuni ya Barrick
 
Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
 

About the author

Alex Sonna