Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

vdcasino

lordcasino

marsbahis

vipslot

celtabet

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

vipslot

betlivo

eyfelcasino

marsbahis

marsbahis

marsbahis giriş

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

meritking telegram

meritking giriş

realbahis

vipslot giriş

casival

luxbet

betnis

parmabet

betvoy

jojobet

Hacklink panel

norabahis

kingroyal

Google

holiganbet

marsbahis

armabahis

mislibet giriş

kareasbet giriş

vipslot

betlivo

hazbet

netbahis

betra

primebahis

betturkey

betturkey giriş

otobet

otobet giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

otobet

otobet giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet giriş

robinbet

robinbet giriş

betpark giriş

holiganbet

betpark

uyuşturucu satın al

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

aresbet, aresbet giriş

betewin

jojobet

betmarino

avrupabet

lordcasino giriş

dengebet

celtabet

betcool

kareasbet

betcool

millibahis

betnis giriş

casival

betvoy

hazbet

betnef

avrupabet

betmarino giriş

betmani

betvakti

marsbahis

prensbet

betmani

millibahis

eyfelcasino

meybet

millibahis giriş

marsbahis giriş

gobahis

betnef

perabet giriş

mislibet giriş

vipslot giriş

meybet giriş

armabahis

meritking giriş

meritking

alobet, alobet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

cratosroyalbet

pasacasino

kingroyal

https://sjconsultors.com/

mislibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

mariobet

madridbet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

jojobet

grandpashabet giriş

holiganbet

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

bets10 sorunsuz giriş

jojobet

marsbahis

sweet bonanza

mavibet

jojobet giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

goldenbahis

meritking giriş

meritking güncel giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

betvakti

parmabet

gobahis

elitbahis

parmabet giriş

mavibet giriş

jojobet

coinbar

mislibet giriş

mavibet

mislibet güncel giriş

parmabet

jojobet güncel giriş

mavibet

mavibet giriş

coinbar giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

romabet

meritking

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

jojobet

meritking

betsat giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10

betsat

sekabet güncel giriş

jojobet

grandpashabet

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

grandpashabet

casibom

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

marsbahis

marsbahis

betturkey giriş

Featured Kitaifa

WATU WENYE ULEMAVU NA WAZEE WA MSALALA WAKABIDHIWA KADI ZA BIMA ZA MATIBABU NA VIFAA VYA USAIDIZI KUTOKA BARRICK

Written by Alex Sonna
 
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga (kulia) akimkabidhi baiskeli Salome Samwel. Kulia ni Meneja Mahusiano na Mazingira kutoka Mgodi wa Barrick Bulyanhulu, Bw. Agapiti Paul.
 
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
 

 

Wazee na watu wenye Ulemavu wapatao 210 kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu, wamekabidhiwa vifaa mbalimbali vya usaidizi na kadi za matibabu kutoka kampuni ya Barrick, ili kuwaongezea furaha na kuwawezesha kushiriki shughuli za kiuchumi.
Vifaa hivyo vimekabidhiwa Aprili 7,2022 na Meneja Mahusiano na Mazingira kutoka Mgodi wa Barrick Bulyanhulu, Bw. Agapiti Paul, wakati wa hafla fupi iliyohudhuriwa na Mgeni rasmi Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga na viongozi mbalimbali wa Halmashauri ya wilaya ya Msalala wakiongozwa na Mkurugenzi wa halmashauri hiyo Mhe. Charles Fussi.
Vifaa vilivyokabidhiwa ni Baiskeli 30 za kawaida na zile za kusaidia kutembea kwa watu wenye ulemavu, vifaa vya kusikia 5, fimbo nyeupe 6, vyerehani vya kushonea ngozi 2, vyerehani vya kawaida 8 na vya Overlock 2, samani na seti ya Televisheni kwa ajili ya Kituo cha afya Bugarama na pikipiki moja itakayotumika katika ofisi ya Dawati la Jinsia kusaidia kuwezesha kushughulikia masuala ya wasichana na Wanawake.
 
“Vifaa hivi tulivyokabidhi vina thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 40 zikiwa ni kati ya shilingi Bilioni 2.5 zilizotengwa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa ajili ya miradi ya Uwajibikaji wa Jamii (CSR) kwa mwaka 2021/2022 katika Halmashauri ya Msalala. Dhamira yetu ni kuhakikisha tunatekeleza wajibu wetu katika jamii na kushirikiana nao katika kupanga mipango ya maendeleo hasa inayohusu kukuza uchumi wao na wa jamii kwa ujumla kupitia mpango wetu wa CSR”,amesema Paul.
“Tunajivunia kuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha kuwa tunajali watu wenye ulemavu wanaoishi maeneo jirani na mgodi wetu ili kuwaongezea furaha na kuwawezesha kushiriki shughuli za kiuchumi kwa kuwapa vifaa vya kazi. Tutaendelea kujivunia kuwajali makundi maalumu kwa ujumla wake ikiwa ni pamoja na dawati la jinsia linaloshughulika na wasichana na Wanawake nao wananufaika”,ameongeza.
Akizungumza wakati wa kupokea na kukabidhi vifaa hivyo, Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga ameushukuru Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa kuendelea kushirikiana na Serikali katika kutekeleza miradi ya CSR ili kuhakikisha jamii inapiga hatua kimaendeleo.
“Niwapongeze Barrick kwa vifaa hivi mlivyotoa leo kwa kuhakikisha watu wenye mahitaji maalumu wanapata vifaa vitakavyowezesha kufanya kazi. Kwa kweli mmeunga mkono kwa vitendo dhamira na nia ya Mhe. Rais Samia Suluhu, mtetezi namba moja wa watu wenye mahitaji maalumu ambaye mara kwa mara amekuwa akisisitiza makundi maalumu yasiachwe nyuma yapewe kipaumbele katika jamii”,amesema Kiswaga.
Kiswaga amesema Serikali itaendelea kuwajali na kuwapa kipaumbele watu wenye ulemavu katika kupambana na umaskini ili kuhakikisha wanawapa ahueni ya maisha huku akiwashauri watu wenye mahitaji maalumu kuchangamkia fursa ya mikopo inayotolewa katika halmashauri za wilaya.
Kiswaga amesema Barrick wamekuwa wakitoa fedha nyingi kutekeleza miradi mbalimbali hivyo kuwaagiza watendaji wote kuhakikisha fedha zinatumika kuwaletea maendeleo wananchi na kwamba hatasita kuwashughulika wale wataothubutu kudokoa fedha hizo.
Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Msalala Mhe. Charles Fussi amewataka watu wenye ulemavu kujitokeza kupata mikopo bila riba inayotolewa katika halmashauri huku akishauri kuwa kabla ya kuchukua mikopo ni vyema wakapata ushauri kuhusu miradi inayotekelezeka ili wainuke kiuchumi na kuweza kurudisha mikopo hiyo.
Nao Watu wenye ulemavu akiwemo Salome Samweli na Mshikila Juma ameushukuru Mgodi wa Barrick Bulyanhulu na Halmashauri ya Msalala kwa kuwapatia vifaa vya usaidizi ambavyo watavitumia kutembea kutoka eneo moja hadi jingine na kujitafutia kipato ili kujiinua kiuchumi.
Mwenyekiti wa Kikundi cha Watu wenye Ulemavu kata ya Bulyanhulu, Abbas Hassan ameishukuru Serikali na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa kuwathamini na kuwajali watu wenye ulemavu na kwamba kutokana na vifaa hivyo walivyopatiwa sasa wataweza kuwahi kufika kwenye maeneo yao ya kazi.
Naye mwakilishi wa wazee, Ramadhan Salehe amesema Barrick Bulyanhulu wameonesha upendo kwa kuwapatia bima za afya ambazo zitawawezesha kupunguza gharama za matibabu kwao na wategemezi wao.
 

 

ANGALIA PICHA HAPA CHINI
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga akizungumza wakati kampuni ya Barrick ikikabidhi vifaa mbalimbali vya usaidizi na kadi za matibabu kwa Wazee na watu wenye Ulemavu wapatao 210 kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu. Wa kwanza kushoto ni Mrakibu wa Mahusiano ya Jamii Barrick Bulyanhulu Bi. Zuwena Senkondo akifuatiwa na Meneja Mahusiano na Mazingira kutoka Mgodi wa Barrick Bulyanhulu, Bw. Agapiti Paul. Wa kwanza kushoto ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Msalala Mhe. Charles Fussi. Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga akizungumza wakati kampuni ya Barrick ikikabidhi vifaa mbalimbali vya usaidizi na kadi za matibabu kwa Wazee na watu wenye Ulemavu wapatao 210 kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu.
Meneja Mahusiano na Mazingira kutoka Mgodi wa Barrick Bulyanhulu, Bw. Agapiti Paul akizungumza wakati kampuni ya Barrick ikikabidhi vifaa mbalimbali vya usaidizi na kadi za matibabu kwa Wazee na watu wenye Ulemavu wapatao 210 kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu.
 Mkurugenzi wa Halmashauri ya Msalala Mhe. Charles Fussi akizungumza wakati kampuni ya Barrick ikikabidhi vifaa mbalimbali vya usaidizi na kadi za matibabu kwa Wazee na watu wenye Ulemavu wapatao 210 kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu.
Muonekano wa sehemu ya vifaa mbalimbali vya usaidizi vilivyotolewa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa Wazee na watu wenye Ulemavu wapatao 210 kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu.
Muonekano wa sehemu ya baiskeli zilizotolewa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa watu wenye Ulemavu kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu.
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga akimkabidhi baiskeli mmoja wa watu wenye ulemavu. Baiskeli hizo zimetolewa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa watu wenye Ulemavu kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu.
Salome Samweli akitoa neno la shukrani baada ya kukabidhiwa Baiskeli na Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga. Baiskeli hizo zimetolewa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa watu wenye Ulemavu kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu.
Mshikila Juma akitoa neno la shukrani baada ya kukabidhiwa Baiskeli na Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga (aliyeshikilia kipaza sauti kushoto). Baiskeli hizo zimetolewa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa watu wenye Ulemavu kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu.
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga akikabidhi Cherehani ya Overlock kwa ajili ya kikundi cha wazee. Vyerehani hivyo vimetolewa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa watu wenye Ulemavu kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu.
Meneja Mahusiano na Mazingira kutoka Mgodi wa Barrick Bulyanhulu, Bw. Agapiti Paul akikabidhi Cherehani ya Overlock kwa ajili ya kikundi cha wazee. Vyerehani hivyo vimetolewa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa watu wenye Ulemavu kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu.
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga akikabidhi Cherehani ya Ngozi kwa ajili ya kikundi cha watu wenye ulemavu. Vyerehani hivyo vimetolewa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa watu wenye Ulemavu kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu.
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga akikabidhi Cherehani ya kawaida kwa ajili ya kikundi cha wazee. Vyerehani hivyo vimetolewa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa watu wenye Ulemavu kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu.
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga (wa pili kulia) akikabidhi Dish la DSTV ambayo ni sehemu seti ya Televisheni kwa ajili ya Kituo cha afya Bugarama.
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga (wa tatu kulia) akikabidhi TV ambayo ni sehemu seti ya Televisheni kwa ajili ya Kituo cha afya Bugarama.
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga (wa pili kulia) akiwasha pikipiki iliyotolewa na Barrick Bulyanhulu itakayotumika katika ofisi ya Dawati la Jinsia kusaidia kuwezesha kushughulikia masuala ya wasichana na Wanawake.
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga akiangalia baiskeli zilizotolewa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa wazee na watu wenye Ulemavu kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu.
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga akikabidhi baiskeli zilizotolewa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa wazee na watu wenye Ulemavu kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu.
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga akikabidhi Fimbo nyeupe zilizotolewa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa watu wenye Ulemavu kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu.
Meneja Mahusiano na Mazingira kutoka Mgodi wa Barrick Bulyanhulu, Bw. Agapiti Paul akikabidhi Vifaa vya kusikia vilizotolewa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa watu wenye Ulemavu kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu.
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga akikabidhi kadi za bima ya afya zilizotolewa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa wazee kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu.
Zoezi la kukabidhi kadi za bima ya afya zilizotolewa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa wazee kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu likiendelea.
Wazee na watu wenye Ulemavu kutoka vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Bulyanhulu wakiwa kwenye hafla ya kukabidhiwa vifaa mbalimbali vya usaidizi na kadi za matibabu kutoka kampuni ya Barrick
 
Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
 

About the author

Alex Sonna